Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
hahahahaha weeee unajua kitisi ndio magheto hapo hiyo ndio mitaa yangu ya kujidai Aisee ukishuka hapo stendi ya MK Kwa nyuma tu hapo inaanzia kitisi mpaka Kule bondeni kama unaenda kahawa![emoji1787][emoji1787][emoji1787] naishi kitisi makambako
Si kila anayejiita Mkristo ni Mkristo kweli. Usizuzuke na bodi,check injini.View attachment 2093183
Mafundisho ya dini ya Kikristo yamejikita zaidi kwenye upendo, kwani ndio amri iliyo kuu kama tulivyo agizwa na Bwana wetu Yesu Kristo.
Miongoni mwa mistari inayo onyesha kiwango cha hali ya juu cha upendo ni ule unaosema tusamehe saba mara sabini. Pia upo ule mstari unaosema ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili.
Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?
Je, huu ni upendo wa namna gani?
Tafsiri mbaya! Mithali 23:13 haina maana ya kumpiga mtoto as if kupiga ni tunu ya Kimungu. Isipokuwa kumwongoza mtoto katika njia nyoofu na kufanya hivi siyo lazima kumpiga mtoto. Kama watu wazima ambao walipokuwa watoto walichapwa viboko, mbona baadhi yao wamepinda kama kiboko ni tunu? Mathayo 23:9-12 nayo tafsiri yake ni mbaya kwa sababu maana hata Yesu mwenyewe alitaja...Yohane 8:56.Hah haa kwani Biblia inasemaje?
- Usihukumu usije ukahukumiwa. Viboko ni adhabu. Mathayo 7:1
- Mit 23:13 Usimnyime mtoto wako mapigo - Bible.com
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa. Mchungaji wako sio baba yako. Na ni dhambi kumwita mchungaji kuwa baba wa kiroho.Mt 23:9-12 SUV
Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa.
Hujaeleweka badoTafsiri mbaya! Mithali 23:13 haina maana ya kumpiga mtoto as if kupiga ni tunu ya Kimungu. Isipokuwa kumwongoza mtoto katika njia nyoofu na kufanya hivi siyo lazima kumpiga mtoto. Kama watu wazima ambao walipokuwa watoto walichapwa viboko, mbona baadhi yao wamepinda kama kiboko ni tunu? Mathayo 23:9-12 nayo tafsiri yake ni mbaya kwa sababu maana hata Yesu mwenyewe alitaja...Yohane 8:56.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu we kweli mwenyeji unakufahamu hadi kahawa. Niliwahi kuishi mitaa hiyo watu wengi ukiwaambia kahawa walikuwa hawaelewihahahahaha weeee unajua kitisi ndio magheto hapo hiyo ndio mitaa yangu ya kujidai Aisee ukishuka hapo stendi ya MK Kwa nyuma tu hapo inaanzia kitisi mpaka Kule bondeni kama unaenda kahawa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi sijaelewa ambacho huelewi.Hujaeleweka bado
Ukristo asili yake ni mashariki ya kati. Na hakuna wazungu kule. Kama huwezi kuelewa kitu rahisi kama hiki unawezaje kuwa mwerevu wa kukosoa?Hivi unatambua kristo= christ na asiri yake ni uzunguni sasa je ni wapi pameandikwa Waafrika asiri yao ni uzungu yaani "wa kristo""
Utawafanya watu wengi wajinga kwa muda mchache tu baadae watafumbuka macho
Sijui ila wanafanana na ma sangoma vilingeniNi dini gani?
Kwa Mazindachanika wapi mkuu Kwa Mbiki,Kwa zoo,chikira,buyuni,Italian,
Masantula au Zingiziwa?
Kama wale wa Buyuni Zavara ngoja Ndama mtoto wa Yesu aje!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
heee ama kweli Chanika kubwa sana!Kwa Mazinda
heee ama kweli Chanika kubwa sana!Kwa Mazinda
Ninadhani walikuwa wanabatizwa.Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?
Je, huu ni upendo wa namna gani?
Kuna uzi kahoji kuhusu makanisa ya hivoHuyo genta ndio pepo popoma
Huo ni ubatizo kwa mujibu wa Biblia gani?Ninadhani walikuwa wanabatizwa.
'he is not dead'... hajafa ili azikwe pamoja na Kristo ili baadae anyanyuke akiwa kiumbe kipya katika Kristo.
Hahah hahaSijui ila wanafanana na ma sangoma vilingeni