Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Ukristo Marekani umekosa Mwelekeo

Namshukuru Mungu nimeshakaa huko amerika. Ukweli ni kwamba, sio kweli kwamba Ukristo Marekani umekosa mwelekeo. Never. ila Ukristo Afrika ndio umekosa mwelekeo kabisa. Marekani huwezi kukuta kina mwamposa wanauza maji na mafuta au wanasema watu waje wakanyage mafuta, huwezi kuona sarakasi hizi za kuseta watu walete nywele za utosi au kucha kidole kidogo au kidole gumba, haya ni kwa waafrika tu.

HATA HIVYO, haimaanishi kwamba Afrika hakuna waamini wa kweli. pamoja na kuwepo manabii wengi wa uongo, bado wapo waamini wa kweli wanaotembea na Mungu na wataurithi uzima wa milele. pamoja na kwamba shetani amepambana sana kudanganya watu, upande mwingine pia watu wa Mungu wamepambana sana kuhubiri injili ya kweli, na wapo wanaoishi katika injili ya kweli.

Na marekani nako hivyo hivo, kuna ushoga mwingi sana, na ubaguzi wa rangi pia, freemasonly, na mambo mengi ya kishetani, lakin bado wapo watu ambao wanamwendea Mungu kwa utakatifu, na ni wengi kuliko hata hawa waliopo bongo. bongo wengi ni wanafiki, hatujazaliwa na kukuzwa kwenye kuwa wakweli, mzungu akifanya dhambi anakuja kukuambia nimefanya dhambi, yupo huru, ila mbongo akifanya dhambi anaweza kufa nayo. wapo wengine waliokoka wakaanguka, hawataki kukiri kwamba walifanya dhambi wasije wakaaibika, mzungu hayupo hivyo, anakuambia kabisa nilidondoka, natubu naomba nisaidiwe kusimama tena kwasababu namuhitaji Mungu.

uwepo wa mashoga marekani haimaanishi kila mzungu anashabikia ushoga, kuna wazungu wengi sana nawajua hawataki hata kusikia icho kitu, na wanaongea waziwazi hata huko ulaya.

kwa habari ya ubaguzi wa rangi, huu ni udhaifu wa kibinadamu, na hii ni shida ya dunia nzima hata waafrika ni wabaguzi pia. leo hii mhindi akija kusali kanisani kwako, atanyooshewa vidole na kila mtu. "ona yule mhindi kaja kusali", ona yule mwarabu, ona yule mzungu, na hata sisi kwa sisi tunabaguana, utasikia, angalia mchaga asiwe kiongozi, angalia mchaga asiwe mtunza hazina, tumpigie kura fulani kwasababu anatoka ukanda wetu, ukabila umejaa, huo ukabila kwa lugha nyingine ni ubaguzi ule ule tu ila ni wa kabila badala ya wa rangi. na pia, wazungu waliookoka kwa kweli sio wabaguzi. nimeishi huko na mimi nimeokoka na walionisaidia maishani mwangu ni wazungu badala ya waamarekani weusi.

ni kweli kuna hadi makanisa ya wazungu wengi na waafrika wengi, ila utafanyaje sasa, Mungu anaonekana humohumo kama walivyoamua wao wenyewe kuishi na inatokana na desturi zao na historia yao waliyotoka nayo mbali. na hata hivyo, sio makanisa yote utaenda ukute ni weusi watupu hakuna mzungu, au wazungu watupu hakuna weusi. wamejitahidi kupambana na racism lakini kwasababu ni dhambi kama zilivyo nyingine tu, huwezi kuifuta, ni ya kupambana nayo for life, kama ambavyo hata ufanye maombi huwezi kufuta uzinzi, ulevi na dhambi zingine, ila utapambana kuhubiri watu waziache. atakayeziacha anapona asiyetaka ataangamia.
Joyce Meyer is a filthy rich celebrity preacher who made her millions through "Joyce Meyer Ministries". In 2005 Joyce Meyer Ministries received $109,000,000. So much for her ministry being a non for profit organization. She has her own private jet and lives in extreme luxury the likes of which most people couldn't even comprehend. Most mega church pastors are false teachers who have been overcome with greed and the desire for vain glory. So many churches today have become completely corrupted and they are run by greedy ministers.



View: https://youtu.be/yNiCLz9IH-g
 
Wewe ni mhalifu, siwezi kukupa ushahidi.

Wakataze wahalifu wenzio kupiga watu wasio waislamu wanaokula hadharani.
Taka mwaka maana hata Roman empire walikiwa na akili kama zako mwishowe Roman ndio ikawa nguzo ya ulinzi wa Ukristo.. and mnatakiwa kufahamu kuwa Kanisa ni watu hata wakiwa wawili wakitaja jina la Mungu Yesu anakuwepo.. so Kanisa ni just a jengo tu.. na kibaya zaidi yamekuwa maeneo ya kukusanya fedha tu
Ila dunia ikiwa ya waislamu itakua siyo sehemu salama ya kuishi.


View: https://www.youtube.com/shorts/OSfyYCkzLTo?t=26&feature=share
 
Wa kipenzi chenu mtume na Allah wake.
Crucifixion.jpeg
 
Mkuu soma European History and Civilization alafu njoo hapa uropoke tena. Islam imeau watu zaidi duniani toka enzi za Muddy na yote hii ni kutaka kusambaza dini yao.
Vita ya msaraba ndo vita iliyo uwa watu wengi kuliko vita yeyote tangu kuumbwa kwa dunia.
 
