Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
Kwa lugha za makabila yote EAC hakuna neno "Moja kwa moja" ili tutumie badala ya Mubashara la Kiarabu au Live la Kingereza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asili yake ni ipi au limeokotwa angani?Sikuwahi kufahamu kuwa katika kiswahili kuna neno linaitwa mubashara, likimaanisha "matangazo ya moja kwa moja yaani live".
Jana kwa mara ya kwanza nilivyoona hilo neno chini ya nembo ya ITV nilidhani ni kifupisho cha maneno fulani.
Hivyo tuendelee kujifunza lugha yetu adhimu:
Mbashara (si mubashara) = Live
Sharubati = Juice
Tufaa = Apple
Nywila = Password
View attachment 467982