Ukristo: Mungu hajakataza kuoa mke zaidi ya moja, dhana ya mwili moja si kuwa na mke moja, hata ukilala na malaya ninyi tayari ni mwili moja

Ukristo: Mungu hajakataza kuoa mke zaidi ya moja, dhana ya mwili moja si kuwa na mke moja, hata ukilala na malaya ninyi tayari ni mwili moja

Naomba niulize swali wana jamvi!
Huwa kuna ugumu gani wa kubaki bachelor na kulala mtu yoyote wakati wowote unaojiskia?

Lengo linakuwa ni nini kujiingiza kwenye ndoa,wakati unajua hata ukipewa wake na masuria wote aliyokuwa na suleiman bado utatamani tu kila ambae hujalala nae?

Sababu leo hii utaona wanaoruhusiwa kuoa wake wanne wanafaidi,kesho utaingia kwenye mfumo huo na bado utakuwa tu na hoja mpya,ya kutoridhika.

Ndoa ni kitu cha hiari,kwanini ulazimike kuoa?wakati unajua kabisa nataka kuchovya chovya huku na kule?

Naomba Tusaidiane mawazo ili tuelewe shida iko wapi hasa.
 
Naomba niulize swali wana jamvi!
Huwa kuna ugumu gani wa kubaki bachelor na kulala mtu yoyote wakati wowote unaojiskia?

Lengo linakuwa ni nini kujiingiza kwenye ndoa,wakati unajua hata ukipewa wake na masuria wote aliyokuwa na suleiman bado utatamani tu kila ambae hujalala nae?

Sababu leo hii utaona wanaoruhusiwa kuoa wake wanne wanafaidi,kesho utaingia kwenye mfumo huo na bado utakuwa tu na hoja mpya,ya kutoridhika.

Ndoa ni kitu cha hiari,kwanini ulazimike kuoa?wakati unajua kabisa nataka kuchovya chovya huku na kule?

Naomba Tusaidiane mawazo ili tuelewe shida iko wapi hasa.
Kwanza mm tofauti na kuwa bachela lakn bado nafikiria kufanyiwa huduma/operation inaitwa RISUG ili nisizalishe mwanamke yyte mpaka hapo nitakapoamua. Japo hii huduma bado haijafika bongo.

Yaan hawa wanawake wa kizaz hk ni chanzo cha matatzo mengi sana kwa wanaume.
 
Ni wakali kwasababu wanajua tayari ukiwaoa huna ujanja hapo wa kuongeza mke.

Mwanamke anapojua kwamba mwanaume bado anaweza kuongeza mke, hapo anashika adabu yake.

Mfano yeye anaweza kujipangia mzae watoto wawili tu akijua huwezi ongeza mke, ila akijua unaweza kuongeza mke atakuzalia tu ili usiongeze mke.
Especially wale wanawake magoli kipa,yani hapo umepatia kabisa.....

Ila ukikutana na wale straika yeye,kila kitu yeye anatumia common sense anajua tu huyu mwanaume ni spoilt brat ngoja nitambae.
 
Kwanza mm tofauti na kuwa bachela lakn bado nafikiria kufanyiwa huduma/operation inaitwa RISUG ili nisizalishe mwanamke yyte mpaka hapo nitakapoamua. Japo hii huduma bado haijafika bongo.

Yaan hawa wanawake wa kizaz hk ni chanzo cha matatzo mengi sana kwa wanaume.
Kama umeamua usioe ili uchovye chovye kila mahali,nafikiri ni bora tu kuwa honest with yourself na jamii/family yako.wasianze kukulazimisha uoe ili sjui mila blabla.

Utapata more support kuliko haya mambo ya kujijua kabisa zipu iko wazi 24/7 then unaanza kuwapa watu false hopes,mwishowe ving'ang'anizi wakuloge uanze kusota na waganga.

Ni vizuri tu kujua kuwa kila kitu ni kwa kiasi,.....so kama hamna kiasi ni addiction.na kama umejigundua una addiction ya ngono,unajitesa na mambo ya ndoa,sjui wake kadhaa,wat for,just feed ur addiction km drug addicts wanavofanya.
 
Kama umeamua usioe ili uchovye chovye kila mahali,nafikiri ni bora tu kuwa honest with yourself na jamii/family yako.wasianze kukulazimisha uoe ili sjui mila blabla.

Utapata more support kuliko haya mambo ya kujijua kabisa zipu iko wazi 24/7 then unaanza kuwapa watu false hopes,mwishowe ving'ang'anizi wakuloge uanze kusota na waganga.
Kwa kweli huwa nashangaa nikiskia kijana mwenye umri wa 20's anaona. Huwa najiuliza unaoa ili iwaje? Mm sio mtu wa kufungua zpu ila cjawahi kufeel ndoa. Yaan sinaga uhun uhuni ila cjawah kuielewa taasisi ya ndoa
 
Kwa kweli huwa nashangaa nikiskia kijana mwenye umri wa 20's anaona. Huwa najiuliza unaoa ili iwaje? Mm sio mtu wa kufungua zpu ila cjawahi kufeel ndoa. Yaan sinaga uhun uhuni ila cjawah kuielewa taasisi ya ndoa
Kuna watu wanaamini marriage,education is a scam like any other,sjui kuna uhakika kiasi gani ila tukihama kwenye ndoa nadhani socialization inaathiri.

