Acha kutetea ujinga. Ubatizo unazamishwa kwenye maji ndio maana Yohana alibatiza Yordani na sio hekaluni.Ninadhani walikuwa wanabatizwa.
'he is not dead'... hajafa ili azikwe pamoja na Kristo ili baadae anyanyuke akiwa kiumbe kipya katika Kristo.
Huo sio ubatizo ni uhuni tu!Huo ni ubatizo kwa mujibu wa Biblia gani?
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Ukiangalia kwa jicho la kibinadamu utaona pastor anachapa bakora waumini
Ila kwa jicho la kiroho ni pastor anachapa bakora mapepo yaliyowaingia waumini
Shalom
yan kama ulikua kwenye kichwa changu nilitaka niseme hivi hivi.DHAMBI ISIYOSAMEHEKA.
“Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kwa KUMKUFURU ROHO HAWATASAMEHEWA.” 12:3Mathayo
The God of thuggery
The God of threats
[emoji117]Note:...he never existed.
Msipagaishwe na hayo matapeli yajipayo vyeo kama vile, wachungaji, manabii, wainjilisti, walimu wa Neno, mashekhe, mitume, haya yote ni matapeli yanayofanya kazi chini ya kiumbe mmoja anayemiliki dini zote, na huyu kiumbe ndye anayewapa wafuasi wa hizi imani, yale mafeelings(hisia) za kuhisi uwepo/uoga wa dini na kujazwa ujinga kichwani.
Hao wanaofanyia miujiza makanisan nao ni waganga tu, tofaut na hawa waganga wa mitaani na maporini, ni kuwa hao wamejipa majina mazuri na kuwaponda hawa waganga wenzao wasiotumia utapel wa majina na magenge ya jumapil,ijumaa&jmos.
AmkeniiiView attachment 2093288
Ww nawe hujui tofauti ya kuchapa mtoto akikosea na kumchapa muumini? Muumini kakosea Nini au kaiba sadaka unataka asirudie Tena? Kuwa na maarifa ili usidhalilishwe na shetani hadharani.Tukiachana na hiyo video ambayo sijaiona tuongelee kuchapa...hivi unapomchapa mwanao maana yake humpendi?
Sikia huyuMAKANISA YA MCHONGO HAYO
Aisee
Mbona hukuwai kushangaa wakatoliki wakipigwa makofi wakati wa kipaimara? Ni mifumo tu ya ibada
Mafundisho ya dini ya Kikristo yamejikita zaidi kwenye upendo, kwani ndio amri iliyo kuu kama tulivyo agizwa na Bwana wetu Yesu Kristo.
Miongoni mwa mistari inayo onyesha kiwango cha hali ya juu cha upendo ni ule unaosema tusamehe saba mara sabini. Pia upo ule mstari unaosema ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili.
Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?
Je, huu ni upendo wa namna gani?
Wewe ndio unajidhalilisha, wapi nimetaja mtoto? Wapi nimetaja muumini. Hem ficha upumbavu wakoWw nawe hujui tofauti ya kuchapa mtoto akikosea na kumchapa muumini? Muumini kakosea Nini au kaiba sadaka unataka asirudie Tena? Kuwa na maarifa ili usidhalilishwe na shetani hadharani.
Kwa ufupi Ukristo unafundisha USHIRIKINA. Kielimu hakuna atakae pinga hili.
Mafundisho ya dini ya Kikristo yamejikita zaidi kwenye upendo, kwani ndio amri iliyo kuu kama tulivyo agizwa na Bwana wetu Yesu Kristo.
Miongoni mwa mistari inayo onyesha kiwango cha hali ya juu cha upendo ni ule unaosema tusamehe saba mara sabini. Pia upo ule mstari unaosema ukipigwa shavu la kushoto, geuza na la pili.
Sasa hebu tazama hiyo video, kisha tujadili, ni nini kimetokea? Je huyu anayepiga wenzake na ni kiongozi wa kanisa anasimamia andiko kutoka mstari gani?
Je, huu ni upendo wa namna gani?
Kivipi? Je siku hizi Ukristo unafundisha kufuga majini piaKwa ufupi Ukristo unafundisha USHIRIKINA. Kielimu hakuna atakae pinga hili.
Duh.... halafu wanageuza shavu la pili?Mbona hukuwai kushangaa wakatoliki wakipigwa makofi wakati wa kipaimara? Ni mifumo tu ya ibada
Je, uliona neno 'ninadhani'.Acha kutetea ujinga. Ubatizo unazamishwa kwenye maji ndio maana Yohana alibatiza Yordani na sio hekaluni.
Waganga wa kienyeji ndio hufanya hizo mambo.
Kuweka neno kudhani haiondoi ukweli kuwa unajaribu kutetea ujinga. Nani kwenye Biblia alibatiza kwa viboko? Hata Neno ubatizo lina maana kuzamisha kwenye maji sio kuwachabanga watu mboko!Je, uliona neno 'ninadhani'.
Kutokana na mapokeo ya hao watumishi wa Mungu, batizo zishakuwa nyingi zaidi ya hiyo ya kuzamishwa katika maji mengi.
Watu wanabatizwa kwa kuchapwa viboko kama hao kwenye picha mjongeo, kwa kuruka moto, kwa barua, kwa kunyunyiziwa maji kichwani n.k.
Kwa kulisoma neno kwa ufahamu timilifu, muumini wa imani hiyo atafahamu kutenganisha mchele na chuya.
Ngoja nikuache tu. Hujui unachokisema ila unajifanya unajua sana. Endelea kuogelea na kuruka ruka kwenye ujinga wakoUnajua ukiwa mjinga ni mjinga huwezi kuelewa mkristo/christian maana yake anayokana na kristo/christ au mfuasi wa kristo/christ sasa jina la kristo asili yake ni mashariki ya kati?
Unajua maana ya USHIRIKINA ?K
Kivipi? Je siku hizi Ukristo unafundisha kufuga majini pia
We bana wewe,Ukiangalia kwa jicho la kibinadamu utaona pastor anachapa bakora waumini
Ila kwa jicho la kiroho ni pastor anachapa bakora mapepo yaliyowaingia waumini
Shalom