Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ndio ameilinda,au Kwa kuilinda ulitaka ailinde vipi!?
Kasome suratul fat'hi Kuna verse inasema "Mungu ana jeshi mbinguni na ardhini".
Hata wewe unaweza ukalinda kitu Mungu anataka ukilinde.
Kitendo Cha Omar kutoa wazo Qur'an ikusanywe sehemu moja tayari ni ukuu wa Mungu ndio umetendeka Kwa kufanya Omar afanye vile.
Kitendo Cha Othman kuteketeza makala feki ni tayari Mungu ameilinda Qur'an na conspiracy.
Au ulitaka kuona ashushe malaika na mbawa zao !?
Mnamuaminu vipi Omar na wenzake kama hawajaweka maneno na mawazo yao kwenye kuluwani?
 
Ndio ameilinda,au Kwa kuilinda ulitaka ailinde vipi!?
Kasome suratul fat'hi Kuna verse inasema "Mungu ana jeshi mbinguni na ardhini".
Hata wewe unaweza ukalinda kitu Mungu anataka ukilinde.
Kitendo Cha Omar kutoa wazo Qur'an ikusanywe sehemu moja tayari ni ukuu wa Mungu ndio umetendeka Kwa kufanya Omar afanye vile.
Kitendo Cha Othman kuteketeza makala feki ni tayari Mungu ameilinda Qur'an na conspiracy.
Au ulitaka kuona ashushe malaika na mbawa zao !?
Watu hadi wanaandika vitabu vingine vya uongo maana yake Allah kashindwa kulinda
 
Sahih al-Bukhari 5133

Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old, and then she remained with him for nine years (ie, till his death).

Sahih al-Bukhari 3896

Narrated Hisham's father:

Khadija died three years before the Prophet (ﷺ) departed to Medina. He stayed there for two years or so and then he married `Aisha when she was a girl of six years of age, and he consumed that marriage when she was nine years old.
Unajua maana ya Hadith!?
Hadith ni MTUME KASEMA.
Hii ni falls narration unaniletea hapa.
Embu kasome Hadith ni nini kwanza.
Hiyo ni Sirah,na Sirah haisimuliwi na kina Bukhari kijana.
 
Unajua maana ya Hadith!?
Hadith ni MTUME KASEMA.
Hii ni falls narration unaniletea hapa.
Embu kasome Hadith ni nini kwanza.
Hiyo ni Sirah,na Sirah haisimuliwi na kina Bukhari kijana.
Leta ushahidi wa mtume kusema alimuoa Aisha akiwa na miaka 9
 
Watu hadi wanaandika vitabu vingine vya uongo maana yake Allah kashindwa kulinda
Kitendo Cha vitabu vya uongo kujulikana ni dhahiri kuwa UKWELI UNA NGUVU na Melinda ukweli ni huyo huyo Allah.
Kama Allah angeshindwa kuilinda basi hadi leo watu wasingeweza kutofautisha baina ya andiko la ukweli na uongo.
 
Mnamuaminu vipi Omar na wenzake kama hawajaweka maneno na mawazo yao kwenye kuluwani?
Kwa nini waweke maneno yao!?
Hakuna mahala ambapo Qur'an inaeleza maslahi ya mtu yeyote.
Ingekua Kuna pahala panaonesha Omar zimepenyezwa interest zake basi ningesema ni sahihi pamepenyezwa vitu.
 
Ndio ameilinda,au Kwa kuilinda ulitaka ailinde vipi!?
Kasome suratul fat'hi Kuna verse inasema "Mungu ana jeshi mbinguni na ardhini".
Hata wewe unaweza ukalinda kitu Mungu anataka ukilinde.
Kitendo Cha Omar kutoa wazo Qur'an ikusanywe sehemu moja tayari ni ukuu wa Mungu ndio umetendeka Kwa kufanya Omar afanye vile.
Kitendo Cha Othman kuteketeza makala feki ni tayari Mungu ameilinda Qur'an na conspiracy.
Au ulitaka kuona ashushe malaika na mbawa zao !?
Mwambie tu hata marekani na chuki zao dhidi ya uislam wanailinda makka kwa njia ya moja kwa moja au ya mkato
 