Natamani watu wangeacha kujifool na ndoa.tumeshaishi miaka nenda rudi without the ability to have control ya self,basi tuendelee tu haina shida.

Watu wanafanyiana ukatili kisa ndoa,aisee
 
Madhehebu yote ni miradi ya watu , Ila biblia inabaki inastand firmly...Daudi , suleman , Yakobo , na mshujaa wengi walioa wake wengi lakini Kwa Gharama kubwa ya kuyumba kiimani , waliosimama imara kabisa ni wale ambao hawakuoa Eg Eliya mtishbi , Musa ( yeye alimtelekeza mkewe jangwani) , Daniel , Yeremia , Isaya , Yohana mbatizaji ...

Note: wanawake ni uchochoro mzuri wa shetani

Hakuna dhehebu la kweli , yote ni miradi ya upigaji , amini biblia peke yake mzee
 
Madhehebu yote ni miradi ya watu , Ila biblia inabaki inastand firmly...Daudi , suleman , Yakobo , na mshujaa wengi walioa wake wengi lakini Kwa Gharama kubwa ya kuyumba kiimani , waliosimama imara kabisa ni wale ambao hawakuoa Eg Eliya mtishbi , Musa ( yeye alimtelekeza mkewe jangwani) , Daniel , Yeremia , Isaya , Yohana mbatizaji ...

Note: wanawake ni uchochoro mzuri wa shetani

Hakuna dhehebu la kweli , yote ni miradi ya upigaji , amini biblia peke yake mzee
Kweli mkuu nakubaliana na uliyoyaandika.

Ila nnapopishana na wewe ni hapo uliposema mwnmke uchochoro wa shetani.

Ni lini watu watatake responsibility na kusema my actions are wrong?
Am doing things as a person who is out of control of myself?lini?

Kila kitu mara wanawake hawana heshima,mara malaya,mara ivi na vile ndo mana tunatembea zipu wazi.....its an issue of reacting to the actions of these women au kuna jingine?

The only thing we can control is ourselves,sasa inakuaje tena kila kitu ni wanawake?imebakia kusema wanatubaka.

kufanya jambo bila kiasi ni Misuse of our energy.mtu unajiona una power over women kumbe you have failed to be your own leader,then you seek power kwenye vitu vinavokumaliza.
 
Tatizo kubwa ni kwamba wakristo wanafata wanachoambiwa na viongozi wa kidini na sio maandiko yanavyosema. Hakuna sehemu imeandika mwanaume aoe mke moja tu.

Kuna huu mstari wa "Nao wawili watakuwa mwili mmoja." i hutafsiriwa vibaya kwa kudhani kwamba mwanaume inabidi awe na mke moja, La hasha!

Mwili moja ni mahusiano halali kwa ndoa ama batili nje ya ndoa yanayowakutanisha kimwili mwanaume na mwanamke kimwili. mwanaume akikutana kimwili hata na malaya tayarini mwili mmoja hapo.


1 Wakorintho 6:16
Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja.


pia ni dhana ya wingi wa kilicho chini kujikusanya kwa chenye ukuu kuwa kimoja, hata kiroho watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu wako wengi ila wanatengeneza kwa vile wapo chini ya Bwana wanatengeneza roho moja tu,


1 Wakorintho 6:16
Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.


basi hivi ndivyo ilivyo kwa mwanaume mwenye wake wengi, licha ya kuwa na wanawake wengi bado itakuwa ni mwili moja.

..............................


Matokeo ya kuafiki maandiko haya

-kuna kesi kibao za wanawake kuwanyima unyumba wanaume zao (njia pekee ni mwanaume kuchepuka)
-Mwanamke anampangia mwanaume wawe na watoto wangapi (anaweza kuzaa mtoto moja shughuli imeisha)
-Mwanaume anaweza asiwe na watoto kama mwanamke ni tasa.
Mkuu, umewahi kukutana na maneno haya ya Yesu na kuyatafakari?
Mathayo 19:4-6
4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.

Vv
 
WALEI ( RELIGIOUS LAYMEN) ndo hupangiwa na Clergymen wafanye nini.

Mababu zetu wa Imani wote kuanzia na Ibrahim ambaye Mungu alimwita Rafiki yake, walikua na Wake Wengi!

Polygamy is the Rule hapa
Sawa,kupanga ni kuchagua,uoe wake wengi wakuchanganye akili au ubaki na mmoja utengeneze maisha.
 
Karibu tu kutafakari HAYA ; Mwanzo 1:18, na Mwanzo 1:24.

