Ukristo una miaka mingi ila ushawahi kusikia nchi inaitwa "The christian Republic of so and so"?

Ukristo una miaka mingi ila ushawahi kusikia nchi inaitwa "The christian Republic of so and so"?

Wanaongezeka kwakuwa wakimbizi na watafuta maarifa wanaongezeka pia.
Wairani hao wengi wanaingia Ukristo nje ya Irani.
Wakirudi Iran ndio wanashinikiza kuabudu Kikristo na kuzishawishi familia zao kuwa Wakristo.
Wairani wengi tu wameikimbia nchi yao kwa hofu ya kuadhibiwa nchini kwao.
Mkuu kama hoja hauna kaa kimya.
Hiyo ripoti inaeleza kuwa kuna wimbi la washia kubadili dini ndani ya Iran kuwa wakristo.
Na hao sio wakimbizi wala kina nani ni wa hapo hapo Iran wanaritadi na kuwa wakristo.
Usitafute chaka la kuficha ujinga wako bro.
 
Kama nilivyosema awali.
Ukristo unapigwa vita na Wapinga Kristo wote duniani.
Kwakuwa una nguvu za Mungu Mwenyezi.
Kuna wakati pia Iran, Somalia na Afghanistan ukikutwa na Biblia unanyongwa.
Ni kwakuwa tu Wairani nao Kuna vitu wanategemea kupata kama elimu na tech, toka mataifa yenye Wakristo wengi ndio maana wakaruhuru Ukristo mchache na kwa Shingo upande katika nchi zao.
Somalia wamechoma sana Makanisa Hadi wakaona aibu.
Lete ripoti ya sheria inayosema ukikutwa na biblia Afghanistan na Iran unanyongwa!??
Nasubiri hapa jibu.
Ila North Korea sheria ipo.

Nasubiri jibu ya ushahidi wa ukikutwa na biblia unanyongwa Iran na Afghanistan.
 
Lete ripoti ya sheria inayosema ukikutwa na biblia Afghanistan na Iran unanyongwa!??
Nasubiri hapa jibu.
Ila North Korea sheria ipo.

Nasubiri jibu ya ushahidi wa ukikutwa na biblia unanyongwa Iran na Afghanistan.
Nenda Google andika "Bible banned countries" utaziona na adhabu zake utazikuta
Zikiwemo hizo nilizozitaja.
 
Kwani wazenji wana semaje kuhusu hili eti nao wana jiweka kwenye Islamic state
 
Someni historia Kwa kina hasa za ulaya na Asia kuhusu utawala, tamaduni na dini, nadhani sote tunaweza kosa cha kuchangia au comments zikawa chache sana na mwishoni tukafikia tamati moja halafu baadae tufanye mambo ya maana zaidi kuhusu maisha yetu.
 
Juma na swaleh hawampendi wile na Charles doo salale.
 
Unakuta kuku ni wakwangu ila anataka yeye ndie aje kumchinja ... upuuzi
 
Bro nimesoma wewe lete ushahidi hapa.
Kama ushahidi huna uwe na siku njema.
Kwani si nimekundikia nini hapo ...!

Nenda Google andika

"Bible banned countries"

Utazikuta hapo na adhabu zake ukikutwa na Biblia wameziandika ikiwepo kunyongwa hadi kufa

Hapo utazikuta Iran , Afghanistan, Somalia na nyinginezo.
Nikizileta hapa utaaminije kama nimezitoa Google ?

Ua huwezi kutafuta habari kwe nye google ?

Hivi nikisema hizi nchi zimekataza kuwa na Biblia utaamini vipi?
Afghanistan
Iran
Kazakhstan
Kyrgyzstan
Maldives
Mauritania
North Korea
Saudi Arabia
Somalia
Tajikistan
Turkmenistan
Uzbekistan
Yemen
Algeria
Bhutan
Brunei
China
Cuba
Djibouti
Eritrea
Kuwait
 
Kuna kundi fulani la watu lina misimamo ilio very complicating.

Jamii zao wanazibandika jina la kundi lao utafikiri ardhi wanayoikanyaga imeandaliwa kwa ajili yao tu.

Lina fukuza watu wasio wa kundi lao katika jamii zao ila jamii zao ziikishia kupata kash kash ziletazwo na watu wa kundi lao wanaishia kukimbilia kutafuta msaada katika jamii zile zenye kundi la watu ambalo ndilo wanalolipiga vita kila siku.

Alafu wakisha karibishwa huko wanaishia tena ku-force watu waliowakuta wa kundi lingine kufata misimamo yao bila ya hivyo wanaanza kuwafanyia vurugu.

DINI YA UKWELI NI UPENDO, BORA DINI NYINGINE ANGALAU WANAZINGATIA HILO ILA WENGINE WAPO KATIKA CULTS ILA HAWAJUI.
Ulembukeni republic of banana
 
Back
Top Bottom