Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Kwa hio Yesu sio Masihi safi sana sa nani Masihi? Vipi kama AD ni bada yake kabla ya 1500 kulikuwa hakuna jina la Jesus, kwa hio Jesus ni nani?
Yesu ndio masihi,,,Masihi maana yake Kristo kwa kiswahili. Jina la Yesu halisi ni Yeshua na ndio lililokua linatumika kabla ukiacha na kukopa herufi maana enzi hizo herufi zilikua hazijakamilika kama hivi leo
 
What is the Quran chapter 25 verse 5?


(25:5) They say: "These are merely fairy tales of the ancients which he has got inscribed and they are then recited to him morning and evening." (25:6) Say to them (O Muhammad): "It is He Who knows the secrets of the heavens and the earth12 Who has sent down this Book. Indeed, He is Most Forgiving, Most Compassionate."

Welcome to Islamicstudies.info › taf...

Surah Al

 
Enhee Lete aya
What is the Quran chapter 25 verse 5?


(25:5) They say: "These are merely fairy tales of the ancients which he has got inscribed and they are then recited to him morning and evening." (25:6) Say to them (O Muhammad): "It is He Who knows the secrets of the heavens and the earth12 Who has sent down this Book. Indeed, He is Most Forgiving, Most Compassionate."

Welcome to Islamicstudies.info › taf...

Surah Al

 
Yesu ndio masihi,,,Masihi maana yake Kristo kwa kiswahili. Jina la Yesu halisi ni Yeshua na ndio lililokua linatumika kabla ukiacha na kukopa herufi maana enzi hizo herufi zilikua hazijakamilika kama hivi leo
Hakuitwa yeshua bali yahshua,na hata nikivyoandika bado huwezi tamka kama wao walivyotamka sababu maandishi haya hayana herufi za kiaramaik au kiebrania,lugha tawala kipindi hicho
 
Yesu ndio masihi,,,Masihi maana yake Kristo kwa kiswahili. Jina la Yesu halisi ni Yeshua na ndio lililokua linatumika kabla ukiacha na kukopa herufi maana enzi hizo herufi zilikua hazijakamilika kama hivi leo
Sa mbona unajikoroga nilipo kuliza aliye zaliwa B C kwa miaka 4 au 6 alikuwa nani ukasema Masihi. Sa unarudia tena kusema Yesu ni Masihi. Vipi kwani kuna Yesu wangapi na Masihi wangapi? Au umepiga zile pombe za kienyeji hufahamu unaongea nini.
 
Huu ndio uislam sasa baada ya kufanya reasoning unaleta matusi ambayo hayasaidii kukanusha kwamba Momo alioa mtoto wa miaka 6,Alioa mke wa mwanae,alimbaka Zainab hadi zainabu akaja kumuua kwakumuekea sumu.
Kukanusha nn alio bint wa miaka Tisa mira zao ilikuwa zinaruhu, kama ww now mnafunga ndoa makanisani wanaume kwa wanaume bila shaka na wala hamuoni ajabu
 
Wewe unaleta mchezo wa kitoto
Huwezi kujibu wewe muongo, ngoja tukusaidie!

"Wattakhadhuu ayati warusulih khuzuwa"

Hiyo ni aya katika sehemu ya Qur'an Mungu anasema:

"Wao aya zetu na mitume yetu wakachukulia mzaha mzaha"

Na aya ilipoanzia inasema hawa watu malipo yao ni moto wa Jehannam.

Sasa ili Mtume kutuzuia huko ili tusichukulie aya za Mungu na mitume zake mzaha mzaha akatuonya, akasema:

"Mtu atakayesema kwenye kitabu cha Mwenyezi Mungu akatumia rai yake, Mapema makazi yake ajiandae motoni."

Ili wewe Sheikh ndengisivilii usichukulie aya za Mungu mzaha mzaha kwa sababu ukijitafsiria mwenyewe utakuwa unafanya mzaha mzaha.

Ili usiingie motoni jehennamu inakubidi aya za Mungu uzitafsiri kwa nyenzo zake. Ukitafsiri mwenyewe utazifanyia mzaha mzaha.

Nyenzo za tafsiri ya Qur'an ni tatu:
1)Qur'an bi Qur'an
2)Qur'an bi Sunna
3)Qur'an bi Swahaba

Kuhusu wapi wameamrisha swala 5 angalia Qur'an surat -Nisa’ 4:103 tafseer ya ibn Abbas.

Zipo aya nyingi ila kwa hili anzio hapo!
 
What a stupid nonsensical post Indonesia is the most populous Muslim country in the world with over two hundred and fifty milion adherants and there's strict control over Xtians
 
Wewe unasema utaki kwenda motoni halafu unataka ujadili utaweza kweli kujadili Mambo aliyoyafanya Mtume Muhammad yaliyo machafu?
Mbona unaruka ruka Sheikh?

Tuambie ni wapi Mtume Muhammad alikuwa na jina jengine kabla ya kuitwa Muhammad?
 
Huyo ni kama wewe!

Au kama inakupendeza mshaidie mwenzako kwa hili swali!

Qur'an inatafsiriwa kwa kutumia nyenzo zipi?

Maadamu una uhoji uislamu nahitaji jawabu la kiislamu.
Kwanini kuluwani itafsiriwe? Je yenyewe haijitoshelezi?
 
Sheikh, tupatie pia ushahidi katika hili!
Ushahidi ni kwamba hakuna nabii yeyote katika kuluwani aliyetabiri ujio wa Muhammad au la Muhammad Hana nasaba na nabii yeyote yule walioorodheshwa kwenye kuluwani
 
Hii Aya inathibitishaje kuwa kuluwani haijachakachuliwa na akina Umar
 
What a stupid nonsensical post Indonesia is the most populous Muslim country in the world with over two hundred and fifty milion adherants and there's strict control over Xtians
It's true what you said but it doesn't deny the fact that most Muslims leave Islam in Indonesia despite threats and that strict control of "Xtians" to join the the way of truth and life that is to follow Christ the King
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…