Mwanzo 1:18 ipate kutawala mchana na usiku, na kuutenga mwanga na giza. Mungu akaona kuwa ni vyema.​

Mwanzo 1:24 Mungu akasema, “Nchi na itoe aina zote za viumbe hai, wanyama wa kufugwa, viumbe vitambaavyo na wanyama wa porini wa kila aina.” Ikawa hivyo.


Mkuu,
Unajadili hoja gani hapa kwa hayo maandiko?!!!
 
Hakuna andiko lililopinga kuoa zaidi ya mke moja kulingana na maelekezo ya Mwenyezi Mungu
Tupeleke muswada bungeni wa marekebisho ya sheria ya ndoa ya mwaka 1970,kipengele cha mdoa ya mke moja ifutwe.
Wanaume waruhusiwe kisheria kuoa mke zaidi ya moja.
 
Ni wapi ukristo ule wa maandiko umembana mwanaume kuoa mke moja ukiachana naule ukristo wa kufata maelekezo ya viongozi?
Nadhani tungeanza na wapi imeandikwa kiongozi wa dini kutokuowa na sister kutokuolewa? Mtoa mada kaleta hoja nzuri na ijibiwe kwa facts sio kujuu juu. Inatokea labda Mke anaumwa hawezi tena kufanya tendo sasa mwanamme afanye nini? hata waislamu kweli unaruhusiwa wake 4 lakini ziko sababu nyingi zinafanya mtu afikie maamuzi hayo. Ila wako sababu tu wana uwezo wanatafuta wake 4 lakini hata wamasai sijui hata ni dini gani lakini anaweza kuwa hata na 10 huko wana sababu zao pia.
 
Nadhani tungeanza na wapi imeandikwa kiongozi wa dini kutokuowa na sister kutokuolewa? Mtoa mada kaleta hoja nzuri na ijibiwe kwa facts sio kujuu juu. Inatokea labda Mke anaumwa hawezi tena kufanya tendo sasa mwanamme afanye nini? hata waislamu kweli unaruhusiwa wake 4 lakini ziko sababu nyingi zinafanya mtu afikie maamuzi hayo. Ila wako sababu tu wana uwezo wanatafuta wake 4 lakini hata wamasai sijui hata ni dini gani lakini anaweza kuwa hata na 10 huko wana sababu zao pia.
True kiongozi!
Ni mambo ya kujilimit limit tu.......hata ndoa ni kujilimit.
Kila mtu awe huru.hata wale wanaume mabeberu wanao react wakisikia kama ile sheria ilopitishwa south africa ya wanawake kuwa na mahusiano na wanaume kadiri wapendavyo,nawashangaa.

Kwani wapi iliandikwa wanawake hawaruhusiwi kufanya maamuzi yao?wawe slaves wa kuolewa na lijamaa moja lililoko addicted to ngono.

Hata wao kama wana addiction ya ngono watange tange tu,pia.

This is a double edge sword,watu waache kujifanya kuvutia kamba kwao,sio enzi za ukoloni hizi.
 
Mkuu, umewahi kukutana na maneno haya ya Yesu na kuyatafakari?
Mathayo 19:4-6
4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.

Vv
[emoji23][emoji23][emoji23] mnaelewa vibaya sana biblia. Yaani mke unashuhudia kila mara anakung'utwa huko nje, kwahiyo unalazimishwa kuendelea naye kisa tu kilichounganishwa sijui na Mungu mwanadamu asikitenganishe?

Kwamba dhambi ya uzinifu imehalalishwa ndo maana hutakiwi kumwacha mke ama mume wa aina hiyo? Pathetic!
 
Madhehebu yote ni miradi ya watu , Ila biblia inabaki inastand firmly...Daudi , suleman , Yakobo , na mshujaa wengi walioa wake wengi lakini Kwa Gharama kubwa ya kuyumba kiimani , waliosimama imara kabisa ni wale ambao hawakuoa Eg Eliya mtishbi , Musa ( yeye alimtelekeza mkewe jangwani) , Daniel , Yeremia , Isaya , Yohana mbatizaji ...

Note: wanawake ni uchochoro mzuri wa shetani

Hakuna dhehebu la kweli , yote ni miradi ya upigaji , amini biblia peke yake mzee
[emoji23][emoji23][emoji23] tuiamini biblia pekee kwa misingi ipi? Kwamba yenyewe haikuandikwa na wanadamu kama vilivyo vitabu vingine? Hiyo ni miradi ya watu mkuu amka usingizini.

Hakuna kitabu kilichoshuka kutoka mbinguni vyote ni maandishi yaliyoandikwa na binadamu.

Yaani ulivyoongea utadhani biblia ilishuka straight kutoka mbinguni haikuandikwa na binadamu kama wewe. Ukiiamini biblia basi automatically uamini na vitabu vingine kwakuwa vyote ni maandiko ya binadamu.
 
Back
Top Bottom