sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
hapo mmeoana tu, maana nae ana nguvu kama yako tu.Hilo nalo linakusumbua akili,,, nani kamuoa mwenzie sasa,, au umeolewa mwenzetu
Una hekima mno!Hilo nalo linakusumbua akili,,, nani kamuoa mwenzie sasa,, au umeolewa mwenzetu
Acha udhaifu wewe kima. Hivi wewe hupumuliwi kweli(sorry)?hapo mmeoana tu, maana nae ana nguvu kama yako tu.
Mna ndoa au mnasogeza siku?hapo patatosha kweli?
- anajiamulia mzae mtoto moja tu kwakuwa ametingwa na kazi
-anaamua mwenyewe mfanye sex au asikupe ?
-yeye kahamishiwa kikazi huko bukoba wewe upo dar na mnakutana siku 1 tu kwa mwezi ?
Unaongea na Mimi mkuu?hapo mmeoana tu, maana nae ana nguvu kama yako tu.
Labda ameona kaolewa na ....Hapo patatosha kweli?
- Anajiamulia mzae mtoto moja tu kwakuwa ametingwa na kazi
- Anaamua mwenyewe mfanye sex au asikupe?
- Yeye kahamishiwa kikazi huko bukoba wewe upo dar na mnakutana siku 1 tu kwa mwezi?
[emoji23][emoji23]Mwambie sawa umekubali, ila ili ku 'balance' mambo mwambie umeshatafuta mwanamke wa kukutolea ge.nye zako wakati yeye akiwa anakupa kwa mwezi mara moja.
Mpe assurance kwamba haina shida hata kama atakuwa anakupa mbususu mara moja kwa mwaka.
Nashangaa ujue?Hilo nalo linakusumbua akili,,, nani kamuoa mwenzie sasa,, au umeolewa mwenzetu
Thubutu,mwanaume ni kichwa,ana nguvu kivipi?hapo mmeoana tu, maana nae ana nguvu kama yako tu.
Akili hana anashindwa kujiongezaHilo nalo linakusumbua akili,,, nani kamuoa mwenzie sasa,, au umeolewa mwenzetu
Hakuna mwanaume hapa!!hapo mmeoana tu, maana nae ana nguvu kama yako tu.