Ukubwa wa club sio mwaka wa uanzishwaji bali ni ukubwa na ubora wake katika bara lake

Ukubwa wa club sio mwaka wa uanzishwaji bali ni ukubwa na ubora wake katika bara lake

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Ukubwa wa club yeyote Dunia sio kuwa ya kwanza kuanzisha bali ni ukubwa na ubora wake katika bara lake na nchi yake...tukiangalia kigezo cha uwazishwaji hata huku mtaani kuna timu nyingi za shuleni na vijijini vilianzishwa kabla ya yanga basi tungesema hizo ndio timu kubwa,mfano tungesema timu ya pamba,kagera,prison ni kubwa kuliko Azam Fc,Belazdad Mamelody n.k..lakini lingini mwaka 1926 na 1937 kulikuwa hakuna nchi inaitwa Tanzania bali kulikuwa na watumwa na timu za watumwa za kuwaffuraisha wakoloni..ndio maana enzi hizo hakuna timu inaitwa Simba wala yanga...hakuna ligi yeyote enzi hizo..hivyo kusema imeanzishwa mwaka fulani ndio kubwa ni ishara ya ujinga na upumbavu uliotukuka na nisababu ambayo haina ukweli wowote zaidi ya kupotezea watu muda.

Simba sc ndio timu kubwa Tanzania,Africa mashariki na kati kwasababu kwanza ndio timu yakwanza kuchukua kombe la ligi kuu Tanzania tokea ilipo anzishwa mwaka 1965 na 1966...pia ndio timu ya kwanza kucheza club bingwa na kufika robo final mara tano mfululizo club bingwa,pia imefika nusu final club bbingwa mwaka 1974,na imefika final ya kombe la shirikisho mwaka 1993,pia imeshakuwa timu ya 5 kwa ubora barani afrika,lakini pia ndio timu ya kwanza kucheza super league Tanzania..yaani ligi ya timu 8 bora na kubwa barani Afrika.
 
Sawa tumekuelewa! Tuje kwenye swali sasa la msingi; Vipi kuhusu Mwenyekiti Mangungu! Ajiuzulu, au aendelee kuishikilia nafasi yake?
Mangungu anaelewa kabisa ameshindwa kuwa fursa kwenye club..tokea awe kiongozi simba sc imefanya vibaya mno..anatakiwa aondoke tena ilikiwa muda mrefu sana..amechelewa kuondoka
 
Hapo vip!
Ukubwa wa club yeyote Dunia sio kuwa ya kwanza kuanzisha bali ni ukubwa na ubora wake katika bara lake na nchi yake...tukiangalia kigezo cha uwazishwaji hata huku mtaani kuna timu nyingi za shuleni na vijijini vilianzishwa kabla ya yanga basi tungesema hizo ndio timu kubwa..lakini lingini mwaka 1926 na 1937 kulikuwa hakuna nchi inaitwa Tanzania bali kulikuwa na watumwa na timu za watumwa za kuwaffuraisha wakoloni..ndio maana enzi hizo hakuna timu inaitwa Simba wala yanga...hakuna ligi yeyote enzi hizo..hivyo kusema imeanzishwa mwaka fulani ndio kubwa ni ishara ya ujinga na upumbavu uliotukuka na nisababu ambayo haina ukweli wowote zaidi ya kupotezea watu muda.

Simba sc ndio timu kubwa Tanzania,Africa mashariki na kati kwasababu kwanza ndio timu yakwanza kuchukua kombe la ligi kuu Tanzania tokea ilipo anzishwa mwaka 1965 na 1966...pia ndio timu ya kwanza kucheza club bingwa na kufika robo final mara tano mfululizo club bingwa,pia imefika nusu final club bbingwa mwaka 1974,na imefika final ya kombe la shirikisho mwaka 1993,pia imeshakuwa timu ya 5 kwa ubora barani afrika,lakini pia ndio timu ya kwanza kucheza super league Tanzania..yaani ligi ya timu 8 bora barani Afrika.
Uliwahi kusikia timu inaanzishwa Kwa ajili ya mashindano ya bara?
 
Hapo vip!
Ukubwa wa club yeyote Dunia sio kuwa ya kwanza kuanzisha bali ni ukubwa na ubora wake katika bara lake na nchi yake...tukiangalia kigezo cha uwazishwaji hata huku mtaani kuna timu nyingi za shuleni na vijijini vilianzishwa kabla ya yanga basi tungesema hizo ndio timu kubwa..lakini lingini mwaka 1926 na 1937 kulikuwa hakuna nchi inaitwa Tanzania bali kulikuwa na watumwa na timu za watumwa za kuwaffuraisha wakoloni..ndio maana enzi hizo hakuna timu inaitwa Simba wala yanga...hakuna ligi yeyote enzi hizo..hivyo kusema imeanzishwa mwaka fulani ndio kubwa ni ishara ya ujinga na upumbavu uliotukuka na nisababu ambayo haina ukweli wowote zaidi ya kupotezea watu muda.

