Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

Aisha alikuwa na miaka 19.
Naweza kukupa ushahidi.
Shia kwakua watu wahoja huwa hawataki kumzalikisha mtume ndomana wanasema ana miaka 19 maana wanajua alichofanya mtume ni kitu ambacho kitaondoa sifa zake basi wanabumba ushahidi kusema aba miaka 19 ila sunni wao wanakubali ana miaka 6 ila wanasema alikua kashabalehe,yani ni shida tuu kutetea matendo ya mtume maana alikua sio mfano wa kuigwa ukifatiliw kwa undani ila kama sheikh akimpamba madrasa kwamba kipenzi cha Allah na porojo kibao uwezi kuona uchafu wake,Huyu Mohammad kaoa mke wa Mwanae ila Allah alishusha Aya kusema inawezekana mtume kufanya hilo yote ilikua kumfichia makosa,huyu mtume aliua ndugu na mme wa mwanamke wa kiyahudi halafu Wanasema alimuoa huyo mwanamke kwa akili ya kawaida huyo mwanamke awezi akakubali kuolewa ni alibakwa tuu.
 
Shia kwakua watu wahoja huwa hawataki kumzalikisha mtume ndomana wanasema ana miaka 19 maana wanajua alichofanya mtume ni kitu ambacho kitaondoa sifa zake basi wanabumba ushahidi kusema aba miaka 19 ila sunni wao wanakubali ana miaka 6 ila wanasema alikua kashabalehe,yani ni shida tuu kutetea matendo ya mtume maana alikua sio mfano wa kuigwa ukifatiliw kwa undani ila kama sheikh akimpamba madrasa kwamba kipenzi cha Allah na porojo kibao uwezi kuona uchafu wake,Huyu Mohammad kaoa mke wa Mwanae ila Allah alishusha Aya kusema inawezekana mtume kufanya hilo yote ilikua kumfichia makosa,huyu mtume aliua ndugu na mme wa mwanamke wa kiyahudi halafu Wanasema alimuoa huyo mwanamke kwa akili ya kawaida huyo mwanamke awezi akakubali kuolewa ni alibakwa tuu.
Mzee wamekuelezea hapo vyema, hadith na quran usahihi wake, ndio maana kwenye hadithi kuna hadithi wamezitenga kama dhaifu ina maana zina utata flani... Lakini ukisoma Quran inasema wazi , Aisha aliolewa akiwa na miaka 19 mjadala ufungwe....

Kwanza unaelewa waislamu wameanza kuhesabu miaka lini?
 
Mzee wamekuelezea hapo vyema, hadith na quran usahihi wake, ndio maana kwenye hadithi kuna hadithi wamezitenga kama dhaifu ina maana zina utata flani... Lakini ukisoma Quran inasema wazi , Aisha aliolewa akiwa na miaka 19 mjadala ufungwe....

Kwanza unaelewa waislamu wameanza kuhesabu miaka lini?
Leta ushahidi mzee tupo hapa kujifunza na labda hao wajuu waislam wenzako waliosema aliolewa no miaka 9 utawasaidia pia maana wewe una source nzuri zaidi
 
Islam is the fastest growing religion in the world.

Hakuna dini inayokua kwa kasi zaidi ya waislam duniani.
Ukristo ndio dini kubwa duniani,,nyie Bado wachanga ndio maana mnakua,sisi tumeshakua mbali sana ,au google uangalie which is the biggest religion in the world???
 
Unabishana na mimi niliyesoma Sirah ya mtume!?
Mtume alimuoa Bi.Aisha akiwa na miaka 9 sio 6.

