Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

hebu tuache haya mambo ya dini
 
Haya waabu [emoji3508] njooni hapa mjibu hoja
 
Mkuu ingekua Busara ukajibu swali kwanini Nyota na Mwezi na sio Jua ?
 
Nini tafsiri au maana ya dini?
Kiislamu dini ni mfumo wa maisha wa binadamu hata mtu akiabudu ng'ombe hiyo ndio dini yake ,akiwa mzinifu au jambazi anahesabika yupo katika dini hiyo ya ujambazi nk.

Tofauti ni kuwa kuna dini sahihi ambao ni mfumo sahihi wa maisha ya mwadamu aliouchagua Mwenyewezi ufuatwe na mfumo ambao sio sahihi ambayo ni njia ya Shetani.
 
Mfungo umeisha, tutawaona wengi sana humu na nyuzi za kuponda ukristo, tuwazoee tu mwezi wao wa kutenda matendo mema umesiha sasa wanarudi kwenye uhalisia wao
Jibo hoja ilioko ubaoni
 
Kama ulivyojibu ndiyo na kwa wenzio hivyohivyo.Usitoe majibu kwa mambo usiyoyajua na hayakuhusu.
 
Kwenda nje ya mada ni dalili ya upungufu wa akili hawafanyi isipokuwa wasiojielewa, mleta nada ni mwenzenu aliyeamua kuwa mpagani.
Mkuu wewe tumia Busara tu jibu swali kwanini Nyota na Mwezi na sio Jua ? Sawa ni nje ya mada Ila jaribu kutoa ufafanuzi sio Jambo baya ukifafanua kwanini Mwezi na Nyota waislamu tunaviabudu ?
 
Mkuu ingekua Busara ukajibu swali kwanini Nyota na Mwezi na sio Jua ?
Nimekujibu kwa kukuQuote Pamoja na kukuelekeza kuwa post no #63 majibu yapo na kukutaka uulize maswali baada ya post hizo mbili za majibu yako.
 
Jibu hoja hacha kulia
 
Nimekujibu kwa kukuQuote Pamoja na kukuelekeza kuwa post no #63 majibu yapo na kukutaka uulize maswali baada ya post hizo mbili za majibu yako.
Hapana mkuu sitaki hio namba 63 nataka uelezee wewe, kwanini Nyota na Mwezi na sio Jua ?
 
Jibu hoja wewe tangu lini ukawa muisilamu?kuabdu maanake nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…