ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Sawa katika muktadha huo wa imani ya kikureshi Sawa na Imani ya Chief mangungu na kuelewa ila sio kwa muktadha wa dini tena unajigamba kusema dini ya hakiMkuu zamani hata Africa watoto walikua wanaozwa wadogo , wengine wanabaki kwa wazazi mpaka wavunje ungo wengine wanachukuliwa kwa muwewe analelewa chini ya uangalizi wa mke mkubwa mpaka avunje ungo , hiyo ndio busara ya zamani ilivyokua.