Yani huna ushahidi umekosea na bado unadanganya.
Kisayansi balehe Kwa mwanamke inaanza umri gani!?
Puberty inaanza umri gani Kwa msichana!?
Ubakaji
 
Kanisani kwetu tuu kila siku tunapokea waislamu wengi,,sema Bado wanavaa ushungi na baibui ili jamii zisiwatambue
 
Mbona pia biblia inavituko zaidi ya hivyo mara yakobo akapigana na Mungu akamshinda , mara lotu Ali lala na binti zake wakuwazaa sioni mkichekana.
Vitabu vyote ni sanaa zilizojaa upuuzi,kuamini kila yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu ni aina mojawapo ya mtindio wa ubongo.
 
Unabishana na mimi niliyesoma Sirah ya mtume!?
Mtume alimuoa Bi.Aisha akiwa na miaka 9 sio 6.

Yani huna ushahidi umekosea na bado unadanganya.
Kisayansi balehe Kwa mwanamke inaanza umri gani!?
Puberty inaanza umri gani Kwa msichana!?
Binti yako wa miaka tisa unaweza kukubali aolewe?
Wewe unaweza kuoa bintib wa miaka tisa?
Hawajakomaa kimwili wala kiakili mabinti wa umri wa miaka tisa.
 
Mzee wamekuelezea hapo vyema, hadith na quran usahihi wake, ndio maana kwenye hadithi kuna hadithi wamezitenga kama dhaifu ina maana zina utata flani... Lakini ukisoma Quran inasema wazi , Aisha aliolewa akiwa na miaka 19 mjadala ufungwe....

Kwanza unaelewa waislamu wameanza kuhesabu miaka lini?
Hamna Aya ya Quran inayozungumzia miaka ya Aisha labda wamepachika wafanya tafsiri
 
Binti yako wa miaka tisa unaweza kukubali aolewe?
Wewe unaweza kuoa bintib wa miaka tisa?
Hawajakomaa kimwili wala kiakili mabinti wa umri wa miaka tisa.
Binti wa Miaka 9 wa Mashariki ya Kati ni tofautu na Binti wa Miaka 9 wa Bongo..
Na ndo maana Hata Sheria ya Ndoa ya Tanzania Binti akiwa na Miaka 13 anaweza Kuolewa ila kwa Ruhusa ya Wazazi
 
Leta ushahidi mzee tupo hapa kujifunza na labda hao wajuu waislam wenzako waliosema aliolewa no miaka 9 utawasaidia pia maana wewe una source nzuri zaidi
Asma dada yake na Aisha alikuwa akimzidi Aisha miaka 10, Asma alishi kwa miaka 100 na alifariki kati ya mwaka 73 au 74 kwa mwaka wa kiislamu, unajua mwaka wa kiislamu walianza kuhesabu lini? Ni kipindi ambacho mtume alihama kutoka Mecca kuelekea Medina...

Kama Asma dada ya Aisha alifariki akiwa na miaka 100 na katika mwaka wa kiislamu ilikuwa 73 au 74 chukua 100 utoe 73 unapata mwaka ambao Asma na yeye alihamia Medina... Ni kama miaka 26 au 27 hivi.. kwa sababu alimzidi mdogo wake miaka 10 hapo Aisha alikuwa na miaka kama 16 au 17...

Na Aisha alikwenda kuanza kuishi katika nyumba ya mtume mwaka wa pili baada ya hijrah(kuhama) hapo unapata clearly alikuwa ndani ya miaka 18 hadi 19...

Quran hawajaruhusu ndoa za watoto, na ipo wazi Aisha alikuwa amevunja ungo....


Umeelewa au nianze na kushusha maandiko...
 
Acha uongo, duniani wakiristo hawajahi kuongezeka ukitoa waliozaliwa kwenye ukiristo labda kwa asilimia nduchu sana 0.001% , Idadi kubwa ni wakiristo ndio huingia katika uislamu kila uchao na huko kwenu Tz mumeshindwa kuweka swali la dini kwenye sensa ya watu na makazi muna hofu idadi yenu mumezidiwa sana na waislamu.
Tanzania 65% ni Christians, ruling system inaongozwa na Muslims sasa na ndiyo wenye ubavu wa kwenye sensa kuwekwe yapi kutolewe yapi, kama una akili japo kidogo angalia population kwa kila zone utagundua maeneo ambayo ni predominantly Christians ndiyo by far yenye population kubwa, a simple and easy statistical check will give you the answers.
 
