Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ni kuwa Zamani Warumi ndio.walikuwa wakitawala asilimia kubwa ya Dunia ikiwemo Ulaya ,Israel nkHUJIULIZI ,KAMA YESU NDIE ALILETA UKRISTO NA WAROMA NDIYO WALIMUUA YESU KAMA UNAVYOSEMA,IWEJE SASA HAO AMBAO WALIMUUA YESU WAWE VINARA WA DINI HIYO HADI KUFIKIA HATUA YA KUWEKA MAKAO MAKUU YA IMANI HIYO HUKO VATICAN??HUTUMII AKILI TUH NA KUJUA HIYO NI FIX??
MKUU MBONA NIMEKAA ISRAEL NA WALOKOLE KIBAO KULE JERUSALEM
WAKRSTO NA WAYAHUDI EMANUELI A.K.A YESU MASIHI NDIO KILA KITU.Bongo Yesu ndio kila kitu.
MKUU KWANI SAIKOLOJIA ZA WAARABU NA WAISLAMU KATIKA HILI SI ZIPO WAZIKakwambia nani nashawishi!?
sasa kwa wale wakristo wa tanzania wanaosema israel ni taifa teule la mungu hii itakuwa tabu mno kumeza.
HUWEZI KUWASEMEA WAKRSTO NA TORATI YAO NA INJILI YAO NA KUWAPANGIA MAPOKEO KATI YAO WANATORATI WENZAO WAYAHUDI.Taja source ambayo unaweza iamini tujifunze, yani news ikitoka katika source gani unahisi ni neutral
Sawa. Haya maneno yataisaidia watu waungane na wewe kuisupport Palestine?Hahaha mimi tena nimepanic angalia wenzako wanavyoandika magazeti mimi najibu mistari miwili harafu tu hoja inajionyesha hapo juu siyo maneno yangu hoja ni marufuku kutanganza Ukirsto Israel unaenda jela hiyo ndiyo hojq.
YUPO SAHII WAISLAMU WANATAFUTA SAPOTI YA WAKRISTO KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI.UNACHOULIZA NA NILICHOMJIBU HUYO MGALATIA ASIE NA AKILI NI VITU VIWILI TOFAUTI,YEYE ANASEMA WAISLAM WANATAFUTA HURUMA KWA WAKRISTO KATIKA MGOGORO HUO WA MIDDLE EAST,THATS WHY NIMEMJIBU KUWA OCCUPATION IMEANZA TOKA MWAKA 1948,NA HAMAS IMEANZA OPERATIONS ZAKE 1987 HADI LEO HALI SI SHWARI HUKO,LINI SASA AMESKIA WAISLAM AU HAMAS WAMELIA KUTAKA HURUMA YA WAKRISTO??
Mkuu Laiti kama ungewasikia wayahudi wanachosema usingeandika hii commentYUPO SAHII WAISLAMU WANATAFUTA SAPOTI YA WAKRISTO KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI.
KWA KUWAAMBIA WAKRSTO OOOH MAYAHUDI HAWAWAPENDI.
WANASAHAU KINACHOWAUNGANISHA WAKRSTO NA WAYAHUDI NI MUNGU WAO WA KIYAHUDI YEHOVA NA TORATI.
NB: CHRISTIAN THEY CANT BELIEVE WORSHPER OF ARABIAN GOD ALLAH
HAMAS WAMELIA SANA KUOMBA CEASE FIRE KWA KAULI KAMA.UNACHOULIZA NA NILICHOMJIBU HUYO MGALATIA ASIE NA AKILI NI VITU VIWILI TOFAUTI,YEYE ANASEMA WAISLAM WANATAFUTA HURUMA KWA WAKRISTO KATIKA MGOGORO HUO WA MIDDLE EAST,THATS WHY NIMEMJIBU KUWA OCCUPATION IMEANZA TOKA MWAKA 1948,NA HAMAS IMEANZA OPERATIONS ZAKE 1987 HADI LEO HALI SI SHWARI HUKO,LINI SASA AMESKIA WAISLAM AU HAMAS WAMELIA KUTAKA HURUMA YA WAKRISTO??
MKUU AKISEMA MYAHUDI MMOJA SIO WOTE PROPAGANDA ZA CHUKI TIMEZIZOEAMkuu Laiti kama ungewasikia wayahudi wanachosema usingeandika hii comment
NDIO TORATI INAVYOSEMA KUA WAYAHUDI NI TAIFA TEULE.sasa kwa wale wakristo wa tanzania wanaosema israel ni taifa teule la mungu hii itakuwa tabu mno kumeza.
FactHesabu 35:
33 Hivi hamtaitia unajisi nchi ambayo mwakaa; kwa kuwa damu huitia nchi unajisi; wala hapana sadaka itoshayo kwa ajili ya nchi, kwa ajili ya damu iliyomwagwa ndani yake, isipokuwa ni damu ya huyo aliyeimwaga.
34 Kwa hiyo msiitie unajisi nchi muiketiyo, ambayo naketi nami kati yake; kwa kuwa mimi BWANA nakaa kati ya wana wa Israeli.
NA SASA WANAOMBA MSAADA WA WAKRSTO KATIKA KUWAUA WAYAHUDI.Bora ata huko kuna 1.8% ya wakristo Je Saudi Arabia wapo % ngapi? ya wakristo ambao ni raia wa nchi hiyo maana hiyo ndiyo maana halisi ya nyani halioni ku...le.
Nasema magaidi wa hamas waendelee kupokea kipigo cha mbwa koko
Sisi wakristo tunao elewa haya mambo tupo pamoja na Israel kwenye haki yao ya kujilinda na kuchukua ardhi yao toka kwa wavamizi wa kiarabu
Nb; quran tukutu inawaamrisha waislamu kuwaua wayahudi na wote wanaowaunga mkono.
Mkuu ukisema kuwa mimi sio mfuasi wa imani ya kiebrania unaijua imani yangu?TATIZO MKUU WEWE SIO MFUASI WA IMANI YA KIEBRANIA UNATOA MAONI YA KUHUDHIRIA MIKUTANO WAKATI MIMI MPAKA LEO NASALI NDANI YA SINAGOGI KAMA MUUMINI NA AMBAE NIMEISHI NDANI YA UEBRANIA NA KUISHI NDANI YA TORATI NA INJILI KAMA MUUMINI.
UKRSTO KATIKA UYAHUDI UNA SEHEMU YAKE NA UNABII WAKE NA MAPOKEO YAKE.
NB: TAFUTA GOMBO LA NABII ISAYAH NA NABII NEHEMIAH NA UUSOME UKRSTO NDANI YA UEBRANIA(JEWS)
Kwanza Ile kesi waliyoshtakiw Kwa kumuua Yesu ilifikia wapi?Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.