Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

The Prophet Muhammad (Peace and Blessings be upon him) married his adopted son’s ex-wife because in Islam, an adopted child is not seen as your actual child. When the Prophet (Peace and Blessings be upon him) adopted Zaid, he named him Zaid Ibn Muhammad, but Allah did not condone this, because in Islam, the lineage of a person is protected. Later on, Zaid and Zainab chose to get divorced, and Allah enforced this idea even more (that your adopted son is not your actual son) by ordering the Prophet (Peace and Blessings be upon him) to marry her.
Uislam bila uongo unakufa ndugu yangu
 
Kwa nini waweke maneno yao!?
Hakuna mahala ambapo Qur'an inaeleza maslahi ya mtu yeyote.
Ingekua Kuna pahala panaonesha Omar zimepenyezwa interest zake basi ningesema ni sahihi pamepenyezwa vitu.
Unajenga hoja kitoto sana
Swali mna uhakika gani Omar na wenzake hawajaweka mawazo yao baada ya kukusanya hayo magomr na karatasi?

Kama alaa aliweza kumshushia mwamedi kuluwani (ingawa ni uongooo) alishindwaje kukusanya hizo Aya awape wafuasi wa mudi wazihifadhi bila kukusanya vipande vipande
 
Tangu Dunia inaumbwa sijawahi kukutana nanuongo kuzidi uislamu yaani uislamu unazidi hata definition ya uongo
Ptuuuu🤮
Shida Aya zilikua zinashuka kumpendelea Mohammad ndomana Kuna mda utaambiwa Aya ilifutwa.
 
Unajenga hoja kitoto sana
Swali mna uhakika gani Omar na wenzake hawajaweka mawazo yao baada ya kukusanya hayo magomr na karatasi?

Kama alaa aliweza kumshushia mwamedi kuluwani (ingawa ni uongooo) alishindwaje kukusanya hizo Aya awape wafuasi wa mudi wazihifadhi bila kukusanya vipande vipande
Mimi na wewe nani anajenga hoja kitoto!?
Pia ukome kusome Qur'an ni uongo haikushushwa.

Qur'an imeshushwa Kwa mafungu,kwahiyo ulitaka kusema Allah ndio afanye kazi Tena ya kuikusanya Qur'an baada ya kuwashushia waja wake!??
Pia ukizingatia mtume alifariki,ulitaka atume wayhi Kwa nani kuhusu kuikusanya Qur'an!?
Wagalatia mnawaza kama bata ama kondoo.

Nimekuuliza je Kuna pahala katika Qur'an kunaeleza interests za waarabu au za Omar!??
Hujatoa jibu.
 
Unajielewa wewe!?
Mfano mtu akakwambia nenda katafute kitabu fulani hiyo ni kazi!??
Are you fucking out of your mind!?
Ila ungeambiwa ukatafute kitu kwenye biblia ungeshindwa!??
Umetajiwa kitabu nenda katafute unaanza kuleta excuses!?
Ukishindwa kutimiza majukumu yako tafsiri yake hujui unachokifanya
Wewe ambaye unakijua umeshindwa kuniletea Mimi nisiyekijua nitakitoa wapi?
Unajisoma kweli kichwani?
Hivi unajisikia kabisa unachotetea?

Nimekukuletea nukuu toka kwenye tovuti ya kiislamu umeikataa na kuipinga, sawa nimekuambia niletee chanzo chako unaanza kunitumia Mimi tena?
.achana na janja janja wewee
 
Ukishindwa kutimiza majukumu yako tafsiri yake hujui unachokifanya
Wewe ambaye unakijua umeshindwa kuniletea Mimi nisiyekijua nitakitoa wapi?
Unajisoma kweli kichwani?
Hivi unajisikia kabisa unachotetea?
Majukumu gani unayoyasemea wewe!?
Kwahiyo mimi hiko kitabu nimekitunga au nimeropoka!?
Yani wewe umezama kwenye tovuti huujui uislam na wala hujawahi kusoma uislam na unadiriki kubishana na mtu aliyekua katika uislam.
Uliwezaje kuleta uliyoyaleta na ushindwe kutafuta hiko kitabu!??
Nimekukuletea nukuu toka kwenye tovuti ya kiislamu umeikataa na kuipinga, sawa nimekuambia niletee chanzo chako unaanza kunitumia Mimi tena?
.achana na janja janja wewee
Una uhakika gani kama hiyo nukuu ni sahihi!?
Unajua katika uislam tunatumia njia gani kuhakiki ama kuleta ithbati ya maandiko!??

Una akili kama kondoo hujielewi.
 
Ukishindwa kutimiza majukumu yako tafsiri yake hujui unachokifanya
Wewe ambaye unakijua umeshindwa kuniletea Mimi nisiyekijua nitakitoa wapi?
Unajisoma kweli kichwani?
Hivi unajisikia kabisa unachotetea?

Nimekukuletea nukuu toka kwenye tovuti ya kiislamu umeikataa na kuipinga, sawa nimekuambia niletee chanzo chako unaanza kunitumia Mimi tena?
.achana na janja janja wewee
Amekua mkali sana hoja imempalia.
 
Ukiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.
Qurani gani hii uliyoisoma wewe?
Wacha uzwazwa, Qurani haiimbwi. Inasomwa, pumbafffff
 
Mbona pia biblia inavituko zaidi ya hivyo mara yakobo akapigana na Mungu akamshinda , mara lotu Ali lala na binti zake wakuwazaa sioni mkichekana.
Yakobo alipigana na mungu?? Au ni translation ya Jina alilopewa baada ya hilo tukio?

Binti za lotu walilala na baba yao baada ya kudhani dunia nzima imeteketea and they were the last survivors, so ni kama walitaka ku-repopulate dunia baada ya kuhisi wamebaki peke yao.

Hivo ndo vitu vya kuchekana?
 
Mimi na wewe nani anajenga hoja kitoto!?
Pia ukome kusome Qur'an ni uongo haikushushwa.

Qur'an imeshushwa Kwa mafungu,kwahiyo ulitaka kusema Allah ndio afanye kazi Tena ya kuikusanya Qur'an baada ya kuwashushia waja wake!??
Pia ukizingatia mtume alifariki,ulitaka atume wayhi Kwa nani kuhusu kuikusanya Qur'an!?
Wagalatia mnawaza kama bata ama kondoo.

Nimekuuliza je Kuna pahala katika Qur'an kunaeleza interests za waarabu au za Omar!??
Hujatoa jibu.
Interest za waarabu
👇👇👇👇
Kuluwani 12:2
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.

Eidha alaa mbaguzi au mkubali kina Omar walichakachua kuluwani, kwanini ije kwa kiarabu tupu wakati alaah ana watu wa mataifa mengi na lugha nyingi
 
Ukiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.
oYAAAAAAAA Takbiiiir mudy apigwe
 
Back
Top Bottom