Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu

Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Nimeishia kusoma hapo uliposema Amri ya 4 ina agiza Kuabudu siku ya Saba.

Hiyo amri inapatikana kwenye Biblia gani?

Unaweza kuweka hapa hiyo amri ya 4 inayoagiza Kuabudu siku ya 7?
 
Nimeishia kusoma hapo uliposema Amri ya 4 ina agiza Kuabudu siku ya Saba.

Hiyo amri inapatikana kwenye Biblia gani?

Unaweza kuweka hapa hiyo amri ya 4 inayoagiza Kuabudu siku ya 7?
Kutoka 20:10
lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa
 
Kutoka 20:10
lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa
Kwenye hiyo Kutoka 20:10 uliyonukuu, Kuna agizo la KUABUDU hapo?

Mimi hapo naona agizo la KUPUMZIKA/KUTOKUFANYA KAZI.

Nionyeshe agizo la kuabudu kwenye hiyo amri ya 4.
 
Hata waislamu wanaabudu jua na mwezi ndiyo maana alama yao ni nyota na mwezi. Ushahidi kuwa waislamu wanaamini mwezi ni wale mabinti za Allah ambao ni Al-lat, manat na Al- uza. Hiyo ni miungu mwezi. Dini za kweli ni za Afrika tuu na zenyewe historia zake zimepotezwa kwa makusudi. Usimcheke mkristo wakati mpo sawa
 
Kwenye hiyo Kutoka 20:10 uliyonukuu, Kuna agizo la KUABUDU hapo?

Mimi hapo naona agizo la KUPUMZIKA/KUTOKUFANYA KAZI.

Nionyeshe agizo la kuabudu kwenye hiyo amri ya 4.
Tuanze na hiyo kupumzika...wewe huwa unapumzika hiyo siku ya saba?
 
Ibada ya kweli ni ipi!
Ibada ya kweli ni kuwaona wajane
Kuwasaidia masikini
Kuwafariji wagonjwa
Kuwatembelea wafungwa
Kuwajali yatima


Na Mwisho kumuamini Mungu wa Mbinguni,
Mwamedi alianzisha uislamu na akaswali humo,
Je Yesu alianzisha dini ipi!? Ila Kuna watu walifuata mafundisho yake , hao ndio wafuasi wa ukristo ,

Mnatafuta uhalali wa dini kwa kuangalia maneno katika lugha!!!?

Mungu wako anawezaje kukuhukumu kwa kumwabudu Mungu ambaye hajawekwa wazi!? jumapili, jumamosi na ijumaa, tofauti wa hizi siku ni Nini,?fikilia kama ungezaliwa jangwani alafu wazaz wako wakafa na kukuachia biblia, siku Yako ya Saba baada ya kusoma biblia au Quran ingekuwa lini?!kama jumapili juwa lingekuwa la kijan, af jumamosi njano hapo sawa, mnaamini matakwa na utashi wa kibinadamu kuliko mapenzi ya Mungu,


Dini Yako inapambana vipi na uzinzi, ufisadi, rushwa, tamaa, uchawi na ubinfsi, auu dini Yako inapambana na wanaosali jumamosi , ijumaa au jumapili tu unakuwa umejihakikishia Pepo,huku uchawi, ubinfsi,rushwa na unafiki yakiwa ni mambo ya kawaida kwako

Bado unafikili dini Yako ni Bora kuliko za wengine,!?umesoma mapito ya mwanadamu kiiimani !?je yaliwahi kuwa sahihi wakati wote!?humo msikitin au kanisani kwenu unaona ukamilifu ambao tumeagizwa kuufuata mara zote!?auu wewe ni wale wanaotetea hoja kwa kigezo Cha "ubinaadamu"

Tafakari utagundua jambo ,hutokaa uchunguze ya jilani maana hata wewe Bado una mengi hujayatekeleza,, mzigo wa kwanza unaoharibu ibada ya kweli ni mwili wako, mwili unataka gari kalii(utaomba rushwa, )mwili unataka demu mkaali, huko nyie wenye wake wanne ,je mlishaacha kutamani(tamaa)?, Mwili unataka ulale pazuri,ule pazuri(haya yote yanaleta ubinafsi, ulafi na dharau ),,,


hayo ya jua, siku na alama maadamu hayapo katika dhamira za wahusika wanaposali jua hawatendi dhambi,Mungu halisi anaangalia dhamira siyo hayo yakwenu, mnapotezwa na dini zinazosimamiwa na wanadamu mnaacha kusikiliza sauti ya Mungu ndani mwenu

Kuna watu wanatekeleza mapenzi ya Mungu na Wala hawajui msikiti Wala kanisa, nyie Sasa,kutwa mnapambania dini zetu na Wala hamumpambanii Mungu(Kuna mtu atasema kwa kuandika au kusema hapo ndio anampambania Mungu,Bado sana)
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu
Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Pumbavu wewe, mweusi unajifanya mwarabu. Hizo zote dini ni batili. Pendeni asili yenu, achana na tamaduni zao za kishenzi.
 
