Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Ikishajulikana inakusaidia nini wewe ambaye sio mpagani!? Unafikiri wasipokuwepo wapagani neno mpagani litakuwepo!?Shida yangu ni ukweli ujulikane. Na namshukuru Mungu umeanza kujulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikishajulikana inakusaidia nini wewe ambaye sio mpagani!? Unafikiri wasipokuwepo wapagani neno mpagani litakuwepo!?Shida yangu ni ukweli ujulikane. Na namshukuru Mungu umeanza kujulikana
Kumbe kwako dini ni kuto vaa vimini? We kweli hamnazoUkiristo sio dini
Nadhani dini ni usabato na uislamu tu Hawa wengine wanavaa vimini kanisani wachungaji wa mchongo sana
Bwana eh! Em elewa basi.Huo mstari wa daniel uliouquote unauhakika kwenye biblia ya kikristo unayoituhumu imechakachuliwa hausomeki hivyo hilo tu ndo swali langu lakin hutaki kulijibu
Kanisani sio barKumbe kwako dini ni kuto vaa vimini? We kweli hamnazo
Unaweza kuniambia kabla ya inovation of tecnology watu walivaa nini kanisani?
Kanisani walivaa nini? Kabla ya ujio wa viwanda hivyo vya nguo? Tatizo hata hamielewi dini hizi zimekujaje kujaje,Kanisani sio bar
Umeedit hiyo picha...sijawahi kupost thread ya hivyo humu jamvini.Jibu mada ni upungufu wa akili mtu kujadili nje ya mada tena kwa kumdhania mtu ,mijadala kama umekosa cha kujibu au ukiona wa kipuuzi wenye akili huwa wana ignore maana kwenda nje ya mada siku zote hawafanyi isipokuwa wasiojielewa.
Mleta mada hausiani na uislamu na yeye ni kinara wa kushambulia Uislamu hivyo si vyema kumuhusisha na uislamu huyo ni mtu wenu aliyeamua kuwa mpagani.View attachment 2595873
Thawabu gani utapata kwa kusema vibaya dini za wengine? Kama unahisi mtu anabudu kisicho sahihi fanya namna ya kumbadili afuate chako bila kukashifu kila anachokiamini mda huo itakusaidia kupata hizo thawabu kwa Mungu pasipo shakaLisipokuwepo itakuwa heri sana...namimi ntapata thawabu kwa mungu wangu
Many witches use moon phases to determine the period in which to perform a magical activity.
Usisahau bila mwezi kuandama hatuli Eid El Fitri
Although there are eight distinct moon phases, we will work mainly with five specific phases:
1. New moon – the opening of something new
2. Full moon – power
3. Black moon – banish
4. Crescent moon – build
5. Waning moon – rework and rebuild
Nimeiokota sehemu huko kwenye makolokolo, tirudi kwenye mada swali kwako mleta mada kwanini sisi waislamu tunaziabudu Nyota na Mwezi (Moon) ?
Wapi nimekashfu??? Au kuingea ukweli kuhusu ibaada za kikristo ni kukashfu?Thawabu gani utapata kwa kusema vibaya dini za wengine? Kama unahisi mtu anabudu kisicho sahihi fanya namna ya kumbadili afuate chako bila kukashifu kila anachokiamini mda huo itakusaidia kupata hizo thawabu kwa Mungu pasipo shaka
Basi dini ya kweli ni ipi?Ni swala la aibu sana kuona waafrika tukigombana kuhusu dini ambazo si zetu. Ukristu ulikuja kabla ya ukoloni ili kuiandaa afrika kwa ajili ya ukoloni, uislamu ulikuja na biashara ya utumwa.
kila dini ina nguvu zake na mapungufu yake. Elewa halafu amini.
Itakua Huna ufamahu kuwa mnaabudu shetani.Umeandika unachokifahamu kuhusu mada nyingine, stick kwenye mada tafadhali...Au hauna unalofahamu kuhusu mnavyoabudu jua?
Wewe dini yako wakiitwa wapagani are you ok with that!?Wapi nimekashfu??? Au kuingea ukweli kuhusu ibaada za kikristo ni kukashfu?
We umeprove kwa evidence ipi au hii ya kusadikika!?As long as you got evidence
Sio lazima kuwe na dini ya kweli. Ishi vizuri na watu, saidia wenye uhitaji utakapoweza, lipa madeni yako. Hiyo ni dini toshaBasi dini ya kweli ni ipi?