Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Wewe hujaona ushahidi nilioweka hapo na tarehe nmekuwekea kabisa.
Mwanzilishi wa Ukristo Ni constantini aliyekuwa kuhani mkuu wa ibaada za jua
Kama umetaka iwe hivyo unavyofikiri huoni wewe ndiye mwenye shida kuliko huo Ukristo unaohangaika nao? Jina Mkristo linatokana na Kristo - yaani mfuasi wa Kristo anaitwa Mkristo. Kwamba Constantine ndiye kaanzisha Ukristo ni fallacy iliyopitliza. Kwa nini kama yeye ndiye mwanzilishi wafuasi wake wasiitwe angalau 'Constantines'. Hata wafuasi wa falsafa ya Aristotle wanaitwa Aristotelians au wa Machiavelli wanaitwa Machiavellians. Ni unbelievable kusema Aristolians ni wafuasi wa Kant au Thomists ni wafuasi/wanafunzi wa René Descartes.
Nini tafsiri au maana ya dini?
 
Mkristo hawezi ujua zaidi uislamu kuliko Muislamu na pia Muislamu hawezi ujua zaidi Ukristo kuliko Mkristo. Zaidi ya hapo ni changamsha mada tu.
Sure! Ni kama ulambe sukari halafu atokee njemba aseme anajua jinsi unavyojisikia kuliko wewe mwenyewe uliyeonja. Hawa watu wanaohangaika na dini za wenzao sijui huwa hawana kazi ya kufanya?
 
Njaa mbaya sana. Unatafuta waumini kwenye jukwaa la wajuvi wa mambo?? RC, KKKT NK wanaabudu siku ya jumapili kwa Imani Yao kwamba wanaadhimisha siku ya UFUFUKO WA BWANA YESU KRISTO MBEBA UZIMA. OVER
 
Kama umetaka iwe hivyo unavyofikiri huoni wewe ndiye mwenye shida kuliko huo Ukristo unaohangaika nao? Jina Mkristo linatokana na Kristo - yaani mfuasi wa Kristo anaitwa Mkristo. Kwamba Constantine ndiye kaanzisha Ukristo ni fallacy iliyopitliza. Kwa nini kama yeye ndiye mwanzilishi wafuasi wake wasiitwe angalau 'Constantines'. Hata wafuasi wa falsafa ya Aristotle wanaitwa Aristotelians au wa Machiavelli wanaitwa Machiavellians. Ni unbelievable kusema Aristolians ni wafuasi wa Kant au Thomists ni wafuasi/wanafunzi wa René Descartes.
Hata Masihi Yehoshuwa mwenyewe mpaka anatundikwa mtini hakuwahi sikia hilo jina la Yesu wala kristo. Wala wafuasi wake kipindi yuko hai hawakuitwa wakristo.

Sasa inakuaje wafuasi wake leo mnaojiita wakristo mseme kuwa mnamfuata mtu ambaye hata jina lake tu hamlijui??
Na iweje mumpakazie uongo masihi kuwa aliangikwa msalabani wakati yeye alitundikwa mtini??
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu
Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Unafahamu jina Takatifu la Yesu limetokana na lugha Gani?
Kwanza anaitwa Yahushua(Wokovu watoka Kwa YHWH) Ha'Mashiach(Mpakwa Mafuta/ The Anointed One), ambalo lilitafsiriwa kwa lugha ya Kigiriki kama Iesous Christos maana kipindi kile lugha maarufu zilikuwa Kigiriki na Kilatini kipindi Cha Mitume.
Iesous ikitafsiriwa kwa kiingereza linakuja jina la Jesus .
Mbn Qur'an zilizotafsiriwa zinamuita Jesus son of Mary?
 
Hadithi nzuri Sana kwa kuwafundishia vijana madrasa,ungeongeza nyama kidogo kwamba, WAKRISTO hawataki kufuga majini,na kumkubali marehemu Mo,pia ungesema marehemu Mo aka mudy alioa mtoto wa miaka sita,miaka 9,`akaanza kubandua, Lakini pia alikua hajui kusoma na kuandika x
 
Hadithi nzuri Sana kwa kuwafundishia vijana madrasa,ungeongeza nyama kidogo kwamba, WAKRISTO hawataki kufuga majini,na kumkubali marehemu Mo,pia ungesema marehemu Mo aka mudy alioa mtoto wa miaka sita,miaka 9,`akaanza kubandua, Lakini pia alikua hajui kusoma na kuandika x
Ungejikita kwenye kupangua hoja zake ingependeza zaidi kama wanavyojaribu wenzako walio wastaarabu.
 
