mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
kuoa mke zaidi ya mmoja kuna masharti na mazingira ambayo yanaruhusu kufanya hivyo tena mke aliyetangulia lazima akubali kwa ridhaa bila kulazimishwa ila tatizo naona wengi wanatoa sababu nyepesi zinazoongozwa na tamaa za kuoa mke zaidi ya mmoja hii ni kwa wote mkristo/muislamu mfano mke amezeeka ambapo anashindwa kumuhudumia mumewe na mume bado ana nguvu basi mke anaweza kumshauri mumewe aoe mke mwingine wa kumsaidia