Ukiisikiliza Quran inavyoimbwa unaweza ukaona ni kitu cha maana,ila soma na kuielewa ndio utaona utani wake maana humo utakutana na Mzee wa miaka 53 anaoa mtoto wa miaka 6,utaona mzee anachukua mke wa mwanae na kumuoa yani ni tofauti na kile unachokiona juu juu ukihadithiwa, na wengi wao kutokana na Ile lugha iliyoandika Quran hawaelewi kilichopo mle wao wanawasikiliza hawa Wafanya tafsiri.
Acheni kupotosha watu,Quran Haina hayo maandishi uliyoyaweka wewe....Quran ndo kitabu pekee ambacho Huwezi kufananaisha na kitabu chochote.
Hujawahi kuisoma Wuran,hebu Fanya utenge muda uisome kwa Akili tulivu kisha uje tena hapa
 
Nifiche nini na kwanini😂😂😂😂 we vipi jamaa!?
Kwani mnapotoa hizo taarifa ni wapi!?
Huko huko tafuteni na hiko kitabu.
Hizo taarifa tunazokuletea unazipinga tunataka utuletee wewe unazozithibitisha halafu unatupa kazi tena ya sisi kutafuta..
Mwanangu achana na uislamu ni SCAM
 
Akimleta unitag
The Prophet Muhammad (Peace and Blessings be upon him) married his adopted son’s ex-wife because in Islam, an adopted child is not seen as your actual child. When the Prophet (Peace and Blessings be upon him) adopted Zaid, he named him Zaid Ibn Muhammad, but Allah did not condone this, because in Islam, the lineage of a person is protected. Later on, Zaid and Zainab chose to get divorced, and Allah enforced this idea even more (that your adopted son is not your actual son) by ordering the Prophet (Peace and Blessings be upon him) to marry her.
 
Hizo taarifa tunazokuletea unazipinga tunataka utuletee wewe unazozithibitisha halafu unatupa kazi tena ya sisi kutafuta..
Mwanangu achana na uislamu ni SCAM
Unajielewa wewe!?
Mfano mtu akakwambia nenda katafute kitabu fulani hiyo ni kazi!??
Are you fucking out of your mind!?
Ila ungeambiwa ukatafute kitu kwenye biblia ungeshindwa!??
Umetajiwa kitabu nenda katafute unaanza kuleta excuses!?
 
Hongera sana kwa kupiga hatua kufikisha 11% ya waumini indonesia, japo uko ulaya uliko anzia kanisa zinabadilishwa kua misikiti kwa kasi ila sio mbaya ukristu utabaki kuenea sambamba na rate za illiteracy and ignorence katika nchi husika.
Ulaya ni migrants wakimbiz wakiislamu ndio waislamu na wanahamia kwa wingi kinyama ila nchi za kiislamu ni waislamu ndio wanaobadili dini huku wakijua kifo kitawahusu ,kutengwa na jamii na kadhalika nina heshima kubwa sana kwa wakristo waliopo nchi za kiislamu
 
Acheni kupotosha watu,Quran Haina hayo maandishi uliyoyaweka wewe....Quran ndo kitabu pekee ambacho Huwezi kufananaisha na kitabu chochote.
Hujawahi kuisoma Wuran,hebu Fanya utenge muda uisome kwa Akili tulivu kisha uje tena hapa
Pia Quran haijawahi kusema uswali swala 5 hoja je unabisha Mohammad alimuoa mtoto wa miaka 6 na kumapanda akiwa na miaka 9?
 
The Prophet Muhammad (Peace and Blessings be upon him) married his adopted son’s ex-wife because in Islam, an adopted child is not seen as your actual child. When the Prophet (Peace and Blessings be upon him) adopted Zaid, he named him Zaid Ibn Muhammad, but Allah did not condone this, because in Islam, the lineage of a person is protected. Later on, Zaid and Zainab chose to get divorced, and Allah enforced this idea even more (that your adopted son is not your actual son) by ordering the Prophet (Peace and Blessings be upon him) to marry her.
C&P 😂😂😂😂😂😂😂.
Zaid ni mtoto aliyelelewa na mtume,ila uislam sio tu Kwa mtume bali uislam Kwa ujumla unaridhia kumlea mtoto ila HAURUHUSU UMPE MTOTO JINA LAKO.
Huko ni sawa na kukata ubini wa aliyemzaa hiyo hairuhusiwi.
Zainab hakutalikiana na Zaid bali Zaid alifariki.
Baada ya Zaid kufariki mtume ndio akamuoa Zainab.

C&P mkipata madude mnayapachika tu.
 
Back
Top Bottom