Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

What Do We Know about the 1924 Royal Cairo Edition of the Quran ? Surprisingly, today’s Muslims believe that this copy is identical to Uthman’s Quran from the seventh century.
 
Kama qur'an ni moja ila tofauti ni maandishi, je ni maandishi yapi yaliyohifadhiwa huko kwa Allah kwenye Ubao?
 
lkn Zanzibar si wanasheria zao sheria upingwa umu JF sio Mahakamani? mambo ya Zanzibar unakuja kulialia umu pole jomba!! Sisi Tuangaikie kwetu uku bala. Tuishi kwa aman tupige kazi tuwe watu wamoja. Dini zibaki nyumba za Ibada majumbani ivyo mkuu.
 
Watu wa dini kwa nyakati zetu wamekuwa ni watu wa kupiga pesa na si kwa lengo la imani.
 
+Wanashindwa kununua vifaa vya uokozi wakati wa majanga halafu wanatapanya milioni 700 kwa timu ya mpira na huyo anayefanya hivyo ni muumini wa "Dini ya haki"

Hapo jamaa haoni kama huo ni uhujumu anachojua yeye ni wakristu tu ndo wanahujumu waislamu
 
Ndiyo maana nakuambia wewe ni MNAFIKI MKUBWA

Haki Haina mipaka na kumbuka Zanzibar ni Tanzania pia hata humu kwenye mitandao ni sehemu sahihi pia ya kupaza sauti kwa kuwa wapo wenye mamlaka wengi tu ambao hupata taarifa kupitia mitandaoni

Hivyo acha double standard kama ukiamua kusema jambo usiwe na simile na sehemu unayoihusudu hata kama haitendi sawia
 
Watu wa dini kwa nyakati zetu wamekuwa ni watu wa kupiga pesa na si kwa lengo la imani.
Kila lenye Heri huambatana na Shari iwe ndogo au kubwa

Hakuna jambo ambalo HALINA changamoto kiuanadamu
 
Kila lenye Heri huambatana na Shari iwe ndogo au kubwa

Hakuna jambo ambalo HALINA changamoto kiuanadamu
Changamoto ni lazima, lakini kuna watu wanawafnya wenziwao wajinga kwa kuwapiga pesa kupitia mgongo wa dini. Watu wa Mungu huwa dunia wanaipa mgongo.
 
Changamoto ni lazima, lakini kuna watu wanawafnya wenziwao wajinga kwa kuwapiga pesa kupitia mgongo wa dini. Watu wa Mungu huwa dunia wanaipa mgongo.
Hilo ni tatizo la hao wanaotoa hela hovyo hovyo ili kupata miujiza

KRISTU YESU anasema Nataka Rehema na si sadaka

Sasa kwanini wewe utapeliwe kiningajinga ikiwa msingi wa imani ni rehema
 
Hilo ni tatizo la hao wanaotoa hela hovyo hovyo ili kupata miujiza

KRISTU YESU anasema Nataka Rehema na si sadaka

Sasa kwanini wewe utapeliwe kiningajinga ikiwa msingi wa imani ni rehema
Ni wachache sana wenye kujua hayo maandiko. Sisi tunapenda njia ya mkato ya kufaulu, hatujui kila kitu ni mchakato hapa duniani.
 
Ni wachache sana wenye kujua hayo maandiko. Sisi tunapenda njia ya mkato ya kufaulu, hatujui kila kitu ni mchakato hapa duniani.
Hiyo changamoto ya kupenda mkato tu haipo kwenye dini pekeake ni kila sehemu hata siasa, hata michezo na kila kitu ndiyo asili ya uvivu wa mwanadamu, hapendi magumu japo ukweli ni kwamba hakuna kizuri chochote kile bila kupitia ugumu na ndiyo maana Mungu anasema "...kwa kuwa umeyakataa maarifa nami nitakukataa"
 

 
Mimi jukum langu kuwakumbusha tu sina uwezo wakuwakataza na nimetoa mifani hai ili nyinyi mtafakulizaid lkn kama kufanya izo propaganda kuna faida mnapata basi iyo ni juu yenu wkt mwengine amjapata kufikilishwa zaid juu ya hatari ya jambo usika ndio nikawapa mfano w KENYA kile kikundi kilikuwa cha wapumbavu lkn walijiona wana akilii kwakua wao walijiona awawezi fikiwa uko walipo wakajiona wanaweza fanya upumbafu wao na akuna wakuwazuiya wala kuwajua najua mengi kuusu ishu ya Kenya lkn siweki wazi kila kitu apa lkn walikuwa wapumbavu nitosheke kusema ivyo. Wale jamaa kuona akuna wakuwasumbua wakaanxa kuuwa maustadh pale Mombasa waliuwa mashekh tofaut adi wengine nawake zao pia waliwauwa Je yalikwashaje na wale wajamaa wakajiona pumbavu sababu wamefanya mauwaji kwa misingi ya DINI wao walijiona awawezi fikiwa muslam ndugu yake muislam Wasomali wakaingia Kenya lengo sasa kuwasaka watu wabala tu ambao ni cristian waliwauwa sana magari ya abiria yanasimamishwa wanatafutwa umo ndani wakristo wanawauwa!! Shule ya Galisa mnakumbuka nayo yote upumbafu waliosababisha wale jamaa kuuwa mashekh bila sababu. Wakasau kuna raia ambao ni cristian wametapakaa kila konobya kenya masikini awana ulinzi wao ikawa ndio shabaha ya Wasomali tokea pale atukusikia tena sheekh kavamiwa na Wasomali wakaacha ayo mambo vuguvugu lile likapelekea serikali ya Kenyq kutambua sikuu za kislamu kama EID kabla yake akuna sikukuu ya kislamu ilitambuliwa na serikali ya Kenya juzi juzi wkt wa Uhuru akiwa Rais ndio akazitambua EID. Mm napenda aman na tuchunge viashilia vyakukosekana aman.lkn mipumbavu kwenye inch awakosekani ata uwaambie nn wao watabaki kujiona wanajua kumbe takataka tu amani kwa faida ya wote sio kundi frani tukemeane ukiona mwenzio anaongea mashudu aman ya jamii zetu inaanzia kwako ww akuna anaependa kufa kijinga kama kule Kenya watu awana atia tena wanafunzi vip umuelekezee mtutu. Lkn kuna mipumbavu iliwasababishia uku wenyewe wakijiona awapo hatarini wakawasaau jamii kubwa ambayo ata aijui chochote kinachoendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…