Pumbavu wewe, mweusi unajifanya mwarabu. Hizo zote dini ni batili. Pendeni asili yenu, achana na tamaduni zao za kishenzi.
Matusi ya nini ndugu yangu??
Utanishawishije niipende dini yako ya asili ikiwa unaanza na matusi?
 
Umeedit hiyo picha...sijawahi kupost thread ya hivyo humu jamvini.
Ewe mwanaJF usidanganyike kirahisi, search title ya huo uzi kama upo.
Kuwa na kumbukumbu naona umeanza kurukwa na akili ,nikikuwekea link ikiwa ni wewe unatoa ahadi gani ?
 
Pumbavu wewe, mweusi unajifanya mwarabu. Hizo zote dini ni batili. Pendeni asili yenu, achana na tamaduni zao za kishenzi.
Matusi ya nini ndugu yangu??
Utanishawishije niipende dini yako ya asili ikiwa unaanza na matusi?
 
na wewe unayeabudu mwezi nani bora? mnamwabudu Mungu asiyefanya kazi, asiye na nguvu, anayetetewa na wanadamu. a hopeess god.

Pole sana, Kamsaidie mungu wako vijana wamemfanyia kitu mbaya na kumvalisha sketi

 
Mmeshindwa kutikiza Imani Yao ss mnakuja na fake news kuhusu ukristo , ww mbona usiabudu chako uwachane nao ,kila nafsi inajua iendako ,unaeleza kuhusu Ibada ,ww ni mtakatifu , religious intolerance ni cancer mbaya kwa society let them be ,kila mja ashike yake ,wanaadamu tuna unafki mwingi Sana

Mbona hujatuonyesha hicho kilicho fake ?
 
Wakristo hawajawahi kuabudu Jumapili kabla ya constantine mwaka 325BK...weka ushahidi

Aliyeitisha kikao kikuu cha wakuu wa makanisa yote duniani kwa kipindi hiko alikuwa nani kama sio Constantine?
Kupitia hicho kikao ni mambo mengi yaliingizwa kwenye ukristo ikiwemo siku ya kusali, Utatu mtakatifu, vitabu vya kwenye biblia nk. Nk.

Google tu hata neno council of naicea uone nani aliitisha hicho kikao na nani alikuwa mwenyekiti kwenye hicho kikao kama sio huyo constantine


Uzuri hizi amri kumi ziko agano la kale kwahyo wakatoliki pamoja na kuifuta hii amri bado tunaweza kuangalia biblia ya kiyahudi na kuujua ukweli uko wapi.
Biblia ambayo haijachakachuliwa inasema:
Kutoka 20:4
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia

Sasa hiyo mifano ya Musa na nyoka, ile hakujifanyia bali aliamrishwa na mungu kutengeneza, kwahyo yeyote aliyeangalia yule nyoka aliamini kuwa ametengenezwa kwa maagizo ya mungu na akimuangalia basi anamtii mungu.
ila wakatoliki kila kanisa lina masanamu kibao, watu wanaenda kuyaabudu... rozali yenyewe ni sanamu na mbaya zaidi ni sanamu ya uongo maana Yehoshuwa hakusulubiwa msalabani kama rozali zilivyomchora.


Amri ya pili kwenye biblia yenu ya kikatoliki inasemaje?? Je ni sawa na biblia zingine ikiwemo ya kiyahudi??
Constantine sio mwanzilishi wa siku hiyo acha kudanganywa na stori za mitaani. Kanisa la Mitume yaani wanafunzi wa Yesu ndio walianza kukutana siku hiyo ili kuadhimisha siku aliyofufuka Yesu. Soma Matendo 20:7 kwa ushahidi. Ukitaka kujua Yesu alifufuka siku gani soma Mathayo 28:1
 
Mkristo gani anaabudu jua kama Mungu wake.
Msalaba wa Kikristo ni tofauti na msalaba wa freemason. Pia romani katoliki ni sehemu tu ya Ukristo
 
Back
Top Bottom