Ukristo unahubiri upendo, je huu ni upendo wa aina gani? Au huu ni Ukristo wa aina gani?

Ninadhani walikuwa wanabatizwa.
'he is not dead'... hajafa ili azikwe pamoja na Kristo ili baadae anyanyuke akiwa kiumbe kipya katika Kristo.
Acha kutetea ujinga. Ubatizo unazamishwa kwenye maji ndio maana Yohana alibatiza Yordani na sio hekaluni.

Waganga wa kienyeji ndio hufanya hizo mambo.
 
Ukiangalia kwa jicho la kibinadamu utaona pastor anachapa bakora waumini

Ila kwa jicho la kiroho ni pastor anachapa bakora mapepo yaliyowaingia waumini

Shalom
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Unaona kabisa mtu anapigwa bakora ila kwa kuwa umekuwa brain washed unaambiwa ni mapepo nawe unakubali
Endelea kumtumikia huyo mchapa bakora.
 
DHAMBI ISIYOSAMEHEKA.

“Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kwa KUMKUFURU ROHO HAWATASAMEHEWA.” 12:3Mathayo
yan kama ulikua kwenye kichwa changu nilitaka niseme hivi hivi.

lakini hiii mtu namuurumia na yule anayesema mungu hayupo

unasema mungu hayupo kwa kisa cha kulisha watu 5000 na ety saiv kuna watu maskini jua moja mungu hampi mtu mapito asiyo yaweza kamwe bora uamini mungu yupo kuliko kutoamini na kumkuta yupo utasaga meno alaaah

WE ENDELEA KUSEMA NOT EXIST TUMEPIGWA KUMBE UNEPIGWA NA SHETANI
 
Tukiachana na hiyo video ambayo sijaiona tuongelee kuchapa...hivi unapomchapa mwanao maana yake humpendi?
Ww nawe hujui tofauti ya kuchapa mtoto akikosea na kumchapa muumini? Muumini kakosea Nini au kaiba sadaka unataka asirudie Tena? Kuwa na maarifa ili usidhalilishwe na shetani hadharani.
 
Mbona hukuwai kushangaa wakatoliki wakipigwa makofi wakati wa kipaimara? Ni mifumo tu ya ibada
 
Ww nawe hujui tofauti ya kuchapa mtoto akikosea na kumchapa muumini? Muumini kakosea Nini au kaiba sadaka unataka asirudie Tena? Kuwa na maarifa ili usidhalilishwe na shetani hadharani.
Wewe ndio unajidhalilisha, wapi nimetaja mtoto? Wapi nimetaja muumini. Hem ficha upumbavu wako
 
Kwa ufupi Ukristo unafundisha USHIRIKINA. Kielimu hakuna atakae pinga hili.
 
Acha kutetea ujinga. Ubatizo unazamishwa kwenye maji ndio maana Yohana alibatiza Yordani na sio hekaluni.

Waganga wa kienyeji ndio hufanya hizo mambo.
Je, uliona neno 'ninadhani'.
Kutokana na mapokeo ya hao watumishi wa Mungu, batizo zishakuwa nyingi zaidi ya hiyo ya kuzamishwa katika maji mengi.
Watu wanabatizwa kwa kuchapwa viboko kama hao kwenye picha mjongeo, kwa kuruka moto, kwa barua, kwa kunyunyiziwa maji kichwani n.k.
Kwa kulisoma neno kwa ufahamu timilifu, muumini wa imani hiyo atafahamu kutenganisha mchele na chuya.
 
Kuweka neno kudhani haiondoi ukweli kuwa unajaribu kutetea ujinga. Nani kwenye Biblia alibatiza kwa viboko? Hata Neno ubatizo lina maana kuzamisha kwenye maji sio kuwachabanga watu mboko!

Waganga wa kienyeji ndio huchapa watu na mikia ya ng'ombe au mbuzi. Kwa hiyo anachokifanya kinafanana na uganga wa kienyeji na sio ubatizo
 
Unajua ukiwa mjinga ni mjinga huwezi kuelewa mkristo/christian maana yake anayokana na kristo/christ au mfuasi wa kristo/christ sasa jina la kristo asili yake ni mashariki ya kati?
Ngoja nikuache tu. Hujui unachokisema ila unajifanya unajua sana. Endelea kuogelea na kuruka ruka kwenye ujinga wako
 
Alafu watatezi wa haki za binadamu na unyanyasaji wanaangalia tu wapo kimya...
 
Ukiangalia kwa jicho la kibinadamu utaona pastor anachapa bakora waumini

Ila kwa jicho la kiroho ni pastor anachapa bakora mapepo yaliyowaingia waumini

Shalom
We bana wewe,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…