Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ndugu yangu elimu yako umeishia wapi ?
 
Kama ilivyo uisilamu kut
Kama ilivyo uisilamu kutukuza utamaduni wa kiarabu ,kama ilivyo Judaism kutukuza utamaduni wa kiyahudi, kama ilivyo buddasim kutukuza utamaduni wa kihindi kama ilivyo hinduism kutukuza utamaduni wa kihindi kwa hiyo dini zinabaki kuwa tamaduni za watu walio tuletea.
 
Hofu yangu ni moja tu kuhusu dini za kimapokeo.Serikali haina dini ila imeruhusu watu wake kuwa na dini.Kwa kuwa serikali inaongozwa na watu wenye itikadi za dini na hivyo wenye dini wanatutawala pasipo kutumia mabavu kwani viongozi wetu ni mawakala wao.Katika kubadilishana kijiti maslahi ya dini moja hayaingiliwi na nyingine na hivyo kuzua tafrani?Serikali zenye dini kama India,China, UK,Iran,Saudia naziona kama stable governments kuliko sisi
 
Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?

Anayelala usimwamshe......

Watakwambia wanataka kwenda Jihad. Mpaka Somalia kuna wapuuzi walienda kupigana Jihad. Unauliza Somalia kuna Jihad gani? Dini moja na koo kadhaa
 
Kumbe lille kanisa la mashoga la pentekoste kule Mbeya ni Zanzibar na Arabuni ?
Na Nora Damian

KISIWA cha Unguja, kinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya mashoga wanaoishi na virusi vya ukimwi.

Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam na Dk Subilaga Kasesela-Kaganda wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), alipokuwa akizungumza katika kongamano kuhusu maambukizi ya ukimwi kwa wafanyabiashara ya ngono, mashoga na watumia dawa za kulevya.

Alisema Zanzibar ndio eneo lenye mambo ya ushoga hapa nchini na kwamba asilimia 12 ya watu wanaoishi na virusi vya ukimwi katika Kisiwa cga Unguja ni wale wanaojishughulisha na mambo hayo.

Alisema baadhi ya sababu zinazochangia kukua kwa tatizo hilo ni vishawishi, wazazi kuwa mbali na watoto wao, yatima wanaokosa malezi mazuri, watoto wa kiume kulelewa na mama kwa kipindi kirefu na mtoto wa kiume kupenda kuvaa mavazi ya kike.

Alisema sababu nyingine zinazochangia tatizo hilo ni mazingira ya shule za bweni, ambazo baadhi yake zina wanafunzi wa kiume pekee, mwanaume kuwa na homoni nyingi za kike na wanaume wengi kukaa sehemu moja kama jeshini na magerezani.

Na wanawake wanaopenda kufanya ngono ya haja kubwa wanapaswa nao kujua kuwa ina hatari zaidi, kwa maana ya kupata maambukizo kuliko njia ya uke,alisema Dk Kaganda.

Alisema utafiti uliofanywa mwaka 2007/2008 umeonyesha kuwa asilimia sita ya Watanzania wanaishi na virusi vya ukimwi, wanawake wakiwa ndio waathirika wakubwa wa tatizo hilo.

Dk Kaganda alisema tatizo hilo liko zaidi katika maeneo ya mijini na ligawagusa mno watu wazima na wanawake wenye uwezo wa kufanya ngono na watoto wadogo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa shirika la TAWIF lililoandaa kongamano hilo, Fransisca Matao alisema jamii inachangia kwa kiasi kikubwa watoto wengi kuwa mashoga kufuatia kuwanyanyapaa na kuwatenga.

Imetoka: Gazeti la Mwananchi
 


View: https://youtu.be/aT68cP_PU1k
 
Sasa jibu swali uliloulizwa

Kwani wewe kanisa lako ni lipi? Jee huyo Yesu wenu si mzungu?
Angalia picha za watoto au watu wanaoshikilia Quran huwa ni waarabu. Sijaona mtoto wa mtu mweusi ameshikilia Quran
Acha kujitoa ufahamu๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Angalia picha za watoto au watu wanaoshikilia Quran huwa ni waarabu. Sijaona mtoto wa mtu mweusi ameshikilia Quran
Acha kujitoa ufahamu๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Sasa jibu swali uliloulizwa

Kwani wewe kanisa lako ni lipi? Jee huyo Yesu wenu si mzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