Kupokea ROHO MTAKATIFU na akafanya kazi ndani yako yote yatakuwa ni UELEWA MTUPU.

" Tuliwaona watu , wakitoa pepo , tukawakataza ,,,,,,,,,,"

Haya ndo mambo yaliyowajaa watu wasio na ROHO MTAKATIFU.

leo hii alama ya UPINDE WA MVUA ukiulizwa inamaanisha nn? Kwa kuwa akili yenye mgando isiyo na ROHO MTAKATIFU , itakupa jibu la AJABU.

ROHO ambazo bado ziko GIZANI , kwao kufurahi na kusherehekea PASAKA na CHRISTMAS ni machukizo!! Ukiwauliza kivipi?

Ooooh, haikusherehekewa hivyooo, ooooh hiyo tarehe siyo!! Acha kukariri , ruhusu ROHO MTAKATIFU AKUTAWALE utaona mambo yote ni mepesi na ni katika UTUKUFU WA BWANA kwa njia mbalimbali.

Kwahiyo tunapouona UPINDE WA MVUA angani ni ushoga umepandisha utambulisho wao ANGANI?
 
Hata Masihi Yehoshuwa mwenyewe mpaka anatundikwa mtini hakuwahi sikia hilo jina la Yesu wala kristo. Wala wafuasi wake kipindi yuko hai hawakuitwa wakristo.

Sasa inakuaje wafuasi wake leo mnaojiita wakristo mseme kuwa mnamfuata mtu ambaye hata jina lake tu hamlijui??
Na iweje mumpakazie uongo masihi kuwa aliangikwa msalabani wakati yeye alitundikwa mtini??
Kwani maana ya Masihi ni nini? Kwenye Kigriki neno Christos, ambalo kwa Kiebrania lina maana ya meshiah (messiah) maana yake ni mpakwa mafuta. Kwa Kiingereza "the anointed one" - yaani Kristos (Christ/Kristo) alikuwa mwana mpakwa mafuta kutoka ukoo wa Mfalme Daudi na ambaye alitajiwa kuwakomboa "waana wa Israeli". Jina Yesu (Kiswahili) na Jesus (Kiingereza) linatoka kwa Kiebrania (Yeshua), ambalo kwa Kigriki ni Iesous, kwa Kilatini IESVS na kwa Kiingereza Jesus na Kiswahili Yesu na lina maana ya mkombozi. Yesu hakutundikwa mtini (kama unajua maana ya kutundikwa mtini) - kwenye mti (kama kichakani). Kutundikwa msalabani ina maana zilikuwa aina ya mbao au papi nene zilizotengenezwa kama alama ya kujumlisha (masala) kwa ajili ya kuweka sehemu ya mikono (kwenye ubao/papi iliyolala katikati) na kichwa, kiwiliwili na miguu kwenye ubap/papi iliyosimama. Sasa hiyo ya kutundikwa mtini ndiyo naisikia kutoka kwako. Au ni wewe uliyemtundika mtini?
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu
Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Wenyewe wanakuja,watakupinga.
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu

Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Nimesoma vizuri ila nimegundua Kuna vitu upo sahihi na kunavitu haupo sahihi 100%
 
Nyani haoni kundule; Uislam wenyewe hae inherited many things kutoka Ukristo na Uyuda plus kuna many pagan rituals in Islam pia km Hajj uko Mecca and stoning the Devil. Ile pia ni pagan rituals pia ungesoma historia ya Satanic verses na controversy yake ungeelewa kwamba Mohammed Km mwanasiasa alicompromise kwa waarabu at that time who were idol worshippers kwamba wataabudu miungu yao maarufu na wapendao zaidi LAT, UZZA AND MANAT. So ukifuatilia kila dini tu Km nchi unakuta mambo kibao; wenye dini wanaamua tu what to ignore 😅😅😅
 
Back
Top Bottom