Asma dada yake na Aisha alikuwa akimzidi Aisha miaka 10, Asma alishi kwa miaka 100 na alifariki kati ya mwaka 73 au 74 kwa mwaka wa kiislamu, unajua mwaka wa kiislamu walianza kuhesabu lini? Ni kipindi ambacho mtume alihama kutoka Mecca kuelekea Medina...

Kama Asma dada ya Aisha alifariki akiwa na miaka 100 na katika mwaka wa kiislamu ilikuwa 73 au 74 chukua 100 utoe 73 unapata mwaka ambao Asma na yeye alihamia Medina... Ni kama miaka 26 au 27 hivi.. kwa sababu alimzidi mdogo wake miaka 10 hapo Aisha alikuwa na miaka kama 16 au 17...

Na Aisha alikwenda kuanza kuishi katika nyumba ya mtume mwaka wa pili baada ya hijrah(kuhama) hapo unapata clearly alikuwa ndani ya miaka 18 hadi 19...

Quran hawajaruhusu ndoa za watoto, na ipo wazi Aisha alikuwa amevunja ungo....


Umeelewa au nianze na kushusha maandiko...
Screenshot_20241115_072010.jpg
 
Ndio ameilinda,au Kwa kuilinda ulitaka ailinde vipi!?
Kasome suratul fat'hi Kuna verse inasema "Mungu ana jeshi mbinguni na ardhini".
Hata wewe unaweza ukalinda kitu Mungu anataka ukilinde.
Kitendo Cha Omar kutoa wazo Qur'an ikusanywe sehemu moja tayari ni ukuu wa Mungu ndio umetendeka Kwa kufanya Omar afanye vile.
Kitendo Cha Othman kuteketeza makala feki ni tayari Mungu ameilinda Qur'an na conspiracy.
Au ulitaka kuona ashushe malaika na mbawa zao !?
Hivi kabisa kwa akili zako unaamini kuna malaika wana mabawa, this is really sickness.
 
Asma dada yake na Aisha alikuwa akimzidi Aisha miaka 10, Asma alishi kwa miaka 100 na alifariki kati ya mwaka 73 au 74 kwa mwaka wa kiislamu, unajua mwaka wa kiislamu walianza kuhesabu lini? Ni kipindi ambacho mtume alihama kutoka Mecca kuelekea Medina...

Kama Asma dada ya Aisha alifariki akiwa na miaka 100 na katika mwaka wa kiislamu ilikuwa 73 au 74 chukua 100 utoe 73 unapata mwaka ambao Asma na yeye alihamia Medina... Ni kama miaka 26 au 27 hivi.. kwa sababu alimzidi mdogo wake miaka 10 hapo Aisha alikuwa na miaka kama 16 au 17...

Na Aisha alikwenda kuanza kuishi katika nyumba ya mtume mwaka wa pili baada ya hijrah(kuhama) hapo unapata clearly alikuwa ndani ya miaka 18 hadi 19...

Quran hawajaruhusu ndoa za watoto, na ipo wazi Aisha alikuwa amevunja ungo....


Umeelewa au nianze na kushusha maandiko...
I used to play with the dolls in the presence of the Prophet, and my girl friends also used to plays Messenger (ﷺ) used to enter (my dwelling place) they used to hide themselves, but the Prophet would call them to join and play with me. (The playing with the dolls and similar images is forbidden, but it was allowed for `Aisha at that time, as she was a little girl, not yet reached the age of puberty.) (Fath-ul-Bari page 143, Vol.13)

Aisha alikua anachezea hadi midoli maana yake alikua mtoto
 
Back
Top Bottom