Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Acha kutetea ujinga. Ubatizo unazamishwa kwenye maji ndio maana Yohana alibatiza Yordani na sio hekaluni.Ninadhani walikuwa wanabatizwa.
'he is not dead'... hajafa ili azikwe pamoja na Kristo ili baadae anyanyuke akiwa kiumbe kipya katika Kristo.
Waganga wa kienyeji ndio hufanya hizo mambo.