Habari wadau Kama nilivyoeleza hapo juu naomba ushaur juu ya vipimo vizur vya madirisha makubwa yenye kuifanya nyumba iwe na mwonekano mzur yenye kuvutia.
Wapo walionishaur niweke ft 5 yaani mita 1.7 wapo wengine wamenishaur ft6/mita 2 nawengine wamenishaur niweke madirisha mawili mawili ya ft 3 kwa kila panapohitajika.
Nawaonbeni ushaur wa kitaalam Ni yapi hasa madirisha mazur ambayo huifanya nyumba iwe na mvuto.
Wapo walionishaur niweke ft 5 yaani mita 1.7 wapo wengine wamenishaur ft6/mita 2 nawengine wamenishaur niweke madirisha mawili mawili ya ft 3 kwa kila panapohitajika.
Nawaonbeni ushaur wa kitaalam Ni yapi hasa madirisha mazur ambayo huifanya nyumba iwe na mvuto.