Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Hongera sana kwa kupiga hatua kufikisha 11% ya waumini indonesia, japo uko ulaya uliko anzia kanisa zinabadilishwa kua misikiti kwa kasi ila sio mbaya ukristu utabaki kuenea sambamba na rate za illiteracy and ignorence katika nchi husika.
Acha uongo, duniani wakiristo hawajahi kuongezeka ukitoa waliozaliwa kwenye ukiristo labda kwa asilimia nduchu sana 0.001% , Idadi kubwa ni wakiristo ndio huingia katika uislamu kila uchao na huko kwenu Tz mumeshindwa kuweka swali la dini kwenye sensa ya watu na makazi muna hofu idadi yenu mumezidiwa sana na waislamu.
 
Inakuwaje Quran iliyokamilika itegemee Hadith ili iweze kueleweka kwa wasomaji wake?
Hujaelewa.
Qur'an haitegemei kitu maana ndio Sheria mama Katika uislam.
Ila Hadith zinategemea uhakiki wa Qur'an.
Hadith yeyote ikiwa inaendana na kinyume na Sheria ya Qur'an basi hiyo ni Hadith feki.
 
Unabishana na mimi niliyesoma Sirah ya mtume!?
Mtume alimuoa Bi.Aisha akiwa na miaka 9 sio 6.

Yani huna ushahidi umekosea na bado unadanganya.
Kisayansi balehe Kwa mwanamke inaanza umri gani!?
Puberty inaanza umri gani Kwa msichana!?
Miaka 9 kama akiwahi kulikua na ulazima gani mzee wa miaka 53 kumsubiri katoto ka miaka 6 wakati alikua na wanawake wengine wakubwa zaidi?
 
Unajua ni zipi hizo Original manuscript!?
Hivi unajua historian ya Qur'an Hadi kuja kuwa mas'haf au msahafu!?
Hivi unajua kama kuna wanafiki walishaanza kuleta uzushi kwenye Qur'an!?
Original manuscript ndio Qur'an ambayo alishushiwa mtume s.a.w.
Mtume alipofariki Omar aliwakusanya waislam na akatoa wazo la Qur'an ikusanywe sehemu moja iwe kitabu kimoja kuliko kusambaa kwenye magome na makaratasi.
Ndio wakaitwa waliohifadhi Qur'an na yale magome yaliyoandikiwa verse zilizoshuka basi kikakusanywa ndani ya kitabu kimoja.
Na hapo ndio mwanzo wa kuwepo Kwa mas'haf.
Maana walihofia kama mtume amefariki basi watu tofauti watajitokeza kuleta conspiracy kwenye dini na kwenye Qur'an.
Makala halisi ilikua inatambulika toka kufa kwa mtume.
Je,ulitaka watu wasiteketeze makala za kughushi!??
Kwaio Allah ni Muongo? Maana alisema atailinda kitabu chake? Huoni unaleta contradiction kwa Allah?
 
Ile safari yote angalau ina mkanganyiko wa kuwepo ila pia Mungu uwezi ukawa unapanga nae kama vile upunguziwe wakati ni amri katoa na kumbuka Mussa ndio alikua anasaidia ili kuonyesha tuu Mohamad alionana na Mussa ile ni hadithi ya kutungwa
Kijana unaijua qur an lakini mwenyewe mwenye qur an yake anataka aombwe wewe nani wewe nani unakataa Ile safari huwezi ukaiamini kama huniamini qur an na uislam
 
Acha uongo, duniani wakiristo hawajahi kuongezeka ukitoa waliozaliwa kwenye ukiristo labda kwa asilimia nduchu sana 0.001% , Idadi kubwa ni wakiristo ndio huingia katika uislamu kila uchao na huko kwenu Tz mumeshindwa kuweka swali la dini kwenye sensa ya watu na makazi muna hofu idadi yenu mumezidiwa sana na waislamu.
Sasa uongo uko wapi na takwimu hizo hapo kutoka kwa waindonesia wenyewe

Au ndiyo mnavyokaririshwa huko madrasa kuwa wakristu hawaongezeki?
 
Kwaio Allah ni Muongo? Maana alisema atailinda kitabu chake? Huoni unaleta contradiction kwa Allah?
Ndio ameilinda,au Kwa kuilinda ulitaka ailinde vipi!?
Kasome suratul fat'hi Kuna verse inasema "Mungu ana jeshi mbinguni na ardhini".
Hata wewe unaweza ukalinda kitu Mungu anataka ukilinde.
Kitendo Cha Omar kutoa wazo Qur'an ikusanywe sehemu moja tayari ni ukuu wa Mungu ndio umetendeka Kwa kufanya Omar afanye vile.
Kitendo Cha Othman kuteketeza makala feki ni tayari Mungu ameilinda Qur'an na conspiracy.
Au ulitaka kuona ashushe malaika na mbawa zao !?
 
We unaniletea madude ya google!??
Kasome wasifu wa mtume ndio uelewe.
Wengine wanasema ameolewa akiwa na miaka 7 na akaanza kuingiliwa papo hapo.
Haya hutaki niamini hiyo ya google niletee yako niisome
 
Anaitwa mwamedi mtoto wa abdila a.k.a mudi aby jamaa alikuwa mzinzi sana na mpendwa ngono na serial paedophile
Miaka 9 kama akiwahi kulikua na ulazima gani mzee wa miaka 53 kumsubiri katoto ka miaka 6 wakati alikua na wanawake wengine wakubwa zaidi?
 
Mbona unajivuruga!?
Mtume kamuoa Aisha akiwa na miaka 9 sio 6.
Umri wa kuanzia balehe Kwa msichana ni miaka mingapi!?
Sahih al-Bukhari 5133

Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (ie, till his death).

Sahih al-Bukhari 3896

Narrated Hisham's father:

Khadija died three years before the Prophet (ﷺ) departed to Medina. He stayed there for two years or so and then he married `Aisha when she was a girl of six years of age, and he consumed that marriage when she was nine years old.
 
Back
Top Bottom