Ukraine yatuma maombi kujiunga na NATO haraka iwezekanavyo

Uturuki hachomoi any request from USA, kumbuka issue ya Sweden na Finland. Uturuki aligoma USA negotiated on behalf.
Pili wewe wa kwa mtogole huna akili yeyote kuliko Reuters, soma tena between the lines
Mturuki alikubali kwasababu Sweden alikubaliana na matakwa yake kuwapatia hao wa kurd waliojificha sweden., ila jamaa ameshaona wanamzunguka na akawakumbusha wasipotimiza waliyokubaliana yeye pia ana uwezo mkubwa wakuwakatalia maombi yao, pia Mmarekani anawazungusha kuwapatia ndege za kivita walizokua wanataka na kawaambia kama hawaeleweki atachukua za mrusi
 
Russia hawapigani bila mipango . Wananchi wa magharibi askari wao wakifa wengi tayari wanaanza riot. Wao wanataka wafe wengine na vita IWE mbali. Fuatilia ishu za Iraq , Somalia , Afghanistan , nk. West wanajipenda sana. Manyani TUPO kuwatukuza
Ile ni vita ya kiuchumi.

1. Kuzuia biashara Kati ya German na Russia Ili america ifanye hiyo biashara ndio kisa cha nordstream.

1. Kuuza silaha kwa kufanya promo mf Himmar s

2. Kutoa mikopo kwa kutumia mahela yao wanayoprint

3. Ilitafutwa tu ishu itakayomkera Russia aingie vitani na Zelensky kwa uhuni wake anatumika na USA
 
Binafsi sioni Putin alipo wazidi akili kwa kwa tukio hilo la ijumaa. Hayo maeneo ameyakalia hata kabla ya kutangaza rasmi. Vita inaendelea akiwazidi nguvu atayakalia na pengine kuongeza akizidiwa anatimuliwa!
 
Binafsi sioni Putin alipo wazidi akili kwa kwa tukio hilo la ijumaa. Hayo maeneo ameyakalia hata kabla ya kutangaza rasmi. Vita inaendelea akiwazidi nguvu atayakalia na pengine kuongeza akizidiwa anatimuliwa!
Angetimuliwa huko crimea
 
Labda urusi ya chato na sio urusi hii inayoogopwa na mataifa 30 yaliyo jiunga na kutengeneza nato.
Mkuu NATO hawajaingia sasa jamaa kapeleka JKT laki tatu, miezi 7 tu NATO ikiingia wenyewe unafkiri si ni kazi ya siku 1 tu
 
Wangekua historia muda sana, marekani kwa mrusi ni kataifa ka juzi tu , mrusi ana experience ya vita kubwa zaidi na zote kachomoa, mmarekani hapo vietnam tu na somalia alitolewa kamasi
Uzoefu wa Russia uko wapi mkuua jeshi hana, miezi 7 tu dunia imeshuhudia anaandikisha vijana wa JKT kuwapeleka vitani ata bulet prof hakuwapa zaidi ya bunduki mkononi, NATO kwa Russia ni chini ya lisaa limoja kazi ishaisha
 
Binafsi sioni Putin alipo wazidi akili kwa kwa tukio hilo la ijumaa. Hayo maeneo ameyakalia hata kabla ya kutangaza rasmi. Vita inaendelea akiwazidi nguvu atayakalia na pengine kuongeza akizidiwa anatimuliwa!
Hayo macho yako yanaona papa tu na matako manene
 
Russia is not smart period
 
Uturuki hachomoi any request from USA, kumbuka issue ya Sweden na Finland. Uturuki aligoma USA negotiated on behalf.
Pili wewe wa kwa mtogole huna akili yeyote kuliko Reuters, soma tena between the lines

Wakati mwingine kidogo mnashangaza, FYI Uturuki is a truly indepedent minded Nation, remember S-400 fiasco - je,vitisho na mikwala ya US ilisadia nini kuizuia Uturuki kununua an integrated air defense system(S-400) kutoka Urusi?

Hivi una habari wamiliki wa Reuters ni wa Taifa gani, labda tuanzie hapo. Msichukulie kila mchambuzi wa matukio ni average Joe!!

Kitu kingine tupatie evidence zinazo onyesha kwamba Uturuki iliunga mkono moja kwa moja Finland na Sweden kujiunga na NATO bila masharti yoyote kutoka taifa la Uturuki.
 
Uzoefu wa Russia uko wapi mkuua jeshi hana, miezi 7 tu dunia imeshuhudia anaandikisha vijana wa JKT kuwapeleka vitani ata bulet prof hakuwapa zaidi ya bunduki mkononi, NATO kwa Russia ni chini ya lisaa limoja kazi ishaisha
Saa limoja wakati hadi mrusi anamega nchi wao wapo tu mbona hawazuii............Jeshi hana kwani yeye alikwambia anaenda vitani au ni operesheni maalum, na huko asilimia kubwa alikua anatumia wafungwa waliokua wanatumikishwa na wagner group.....hao aliowaita kwa sasa ni wa kulinda mipaka yake na hayo maeneo mapya aliyoyachukua, mrusi akiwa hana wanajeshi basi mmarekani ndo atakua na hali mbaya kabisa, mrusi yupo ukraine na bado Syria anaendelea...
 
Urusi haina jeuri tena, ukichangia na wanajeshi wao wanavyokufa huko vitani; sasa NATO wataingia rasmi kumsaidia mwanachama wao kama sera zao zinavyoelekeza.
Watu wanajikata huko, nani anataka shida na mrusI Zelensky atatumika kama toilet paper na kutupwa
 
Mkuu usituletee habari za Vietnamu, muda huu naandika haya watu wako kazini huko huko mulikopiga refrendam wanachukua mji wa Lyman ambao Russia waliuteka, tuongee kwa yanayotokea sasa

Hii ndio Breaking News kinachoendelea kutokea


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…