Simba sc ndio timu kubwa Tanzania,Africa mashariki na kati kwasababu kwanza ndio timu yakwanza kuchukua kombe la ligi kuu Tanzania tokea ilipo anzishwa mwaka 1965 na 1966...pia ndio timu ya kwanza kucheza club bingwa na kufika robo final mara tano mfululizo club bingwa,pia imefika nusu final club bbingwa mwaka 1974,na imefika final ya kombe la shirikisho mwaka 1993,pia imeshakuwa timu ya 5 kwa ubora barani afrika,lakini pia ndio timu ya kwanza kucheza super league Tanzania..yaani ligi ya timu 8 bora na kubwa barani Afrika.

Usijisumbue, Unaowaelewesha Kule Wote ni Mazuzu...!

Watakaoelewa ni Mzee Wa Msoga na Sande Manara Kompyuta tu...!
 
Kama
Hapo vip!
Ukubwa wa club yeyote Dunia sio kuwa ya kwanza kuanzisha bali ni ukubwa na ubora wake katika bara lake na nchi yake...tukiangalia kigezo cha uwazishwaji hata huku mtaani kuna timu nyingi za shuleni na vijijini vilianzishwa kabla ya yanga basi tungesema hizo ndio timu kubwa..lakini lingini mwaka 1926 na 1937 kulikuwa hakuna nchi inaitwa Tanzania bali kulikuwa na watumwa na timu za watumwa za kuwaffuraisha wakoloni..ndio maana enzi hizo hakuna timu inaitwa Simba wala yanga...hakuna ligi yeyote enzi hizo..hivyo kusema imeanzishwa mwaka fulani ndio kubwa ni ishara ya ujinga na upumbavu uliotukuka na nisababu ambayo haina ukweli wowote zaidi ya kupotezea watu muda.

Simba sc ndio timu kubwa Tanzania,Africa mashariki na kati kwasababu kwanza ndio timu yakwanza kuchukua kombe la ligi kuu Tanzania tokea ilipo anzishwa mwaka 1965 na 1966...pia ndio timu ya kwanza kucheza club bingwa na kufika robo final mara tano mfululizo club bingwa,pia imefika nusu final club bbingwa mwaka 1974,na imefika final ya kombe la shirikisho mwaka 1993,pia imeshakuwa timu ya 5 kwa ubora barani afrika,lakini pia ndio timu ya kwanza kucheza super league Tanzania..yaani ligi ya timu 8 bora na kubwa barani Afrika.
Kama kufika robo final na. Kucheza AFL ni mafanikio Mangungu mitano teña
 
Ukubwa wa timu sio ubora!!, au hujui kuwa ubora huja na kupotea kutegemea na wakati, mazingira na utawala wa timu husika. Ukubwa wa kitu/vitu hupimwa kwa wingi .... Ukubwa wa timu hupimwa kwa mataji na mafanikio yake katika mashindano anayoshiriki. Ubora hauwezi kuifanya timu kuwa kubwa... ....
Mfano man city Katu hawezi kuwa mkubwa kwa ma u kwasababu tu ya ubora wake wa hivi karibuni!!, hoja ya Simba kuwa timu kubwa Tz umeileta kishabiki na haina mantiki... Hebu idadi ya makombe anayomiliki na mafanikio mengine ambayo amefanikiwa kuliko timu zingine za Tz!.
 
Ukubwa wa timu sio ubora!!, au hujui kuwa ubora huja na kupotea kutegemea na wakati, mazingira na utawala wa timu husika. Ukubwa wa kitu/vitu hupimwa kwa wingi .... Ukubwa wa timu hupimwa kwa mataji na mafanikio yake katika mashindano anayoshiriki. Ubora hauwezi kuifanya timu kuwa kubwa... ....
Mfano man city Katu hawezi kuwa mkubwa kwa ma u kwasababu tu ya ubora wake wa hivi karibuni!!, hoja ya Simba kuwa timu kubwa Tz umeileta kishabiki na haina mantiki... Hebu idadi ya makombe anayomiliki na mafanikio mengine ambayo amefanikiwa kuliko timu zingine za Tz!.
We ndio haulewi kabisa angalia usizungumzie haya makombe ya ya ligi kuu anayochukua yanga kupitia bahasha,waamuzi washabiki na wabovu na siasa, hapo umepotea..
Kumbuka makombe 20 ya yanga ni yawaamuzi na pesa na sio yanga kama yanga kwa hiyo usilete hizo siasa hapa za maji taka..GSM amethamini timu 8 na bado anawaonga waamuzi na wachezaji wa timu pizani.
 
