Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,477
- 1,668
Mkuu, msingi imara wa tofari unatakiwa ujengwe kwa kufuata kanuni zipi...!?Futi 5 sio sawa na mita 1.7
Madirisha mazuri na yatayopendeza yawe na urefu wa futi 7(course 8) na yawe na upana wa futi 5(sawa na mita 1.5)
Uliza swali lolote la ujenzi nitakujibu kitaalamu zaidi.
Mimi ni contractor niliyeshindikana