Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Kilberali kwa maana ya “liberal”?
 
hata arabic counries racism ipo,japo kwa US hali ni mbaya zaidi, kiasi cha baadhi ya churches kuzuia blacks kukanyaga hata kizingiti cha madhabahu.
Sidhani kama ni kweli unachosema. Hao blacks labda either walikosea njia ama ni wageni hapo marekani.

Makanisa ya weusi na weupe yanafahamika. Hakuna mtu kwenda kwenye kanisa kwa bahati mbaya.

Otherwise weka source kama habari yenyewe chanzo siyo wewe binafsi.
 
Kwa nini unajibu jibu la mtazamo tu, kwa swali ambalo limeuliza kupita mtazamo tu?
Kwa heshima ya Kiranga nitaondoa nukta. Life is a matter of subjectivity. 10% of it people come into common terms, such as the sun rises from east and sets on west. The rest is mere arguments, whereas conclusion depends on the wise ones.

Hivyo kujibu ishu iliyopo mezani ni kwamba, whether you believe in God, gods, matter, or you dont believe, brother, 90% of our lives we grope and fumble on nothingness unto oblivian. If the arguments are part of your daily bread, then it''s well and good.
 

Where do you get that 10%? That is a very specific number.

Kwa nini belief iwe issue?

Mimi sitaki belief, nataka kuondoka kwenye belief kwenda kwenye fact.

Sasa, kwa nini wewe unarudi kwenye belief?
 
Where do you get that 10%? That is a very specific number.

Kwa nini belief iwe issue?

Mimi sitaki belief, nataka kuondoka kwenye belief kwenda kwenye fact.

Sasa, kwa nini wewe unarudi kwenye belief?
Belief is idealism. Fact is materalism. Iam supple. You are rigid and stiff, prone to break. As long as these two ends don't meet, we will never reach conclusion
 
Namshukuru Mungu nimeshakaa huko amerika. Ukweli ni kwamba, sio kweli kwamba Ukristo Marekani umekosa mwelekeo. Never. ila Ukristo Afrika ndio umekosa mwelekeo kabisa. Marekani huwezi kukuta kina mwamposa wanauza maji na mafuta au wanasema watu waje wakanyage mafuta, huwezi kuona sarakasi hizi za kuseta watu walete nywele za utosi au kucha kidole kidogo au kidole gumba, haya ni kwa waafrika tu.

HATA HIVYO, haimaanishi kwamba Afrika hakuna waamini wa kweli. pamoja na kuwepo manabii wengi wa uongo, bado wapo waamini wa kweli wanaotembea na Mungu na wataurithi uzima wa milele. pamoja na kwamba shetani amepambana sana kudanganya watu, upande mwingine pia watu wa Mungu wamepambana sana kuhubiri injili ya kweli, na wapo wanaoishi katika injili ya kweli.

Na marekani nako hivyo hivo, kuna ushoga mwingi sana, na ubaguzi wa rangi pia, freemasonly, na mambo mengi ya kishetani, lakin bado wapo watu ambao wanamwendea Mungu kwa utakatifu, na ni wengi kuliko hata hawa waliopo bongo. bongo wengi ni wanafiki, hatujazaliwa na kukuzwa kwenye kuwa wakweli, mzungu akifanya dhambi anakuja kukuambia nimefanya dhambi, yupo huru, ila mbongo akifanya dhambi anaweza kufa nayo. wapo wengine waliokoka wakaanguka, hawataki kukiri kwamba walifanya dhambi wasije wakaaibika, mzungu hayupo hivyo, anakuambia kabisa nilidondoka, natubu naomba nisaidiwe kusimama tena kwasababu namuhitaji Mungu.

uwepo wa mashoga marekani haimaanishi kila mzungu anashabikia ushoga, kuna wazungu wengi sana nawajua hawataki hata kusikia icho kitu, na wanaongea waziwazi hata huko ulaya.

kwa habari ya ubaguzi wa rangi, huu ni udhaifu wa kibinadamu, na hii ni shida ya dunia nzima hata waafrika ni wabaguzi pia. leo hii mhindi akija kusali kanisani kwako, atanyooshewa vidole na kila mtu. "ona yule mhindi kaja kusali", ona yule mwarabu, ona yule mzungu, na hata sisi kwa sisi tunabaguana, utasikia, angalia mchaga asiwe kiongozi, angalia mchaga asiwe mtunza hazina, tumpigie kura fulani kwasababu anatoka ukanda wetu, ukabila umejaa, huo ukabila kwa lugha nyingine ni ubaguzi ule ule tu ila ni wa kabila badala ya wa rangi. na pia, wazungu waliookoka kwa kweli sio wabaguzi. nimeishi huko na mimi nimeokoka na walionisaidia maishani mwangu ni wazungu badala ya waamarekani weusi.

ni kweli kuna hadi makanisa ya wazungu wengi na waafrika wengi, ila utafanyaje sasa, Mungu anaonekana humohumo kama walivyoamua wao wenyewe kuishi na inatokana na desturi zao na historia yao waliyotoka nayo mbali. na hata hivyo, sio makanisa yote utaenda ukute ni weusi watupu hakuna mzungu, au wazungu watupu hakuna weusi. wamejitahidi kupambana na racism lakini kwasababu ni dhambi kama zilivyo nyingine tu, huwezi kuifuta, ni ya kupambana nayo for life, kama ambavyo hata ufanye maombi huwezi kufuta uzinzi, ulevi na dhambi zingine, ila utapambana kuhubiri watu waziache. atakayeziacha anapona asiyetaka ataangamia.
 
Belief is idealism. Fact is materalism. Iam supple. You are rigid and stiff, prone to break. As long as these two ends don't meet, we will never reach conclusion
You still haven't even answered where did you get that 10%.

It seems like you are just making shit up.

That is neither idealism nor materialism.

It is just lying.
 
You still haven't even answered where did you get that 10%.

It seems like you are just making shit up.

That is neither idealism nor materialism.

It is just lying.
Ukipata pa kushikia unakomaa hatari 😄. Ok, roughly 10%. Idealism and materialsm still apply
 
TUNAKOELEKEA MAKANISA YATAKUWA MAGOFU
Taka mwaka maana hata Roman empire walikiwa na akili kama zako mwishowe Roman ndio ikawa nguzo ya ulinzi wa Ukristo.. and mnatakiwa kufahamu kuwa Kanisa ni watu hata wakiwa wawili wakitaja jina la Mungu Yesu anakuwepo.. so Kanisa ni just a jengo tu.. na kibaya zaidi yamekuwa maeneo ya kukusanya fedha tu
 
Haya hongera na kuwa na siku njema.
 


hakuna mahali imeandikwa uyahudi ni dini , Hakuna mahali imeandikwa kuwa uislamu ni dini ya waarabu, hakuna mahali imeandikwa Uhindu ni dini , hakuna mahali imeandikwa Ubudha ni dini , labda umesoma mahali tuwekee ushahidi
 
Umekuwa msemaji wa tyson na Tate ??
 
KANISA ni mtu.

HEKALU ni mwili wako.

MADHABAHU ni moyo wako na utayari wako kumwabudu Mungu.

Kwa tafsiri hiyo, sahau kuhusu kufutika Kwa Imani katika kristo Yesu.

Amen


Wapi umesoma hayo uliyaandika , tuwekee ushahidi please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…