Ukristo umejengwa juu ya msingi wa Roman Catholic. Ipo Dominant kwa zaidi ya miaka 2000

Ukristo umejengwa juu ya msingi wa Roman Catholic. Ipo Dominant kwa zaidi ya miaka 2000

Historia ya ukristo kwa ufupi

Kuna injili zaidi ya 20, zimewekwa nne kwenye biblia - maono Roman Catholic.

- Baada ya Yesu kufa na Kufukuka
(according to matendo ya mitume)
★ Early Community (leader- Peter) Early Christianity (catholic)

etc etc.... after several years from Marrin Luther - Lutheran

★ FROM EARLY COMMUNITY TO DATE.
Catholic has been dominant even after mote than 2000 years?

ukizungumzia ukristo umezungumzia u catholic maana viru vyote vimekuja kutokana na Catholic na dhehebu zingine zime badilisha tu baadhi ya vitu mutoka hapo?

Tofauti na Catholic nani mwingine anaweza kusimama na historia ya ukristo individually ?

"juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa na halito tikisika"

- even in 2025 Catholic is dominant for over 2000 still
Huo mwamba maana yake Ni Nini au Nani?
 
Historia ya ukristo kwa ufupi

Kuna injili zaidi ya 20, zimewekwa nne kwenye biblia - maono Roman Catholic.

- Baada ya Yesu kufa na Kufukuka
(according to matendo ya mitume)
★ Early Community (leader- Peter) Early Christianity (catholic)

etc etc.... after several years from Marrin Luther - Lutheran

★ FROM EARLY COMMUNITY TO DATE.
Catholic has been dominant even after mote than 2000 years?

ukizungumzia ukristo umezungumzia u catholic maana viru vyote vimekuja kutokana na Catholic na dhehebu zingine zime badilisha tu baadhi ya vitu mutoka hapo?

Tofauti na Catholic nani mwingine anaweza kusimama na historia ya ukristo individually ?

"juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa na halito tikisika"

- even in 2025 Catholic is dominant for over 2000 still
lakini mm huwa nawasikia wasabato wa huku kijijin geita wanaisema roman katoliki kama.....Mwasi mkuu mama wa makahaba na machukizo ya nchi......sijui huwa wanaitoa kitabu gan???
 
Mimi sio muumini wa Roman Catholic.
Naweza kusema hili ni kanisa bora zaidi kuliko makanisa yote unayoyajua.

Wenzetu wamewekeza sana kwenye
ELIMU(AKILI)
AFYA (MWILI)
UCHUMI (VITEGAUCHUMI)
KANISA (IMANI)

Jinsi ya wanavyo miliki na kuendesha mashule, vyuo, mahospitali, Benki nk nk ni kielelezo cha ukubwa wa elimu yao, imani yao, utajiri wao.ufanisi wao, uongozi wao.
Ushawahi sikia kanisa hili lina mgogoro wa kugombea madaraka?

Sasa njoo kwenye makanisa yetu haya mengine historical churches kama Moravian, Aglikana, lutheran.
Angalia haya makanisa ya maombi na maombezi ya mitume na manabii.
Ebu anglia ELIMU, AFYA, UCHUMI kwa waumini wake 😀 😀 .
100%
 
Nimesikitika Sana. Rejea etymology za terminology zote zinazotumika Catholic then symbolism kisha historia ya ukristu kabla ya kuibiwa na wahuni Kisha kuuchanganya na mafundisho ya kihuni.
em tuelezee ukristo ulivyoanza na tuki trace kutokea sasa mpaka kipindi ukristo unachipuka utakutana na nani ?
 
em tuelezee ukristo ulivyoanza na tuki trace kutokea sasa mpaka kipindi ukristo unachipuka utakutana na nani ?
Search
1. Penis steeple.
2. Circe or Kirk.
Anzia hapo.
 
Historia ya ukristo kwa ufupi

Kuna injili zaidi ya 20, zimewekwa nne kwenye biblia - maono Roman Catholic.

- Baada ya Yesu kufa na Kufukuka
(according to matendo ya mitume)
★ Early Community (leader- Peter) Early Christianity (catholic)

etc etc.... after several years from Marrin Luther - Lutheran

★ FROM EARLY COMMUNITY TO DATE.
Catholic has been dominant even after mote than 2000 years?

ukizungumzia ukristo umezungumzia u catholic maana viru vyote vimekuja kutokana na Catholic na dhehebu zingine zime badilisha tu baadhi ya vitu mutoka hapo?

Tofauti na Catholic nani mwingine anaweza kusimama na historia ya ukristo individually ?

"juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa na halito tikisika"

- even in 2025 Catholic is dominant for over 2000 still
Very logical, hizi historical churches, pamoja na hizi makanisa za akina mwamposa na wenzake wanahisi wao ndo wameanza kumjua MUNGU,

Catholic is over everything kuhusu Imani ya kikristo pamoja na uislamu
 
Very logical, hizi historical churches, pamoja na hizi makanisa za akina mwamposa na wenzake wanahisi wao ndo wameanza kumjua MUNGU,

Catholic is over everything kuhusu Imani ya kikristo pamoja na uislamu
system nzima wameiweka wao, kwaiyo ukishakua tu mristo jua vitu ni vingi na jinsi imani yako ilivyokua structured imefanywa na Roman Catholic
 
Historia ya ukristo kwa ufupi

Kuna injili zaidi ya 20, zimewekwa nne kwenye biblia - maono Roman Catholic.

- Baada ya Yesu kufa na Kufukuka
(according to matendo ya mitume)
★ Early Community (leader- Peter) Early Christianity (catholic)

etc etc.... after several years from Marrin Luther - Lutheran

★ FROM EARLY COMMUNITY TO DATE.
Catholic has been dominant even after mote than 2000 years?

ukizungumzia ukristo umezungumzia u catholic maana viru vyote vimekuja kutokana na Catholic na dhehebu zingine zime badilisha tu baadhi ya vitu mutoka hapo?

Tofauti na Catholic nani mwingine anaweza kusimama na historia ya ukristo individually ?

"juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa na halito tikisika"

- even in 2025 Catholic is dominant for over 2000 still
Nakusahihisha kidogo. Hakuna kanisa linaitwa "roman catholic".
 
😂😂😂😂😂😂 mtafute Yesu. Kwa Mungu hakuna kitu kinachoitwa Catholic, Anglican, assembles of God, Lutheran. Hayo ni madhehebu. Hatutahukumiwa kutokana na makanisa. Mungu ataangalia matendo
Mkipigwa na kitu kizito mnakimbilia maneno hayo ya mtafute Yesu.....
 
Mimi sio muumini wa Roman Catholic.
Naweza kusema hili ni kanisa bora zaidi kuliko makanisa yote unayoyajua.

Wenzetu wamewekeza sana kwenye
ELIMU(AKILI)
AFYA (MWILI)
UCHUMI (VITEGAUCHUMI)
KANISA (IMANI)

Jinsi ya wanavyo miliki na kuendesha mashule, vyuo, mahospitali, Benki nk nk ni kielelezo cha ukubwa wa elimu yao, imani yao, utajiri wao.ufanisi wao, uongozi wao.
Ushawahi sikia kanisa hili lina mgogoro wa kugombea madaraka?

Sasa njoo kwenye makanisa yetu haya mengine historical churches kama Moravian, Aglikana, lutheran.
Angalia haya makanisa ya maombi na maombezi ya mitume na manabii.
Ebu anglia ELIMU, AFYA, UCHUMI kwa waumini wake 😀 😀 .
Kanisa lipo moja tu Katoliki hayo mengine yote ni vipande vya imani vilivyojigawa toka Kanisa Katoliki.
 
😂😂😂😂😂😂 mtafute Yesu. Kwa Mungu hakuna kitu kinachoitwa Catholic, Anglican, assembles of God, Lutheran. Hayo ni madhehebu. Hatutahukumiwa kutokana na makanisa. Mungu ataangalia matendo
Sasa mbona tuliambiwa kama siyo msabato jua wewe ni kiberitiii tu?
 
Back
Top Bottom