Mkuu, msingi imara wa tofari unatakiwa ujengwe kwa kufuata kanuni zipi...!?Futi 5 sio sawa na mita 1.7
Madirisha mazuri na yatayopendeza yawe na urefu wa futi 7(course 8) na yawe na upana wa futi 5(sawa na mita 1.5)
Uliza swali lolote la ujenzi nitakujibu kitaalamu zaidi.
Mimi ni contractor niliyeshindikana
Fanya hiviMkuu, msingi imara wa tofari unatakiwa ujengwe kwa kufuata kanuni zipi...!?
Fanya hivi
- Ukishamaliza kuchimba msingi, mwaga zege chini
- anza kujenga Msingi wako wa Tofali
- Funga mkanda wa zege na nondo.
Na vipi kama nikimwaga tu mchanga kwa kimo cha inchi 6-7 then nikaanza msingi?.Fanya hivi
- Ukishamaliza kuchimba msingi, mwaga zege chini
- anza kujenga Msingi wako wa Tofali
- Funga mkanda wa zege na nondo.
Hazitafika 4500View attachment 1949366
Fundi ramani yangu ni hii fundi kanambia tofari 4500. Ni hidden roof. Vipi hapa Countrywide sijapigwa??
Hapo wewe mwaga zege. Mbona sio gharama sana?Na vipi kama nikimwaga tu mchanga kwa kimo cha inchi 6-7 then nikaanza msingi?.
Malengo ni kupambana na nyufa zinazoanzia ardhini au kutokana na effect ya kutitia kwa udongo.
Mkuu tunaomba utupatia picha ya ukuta wenye dirisha la futi 7 kwa 5.Futi 5 sio sawa na mita 1.7
Madirisha mazuri na yatayopendeza yawe na urefu wa futi 7(course 8) na yawe na upana wa futi 5(sawa na mita 1.5)
Uliza swali lolote la ujenzi nitakujibu kitaalamu zaidi.
Mimi ni contractor niliyeshindikana
One more quiz, kwenye hii ramani, hivyo vipimo vipo kwenye unit gani mm au cm, mfano hilo dirisha lenye 2000Hapo wewe mwaga zege. Mbona sio gharama sana?
Inategemea na mazingira uliyopo..Habar wadau Kama nilivyoeleza hapo juu naomba ushaur juu ya vipimo vizur vya madirisha makubwa yenye kuifanya nyumba iwe na mwonekano mzur yenye kuvutia.
Wapo walionishaur niweke ft 5 yaani mita 1.7 wapo wengine wamenishaur ft6/mita 2 nawengine wamenishaur niweke madirisha mawili mawili ya ft 3 kwa kila panapohitajika.
Nawaonbeni ushaur wa kitaalam Ni yapi hasa madirisha mazur ambayo huifanya nyumba iwe na mvuto.
Kwahiyo baada ya msingi, ukuta wa boma unakwenda kwa course 11 then linta, na baada ya linta zifuate course ngapi hadi kenchi kwa ramani ya paa la kawaida?.HAKUNA nyumba ya kisasa(Sasa hivi) ambayo dirisha litakuwa na urefu wa futi 5
Kumbuka nyumba nyingi zinazojengwa sasa kutoka chini mpaka kwenye lintel(lenta) zinakuwa na course 11
Urefu wa futi 5 ni sawa na course 6. Yaani madirisha yaanzia baada ya course ya 5 . Hiyo kwa Sasa haipo, wengi kama sio wote sasa hivi wanaanzia kukata dirisha course ya 4, na dirisha litakuwa na urefu wa course 7 ambayo ni sawa na futi 6 (mita1.8)
Kuhusu upana wa futi 5.5 ,nakubali ni sahihi na reasonable
Mfano wake huu hapaMkuu tunaomba utupatia picha ya ukuta wenye dirisha la futi 7 kwa 5.
Vipo kwenye mm(millimetres), Ila 2000 labda kww sitting room.One more quiz, kwenye hii ramani, hivyo vipimo vipo kwenye unit gani mm au cm, mfano hilo dirisha lenye 2000View attachment 1949437
Baada ya linta course 3Kwahiyo baada ya msingi, ukuta wa boma unakwenda kwa course 11 then linta, na baada ya linta zifuate course ngapi hadi kenchi kwa ramani ya paa la kawaida?.
Dah, kweli inapendeza sana.Mfano wake huu hapa
View attachment 1949611
Hii nyumba inakwenda kuwa flat juu!?Mfano wake huu hapa
View attachment 1949611
Unatambua sana nini unakifanya, kwa hilo nakupa 5 Mkuu. Huku mtaani kuna mswahili kajenga ukuta umemega mipaka ya viwanja vinavyopakana, yaani kwa mtu smart lazima ujiulize, hivi hata mafundi wenyewe walikubali vipi kujenga ukuta ulio nje ya mipaka husika. Yaani ubavuni kamega si chini ya mita 2.5 ya eneo la mtu mwingine bila hata aibu.Pia itategemea na jinsi kiwanja kilivyo, matharani kama pana mwinuko, bonde, majimaji au pakavu n.k
aina ya udongo, mfinyanzi au mchanga n.k
Je kimepimwa au hakijapimwa?
Baadhi ya nchi huwa inategemea na mipangomiji.
Yani utatakiwa kujenga ku-abide na kile kilipangwa na mipango miji husika.
Huwezi jenga Banda wakati mipango miji wamepanga kujengwa majengo ya ghorofa kibali cha ujenzi hawatakupa kwa wenzetu ambao nchi zao zimejipanga na hakuna urasimu wala mazongemazonge kama bongo!
Na kipimo kizuri cha depth ya veranda ya mbele ni foot ama mm ngapi!?Baada ya linta course 3