Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ya kuvaa nguo pana inaitwa kanzu.Mbona mnabalisha mada tujikite kwenye hoja je siku ya j2 ni yakuabudu jua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kuvaa nguo pana inaitwa kanzu.Mbona mnabalisha mada tujikite kwenye hoja je siku ya j2 ni yakuabudu jua?
Wakirito mmkubali hoja kuwa nyiyi ni waabudu jua siku ya j2 kwa sababu amjengi hoja bali mnajificha na kuzua mengine hili hoja ifeTumalizane huku kwanza kwanini Mwezi na Nyota ?View attachment 2595850
Anawashwa.Shida ipo wapi kama ni ya kipagani!?
Unajua maana ya kuabudu?Wakirito mmkubali hoja kuwa nyiyi ni waabudu jua siku ya j2 kwa sababu amjengi hoja bali mnajificha na kuzua mengine hili hoja ife
Jibu hoja je siku ya j2 ni siku ya kuadu jua?Unasema hivyo kwa sababu una ushahidi au kwa sababu watu wengine wanasema hivyo? Kama Ukristo ni dini ya uongo isingechukua miaka zaidi 2000. Ingekuwa imeshakufa. Hakuna dini ya uongo inayowafundisha wanadamu kumrudia Mwenyezi Mungu, kutenda haki, kupendana (upendo wa kweli), kuwaonea huruma wanaoteseka, kusameheana na kuwasaidia wenye shida. Hakuna dini ya uongo ya aina hiyo. Kuna madhehebu ya uongo yanaibuka na huyasemi hayo: yanafundisha watu ufuska etc. Labda kama ukisema aina hii ya madhehebu hapo naweza kukubali.
Wewe ni mshenzi 1 ulie shindwa kujibu hoja unapotezea je j 2 nisiku ya kuabudu jua?Jibu swali kwanini waislamu tinaabudu Mwezi na Nyota ? Mboni unakimbiza swaliView attachment 2595857
Ulomuona nani anaabudu jua hiyo siku?Wewe ni mshenzi 1 ulie shindwa kujibu hoja unapotezea je j 2 nisiku ya kuabudu jua?
Wakristo hawajawahi kuabudu Jumapili kabla ya constantine mwaka 325BK...weka ushahidiUmeandika conspiracy theories kwa kujiamini kabisa yani. Wakristu walikuwa wanaabudu siku ya jumapili kabla ata ya huyo Constantine.
Aliyeitisha kikao kikuu cha wakuu wa makanisa yote duniani kwa kipindi hiko alikuwa nani kama sio Constantine?Costantine hakiwahi kuwa sehemu ya maamuzi ya kanisa ata kidogo. Huu upotoshaji ni ujinga.
Uzuri hizi amri kumi ziko agano la kale kwahyo wakatoliki pamoja na kuifuta hii amri bado tunaweza kuangalia biblia ya kiyahudi na kuujua ukweli uko wapi.Wakatoliki kimsingi ambao ndio wakristo wa mwanzo hawaabudu sanamu. Ogopa sana ujinga. Mungu hakukataza sanamu, ndio maana alimuamuru ata Musa akatengeneze sanamu ya nyoka, suleiman pia. Issue ni kuipa sanamu uhai. Kitu ambacho hakuna mkatoliki anafanya. Kama hujui utulie.
Alafu unadiriki kusema eti kuna amri wakatoliki wamefuta, ya pili eti, wewe ni juha mkuu. Amri zinafundishwa zote na kufafanuliwa ipasavyo. Nyie wa nje ndio kazi kubwabwaja tu.
Tueleze tuelewe,kuabudu maana yake nini?Kuhusu kuabudu Jua ni kweli madhehebu ya jumapili yote yanaabudu Mungu jua , na master mind wa hii kitu ni Roman Catholic , na kilele cha sherehe za ibada za jua ni Desember 25
Madhehebu yanayoabudu jumapili ndo yamejaa kero na vurugu tupu , humo ndo kuna mitume , manabii , wanenaji wa Lugha , mara sadaka ya kujimaliza yaani ni vurugu
Hata hvyo bado ukristo ni dini ya kweli
Yote hayo yalifanyika chini ya mtawala wa dola la kirumi Constantine, yeye ndo alikuwa na mamlaka ya kubadili chochote kwenye biblia na ndiye aliita baraza la wazee wa makanisa yote duniani na kupitisha hivyo vitabu.Unazo hoja. Hoja hujibiwa kwa hoja. Subiri wafia dini waje kupangua hoja.
Swali kwako. Owner wa bibilia ni nani? Nani alikuwa na mamlaka ya kuweka na kutoa baadhi ya vitabu kama tunavyosikia kuwa kuna baadhi ya vitabu vimeondolewa kwenye bibilia? Ref. Injili ya Enoch na Barnaba.
Atabadili majira na sheria...na kweli constantine alikuja akabadili majira kutoka jumamosi kwenda jumapili na sheria nyingi tu alibadili24:Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande.
24 Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataondoka baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu.(constantine)
25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
Unaseama biblia imebadilishwa alafu mda huo huo unai-quote tena hivi ndo vitimbi na vibwekaYote hayo yalifanyika chini ya mtawala wa dola la kirumi Constantine, yeye ndo alikuwa na mamlaka ya kubadili chochote kwenye biblia na ndiye aliita baraza la wazee wa makanisa yote duniani na kupitisha hivyo vitabu.
Biblia kupitia Daniel ilimtabiri ujio wake miaka 600 kabla
Daniel 7 23: Akiutabiria ufalme wa dola ya kirumi utakaokuja
Atabadili majira na sheria...na kweli constantine alikuja akabadili majira kutoka jumamosi kwenda jumapili na sheria nyingi tu alibadili
Hiyo hadithi uliyoileta ni kutoka kwa wasabato ambao hao hao wanatumia biblia ambayo wanasema imechakachuliwa na wanatumia calender ya warumi ambayo nawewe unaifuataWewe unaamini hadith zipi? Ulizoambiwa na mchungaji wako au padri?
Sio ukweli umecopy na kupaste kutoka kwa wasabato ulichoandika hapo hakuna jipyaShida yangu ni ukweli ujulikane. Na namshukuru Mungu umeanza kujulikana