Ukristo umejengwa juu ya msingi wa Roman Catholic. Ipo Dominant kwa zaidi ya miaka 2000

Huo mwamba maana yake Ni Nini au Nani?
 
lakini mm huwa nawasikia wasabato wa huku kijijin geita wanaisema roman katoliki kama.....Mwasi mkuu mama wa makahaba na machukizo ya nchi......sijui huwa wanaitoa kitabu gan???
 
100%
 
Huo mwamba maana yake Ni Nini au Nani?
alikua anamwambia Petro hivyo, Petro ndo kiongozi wa kwanza wa early community ( imaani ya ukristo ilipozaliwa ) community ikaendelea kukua tukapata ukristo
 
Nimesikitika Sana. Rejea etymology za terminology zote zinazotumika Catholic then symbolism kisha historia ya ukristu kabla ya kuibiwa na wahuni Kisha kuuchanganya na mafundisho ya kihuni.
em tuelezee ukristo ulivyoanza na tuki trace kutokea sasa mpaka kipindi ukristo unachipuka utakutana na nani ?
 
em tuelezee ukristo ulivyoanza na tuki trace kutokea sasa mpaka kipindi ukristo unachipuka utakutana na nani ?
Search
1. Penis steeple.
2. Circe or Kirk.
Anzia hapo.
 
Very logical, hizi historical churches, pamoja na hizi makanisa za akina mwamposa na wenzake wanahisi wao ndo wameanza kumjua MUNGU,

Catholic is over everything kuhusu Imani ya kikristo pamoja na uislamu
 
Very logical, hizi historical churches, pamoja na hizi makanisa za akina mwamposa na wenzake wanahisi wao ndo wameanza kumjua MUNGU,

Catholic is over everything kuhusu Imani ya kikristo pamoja na uislamu
system nzima wameiweka wao, kwaiyo ukishakua tu mristo jua vitu ni vingi na jinsi imani yako ilivyokua structured imefanywa na Roman Catholic
 
Nakusahihisha kidogo. Hakuna kanisa linaitwa "roman catholic".
 
😂😂😂😂😂😂 mtafute Yesu. Kwa Mungu hakuna kitu kinachoitwa Catholic, Anglican, assembles of God, Lutheran. Hayo ni madhehebu. Hatutahukumiwa kutokana na makanisa. Mungu ataangalia matendo
Mkipigwa na kitu kizito mnakimbilia maneno hayo ya mtafute Yesu.....
 
Kanisa lipo moja tu Katoliki hayo mengine yote ni vipande vya imani vilivyojigawa toka Kanisa Katoliki.
 
😂😂😂😂😂😂 mtafute Yesu. Kwa Mungu hakuna kitu kinachoitwa Catholic, Anglican, assembles of God, Lutheran. Hayo ni madhehebu. Hatutahukumiwa kutokana na makanisa. Mungu ataangalia matendo
Sasa mbona tuliambiwa kama siyo msabato jua wewe ni kiberitiii tu?
 
Ndivyo ilivyo. Sehemu kubwa ya Ukristo imeingiwa na upagani wa Waroma kupitia Roman Catholic.
Ukiamini kuwa Ukatoliki ni upagani basi ujue kuwa madhehebu yote yanayotokana na Ukatoliki ni wapagani.Anglikana,Luthery,Assemblies..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…