Kwa nini unajibu jibu la mtazamo tu, kwa swali ambalo limeuliza kupita mtazamo tu?
Mpambano wenu umekuwa mkali ila wenye mapungufu pande zote kwa mtazamo wangu.
Umehitaji uthibitisho wa kama kweli Mungu yupo.
Kipindi wewe mwenyewe hujaweka uthibitisho wa hoja yako kuwa Mungu hayupo.
Nakuona huamini km yupo kipindi hichohicho huamini kuwa hayupo.
Au unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?
 
Hivi ww jamaa mbona chenga sana,sasa hapo dini yangu nimeikimbiaje?
Alafu muda wa kuandaa topic za kufundisha watoto unaupataga wapi?
Maana kila dakika uko humu unabishana udini.
 

Attachments

  • Screenshot_20240330-234234~2.png
    Screenshot_20240330-234234~2.png
    466.6 KB · Views: 3
Mpambano wenu umekuwa mkali ila wenye mapungufu pande zote kwa mtazamo wangu.
Umehitaji uthibitisho wa kama kweli Mungu yupo.
Kipindi wewe mwenyewe hujaweka uthibitisho wa hoja yako kuwa Mungu hayupo.
Nakuona huamini km yupo kipindi hichohicho huamini kuwa hayupo.
Au unaweza kuthibitisha kuwa hayupo?
Tatizo ni kwamba naweza kuweka uthibitisho mkubwa, mrefu, mzito, wa kifalsafa kwa kuandika maneno manne tu the problem of evil, au kuielezea dhana hiyo kimantiki..

Halafu wewe ukawa hujafanya kazi ya kusoma habari nzima ya falsafa nzito iliyopo katika hayo maneno manne, au kuielewa hiyo dhana.

Ukawa hujaelewa.

Umeviona vineno vinne vidogo ambavyo kama hujavielewa unaweza kuviruka tu ukawa bado umeelewa hoja kwa muktadha. Au ukaona maelezo kuhusu hiyo dhana, ukawa huna uwezo wa kuelewa kina cha hoja hiyo.

Kumbe ukifanya hivyo inakuwa umefanya kosa kubwa sana.

Umekosa kuelewa kuwa nimegusia kitu kikubwa sana kinachoonesha kimantiki Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo na hawezi kuwepo.

Sasa, kabla ya kuniulaumu sijathibitisha Mungu hayupo, unajua nini kuhusu "the problem of evil"?

Maana naweza kuwa nafanya kazi ya ziada kufundisha vitu basic ambavyo mtu anayefuatilia haya mambo kwa kina kifalsafa anatakiwa awe anayaelewa.

Lakini huko kwetu wengine mpaka leo hawaamini kama kuna watu hawaamini wala kukubali Mungu yupo.

Hapo kuelewana ni kazi.

Wewe ndiyo hujaelewa.

Naweka problem of evil kifupi hapa.

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction.

Contradiction hii inatuonesha ama Mungu huyo yupo na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.

Ama ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, na Mungu huyo hayupo.

Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo.

Mungu huyo hayupo.

Umeelewa?
 
Tatizo ni kwamba naweza kuweka uthibitisho mkubwa, mrefu, mzito, wa kifalsafa kwa kuandika maneno manne tu the problem of evil, au kuielezea dhana hiyo kimantiki..

Halafu wewe ukawa hujafanya kazi ya kusoma habari nzima ya falsafa nzito iliyopo katika hayo maneno manne, au kuielewa hiyo dhana.

Ukawa hujaelewa.

Umeviona vineno vinne vidogo ambavyo kama hujavielewa unaweza kuviruka tu ukawa bado umeelewa hoja kwa muktadha. Au ukaona maelezo kuhusu hiyo dhana, ukawa huna uwezo wa kuelewa kina cha hoja hiyo.

Kumbe ukifanya hivyo inakuwa umefanya kosa kubwa sana.

Umekosa kuelewa kuwa nimegusia kitu kikubwa sana kinachoonesha kimantiki Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo na hawezi kuwepo.

Sasa, kabla ya kuniulaumu sijathibitisha Mungu hayupo, unajua nini kuhusu "the problem of evil"?

Maana naweza kuwa nafanya kazi ya ziada kufundisha vitu basic ambavyo mtu anayefuatilia haya mambo kwa kina kifalsafa anatakiwa awe anayaelewa.

Lakini huko kwetu wengine mpaka leo hawaamini kama kuna watu hawaamini wala kukubali Mungu yupo.

Hapo kuelewana ni kazi.

Wewe ndiyo hujaelewa.

Naweka problem of evil kifupi hapa.

Kimantiki, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ni contradiction.

Contradiction hii inatuonesha ama Mungu huyo yupo na ulimwengu unaoruhusu mabaya haupo.

Ama ulimwengu unaoruhusu mabaya upo, na Mungu huyo hayupo.

Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo.

Mungu huyo hayupo.

Umeelewa?
Tuanzie hapa,
Nadhani anatafutwa hapa Mungu muumba wa kila kitu. (Hata mema na mabaya)
Yaani Mungu muweza wa yote, asiyeshindwa lolote.

Km anaweza yale wewe unayoona kuwa ni mema hawezi kushindwa hata yale unayoona kuwa ni mabaya.

Maana asipoweza lolote kati ya hayo anakuwa kapungukiwa sifa yake ya uungu.
Labda km tukajadili imani, huo ni mjadala mwingine.
Hapo bado hujathibitisha kuwa hayupo"
 
Leo ni siku ya mashoga huko Marekani
 

Attachments

  • IMG_20240330_232756.jpg
    IMG_20240330_232756.jpg
    179.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom