ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Sawa katika muktadha huo wa imani ya kikureshi Sawa na Imani ya Chief mangungu na kuelewa ila sio kwa muktadha wa dini tena unajigamba kusema dini ya hakiMkuu zamani hata Africa watoto walikua wanaozwa wadogo , wengine wanabaki kwa wazazi mpaka wavunje ungo wengine wanachukuliwa kwa muwewe analelewa chini ya uangalizi wa mke mkubwa mpaka avunje ungo , hiyo ndio busara ya zamani ilivyokua.
Na ndio maana mwenye qur an yake kwakua alijua hilo akawa peni rukhsa kutunga na nyie mfano wa aya moja tu ya qur an miaka zaidi ya 1400 sasa mmechemkaHapana vitu vingi vimetengenezwa we fuatilia miujiza inayosemwa ipo kwenye Quran utachoka
Unaweza ukasema wapi kwenye Quran mmeambiwa mswali swala 5?Unaweza ukasema ni surah gani kwenye Qur'an imeelezea uliyoyaeleza!?
Ninyi ndio wasenge mnaotapaza uongo kuhusu Qur'an.
Acha huo uhanisi haufai.
Nikuchukie kisa nini sijalielewa wala kufunzwa kuchukia mtu na hapa tunabishana kwa hoja leta hoja acha manenoUsitake kunibabatiza kwa jibu ambalo Litaleta kuchukiana kwa maana wewe hapo siwezi kukwambia chochote ukanielewa bila Neema kukushukia
Kwanza Quran ipi unayoufuata maana othman alichoma Quran yote akaleta Quran yake ambazo ile ya mwanzo na hii vitabu havifanani kwaio huyo mwenye Quran yake hakujua hilo?Na ndio maana mwenye qur an yake kwakua alijua hilo akawa peni rukhsa kutunga na nyie mfano wa aya moja tu ya qur an miaka zaidi ya 1400 sasa mmechemka
Kumbuka hayo ni maandishi ya kale karibu dunia nzima hata kale ya uyahudi mambo yalikua hivyo hivyo , ndio maana tunawaambia dini zote ni desturi na Mila za jamii yao tu ni vie tu zimeandikwa na kusambazwa , hata Africa tungeandika za kwetu na kuwa na nguvu zingekua kama hizi zilivyo.Sawa katika muktadha huo wa imani ya kikureshi Sawa na Imani ya Chief mangungu na kuelewa ila sio kwa muktadha wa dini tena unajigamba kusema dini ya haki
Alianza kunitukana halafu Karne ya 5 hakukua na Jina Mohammad kwenye maandishi ya Kiarabu alikua ana Jina jengine kabisa sio ili MohammadAisee Sasa mbona unatumia Lugha zisizo na Staha kujadili Dini za Wengine. Momo ndio nani.
Huo ndio ustaarabu wa kikristo??
Kale yote mtu haoi mwanamke ambae hajavunja ungo hata chief mangungo alikua na jando na UnyagoKumbuka hayo ni maandishi ya kale karibu dunia nzima hata kale ya uyahudi mambo yalikua hivyo hivyo , ndio maana tunawaambia dini zote ni desturi na Mila za jamii yao tu ni vie tu zimeandikwa na kusambazwa , hata Africa tungeandika za kwetu na kuwa na nguvu zingekua kama hizi zilivyo.
Wewe unajua kabisa jibuNikuchukie kisa nini sijalielewa wala kufunzwa kuchukia mtu na hapa tunabishana kwa hoja leta hoja acha maneno
Ulisoma kuhusu safari ya israah na miraaj kwenye suratul Israah!?Unaweza ukasema wapi kwenye Quran mmeambiwa mswali swala 5?
Ukiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.
Quran na Hadith lazima vitegemeane na vyote ni vya kweli kwa mujibu wa uislam swali je Muhammad ni uongo alimuoa Aisha akiwa na miaka 6?Ulisoma kuhusu safari ya israah na miraaj kwenye suratul Israah!?
Umesoma suratul fajri?
Umesoma Suratul aswri!?
Aya Sasa naomba wewe utujibu wapi kwenye Qur'an pameandikwa ulichosema!?
Wewe unaweza ukatuambia kwenye Quran wapi mtume s a w alioa mtoto wa miaka 6Unaweza ukasema wapi kwenye Quran mmeambiwa mswali swala 5?
Unaweza ukaleta ushahidi wa Othman kuchoma Qur'an!??Kwanza Quran ipi unayoufuata maana othman alichoma Quran yote akaleta Quran yake ambazo ile ya mwanzo na hii vitabu havifanani kwaio huyo mwenye Quran yake hakujua hilo?
Qur an imesema je achana na hadithi unatakiwa kwanza usome qur an kabla ya kusoma hadith sababu hadith hata mimi au wewe tukiamua tunatunga zipo nyingi sana za kutunga
Kwaio hauamin sunnah za nabii?Wewe unaweza ukatuambia kwenye Quran wapi mtume s a w alioa mtoto wa miaka 6
Ndio maana nikasema kale hakukua na mwongozo mmoja kama ilivyo leo haki za binadamu , kale kila jamii ilikua na desturi zao tofauti tofauti kulingana na jamii husika.Kale yote mtu haoi mwanamke ambae hajavunja ungo hata chief mangungo alikua na jando na Unyago
kwaio wakureshi walikua wanaoa wanawake ambao hawajabalehe?Ndio maana nikasema kale hakukua na mwongozo mmoja kama ilivyo leo haki za binadamu , kale kila jamii ilikua na desturi zao tofauti tofauti kulingana na jamii husika.
Hata jamii ya quraysh , ansar, Yahudi na Muhajiruni kale hiyo zilikua na desturi tofauti sana japo waliishi sehemu moja.
Unataka ushahidi wa akiwa anachoma ?Unaweza ukaleta ushahidi wa Othman kuchoma Qur'an!??
Embu Lete ushahidi.
Weeh weeeh ulisema Qur'an hukusema Hadith.Quran na Hadith lazima vitegemeane na vyote ni vya kweli kwa mujibu wa uislam swali je Muhammad ni uongo alimuoa Aisha akiwa na miaka 6?