Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Joyce Meyer is a filthy rich celebrity preacher who made her millions through "Joyce Meyer Ministries". In 2005 Joyce Meyer Ministries received $109,000,000. So much for her ministry being a non for profit organization. She has her own private jet and lives in extreme luxury the likes of which most people couldn't even comprehend. Most mega church pastors are false teachers who have been overcome with greed and the desire for vain glory. So many churches today have become completely corrupted and they are run by greedy ministers.



View: https://youtu.be/yNiCLz9IH-g
 
Wewe ni mhalifu, siwezi kukupa ushahidi.

Wakataze wahalifu wenzio kupiga watu wasio waislamu wanaokula hadharani.
Ila dunia ikiwa ya waislamu itakua siyo sehemu salama ya kuishi.


View: https://www.youtube.com/shorts/OSfyYCkzLTo?t=26&feature=share
 
Mkuu soma European History and Civilization alafu njoo hapa uropoke tena. Islam imeau watu zaidi duniani toka enzi za Muddy na yote hii ni kutaka kusambaza dini yao.
Vita ya msaraba ndo vita iliyo uwa watu wengi kuliko vita yeyote tangu kuumbwa kwa dunia.
 
Kwa nini unajibu jibu la mtazamo tu, kwa swali ambalo limeuliza kupita mtazamo tu?
Mpambano wenu umekuwa mkali ila wenye mapungufu pande zote kwa mtazamo wangu.
Umehitaji uthibitisho wa kama kweli Mungu yupo.
Kipindi wewe mwenyewe hujaweka uthibitisho wa hoja yako kuwa Mungu hayupo.
Nakuona huamini km yupo kipindi hichohicho huamini kuwa hayupo.
Au unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?
 
Hivi ww jamaa mbona chenga sana,sasa hapo dini yangu nimeikimbiaje?
Alafu muda wa kuandaa topic za kufundisha watoto unaupataga wapi?
Maana kila dakika uko humu unabishana udini.
 

Attachments

  • Screenshot_20240330-234234~2.png
    466.6 KB · Views: 3
Tatizo ni kwamba naweza kuweka uthibitisho mkubwa, mrefu, mzito, wa kifalsafa kwa kuandika maneno manne tu the problem of evil, au kuielezea dhana hiyo kimantiki..

Halafu wewe ukawa hujafanya kazi ya kusoma habari nzima ya falsafa nzito iliyopo katika hayo maneno manne, au kuielewa hiyo dhana.

Ukawa hujaelewa.

Umeviona vineno vinne vidogo ambavyo kama hujavielewa unaweza kuviruka tu ukawa bado umeelewa hoja kwa muktadha. Au ukaona maelezo kuhusu hiyo dhana, ukawa huna uwezo wa kuelewa kina cha hoja hiyo.

Kumbe ukifanya hivyo inakuwa umefanya kosa kubwa sana.

Umekosa kuelewa kuwa nimegusia kitu kikubwa sana kinachoonesha kimantiki Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo na hawezi kuwepo.

Sasa, kabla ya kuniulaumu sijathibitisha Mungu hayupo, unajua nini kuhusu "the problem of evil"?

Maana naweza kuwa nafanya kazi ya ziada kufundisha vitu basic ambavyo mtu anayefuatilia haya mambo kwa kina kifalsafa anatakiwa awe anayaelewa.

Lakini huko kwetu wengine mpaka leo hawaamini kama kuna watu hawaamini wala kukubali Mungu yupo.

Hapo kuelewana ni kazi.

Wewe ndiyo hujaelewa.

Naweka problem of evil kifupi hapa.

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction.

Contradiction hii inatuonesha ama Mungu huyo yupo na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.

Ama ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, na Mungu huyo hayupo.

Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo.

Mungu huyo hayupo.

Umeelewa?
 
Tuanzie hapa,
Nadhani anatafutwa hapa Mungu muumba wa kila kitu. (Hata mema na mabaya)
Yaani Mungu muweza wa yote, asiyeshindwa lolote.

Km anaweza yale wewe unayoona kuwa ni mema hawezi kushindwa hata yale unayoona kuwa ni mabaya.

Maana asipoweza lolote kati ya hayo anakuwa kapungukiwa sifa yake ya uungu.
Labda km tukajadili imani, huo ni mjadala mwingine.
Hapo bado hujathibitisha kuwa hayupo"
 
Leo ni siku ya mashoga huko Marekani
 

Attachments

  • IMG_20240330_232756.jpg
    179.3 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…