We ndio haulewi kabisa angalia usizungumzie haya makombe ya ya ligi kuu anayochukua yanga kupitia bahasha,waamuzi washabiki na wabovu na siasa, hapo umepotea..
Kumbuka makombe 20 ya yanga ni yawaamuzi na pesa na sio yanga kama yanga kwa hiyo usilete hizo siasa hapa za maji taka..GSM amethamini timu 8 na bado anawaonga waamuzi na wachezaji wa timu pizani.
Nilifikiri una hoja ya maana kumbe ni wale wale aliowasema Rage na kukaziwa juzi na Mwina
 
Nilifikiri una hoja ya maana kumbe ni wale wale aliowasema Rage na kukaziwa juzi na Mwina
mkipigwa kwenye hoja mnamkimbilia arage..Hizi ni realities ,facts,data na evidence, nyie washabiki wa timu yenye rangi za mavi mavi njano na kijani mnaleta hoja za kwenye kahawa za sh.mia mia hapa mtaumbuka.
 
mkipigwa kwenye hoja mnamkimbilia arage..Hizi ni realities ,facts,data na evidence, nyie washabiki wa timu yenye rangi za mavi mavi njano na kijani mnaleta hoja za kwenye kahawa za sh.mia mia hapa mtaumbuka.
Huko kwenye ligi ya ndani nimeona umetaja kuwa ilichukua kikombe, huko kwingine kote sijaona kikombe unaishia kusema ‘ilifika, ilifika’, hautaji vikombe.
Halafu hukohuko kwenye ligi ya ndani unasema ilikuwa ya kwanza kuchukua kikombe, ukitajiwa iliyochukua mara nyingi zaidi unadai halina hadhi ni bahasha zinatembea.
 
We ndio haulewi kabisa angalia usizungumzie haya makombe ya ya ligi kuu anayochukua yanga kupitia bahasha,waamuzi washabiki na wabovu na siasa, hapo umepotea..
Kumbuka makombe 20 ya yanga ni yawaamuzi na pesa na sio yanga kama yanga kwa hiyo usilete hizo siasa hapa za maji taka..GSM amethamini timu 8 na bado anawaonga waamuzi na wachezaji wa timu pizani.
Huwezi kudharau domestic trophies Al Ahly na ukubwa wake wanampambania kombe la ndani kwanza
 
Ukubwa wa timu sio ubora!!, au hujui kuwa ubora huja na kupotea kutegemea na wakati, mazingira na utawala wa timu husika. Ukubwa wa kitu/vitu hupimwa kwa wingi .... Ukubwa wa timu hupimwa kwa mataji na mafanikio yake katika mashindano anayoshiriki. Ubora hauwezi kuifanya timu kuwa kubwa... ....
Mfano man city Katu hawezi kuwa mkubwa kwa ma u kwasababu tu ya ubora wake wa hivi karibuni!!, hoja ya Simba kuwa timu kubwa Tz umeileta kishabiki na haina mantiki... Hebu idadi ya makombe anayomiliki na mafanikio mengine ambayo amefanikiwa kuliko timu zingine za Tz!.
Huu ndo ukweli achana na hoja mufilisi.
 
mkipigwa kwenye hoja mnamkimbilia arage..Hizi ni realities ,facts,data na evidence, nyie washabiki wa timu yenye rangi za mavi mavi njano na kijani mnaleta hoja za kwenye kahawa za sh.mia mia hapa mtaumbuka.
Msimu huu ulioisha simba imeitunuku Yanga pointi 6 na goli 7!! Jengeni timu acheni kutapatapa! Hamueleweki mara Mangungu, mara bahasha, mara kina Jobe!! Jengeni timu mkija kushtuka miaka 10 imepita bila kombe!
 
Hizo hatua zingekuwa rahis yanga angefika muda,na kama hizo hatua hazina maana Simba sc imekuwaje ya tano kwa ukubwa na ubora katika bara la Afrika?acheni ujinga wa kitanzania wa kuchanngia hoja ukila mapera yaliooza
Huko kwenye ligi ya ndani nimeona umetaja kuwa ilichukua kikombe, huko kwingine kote sijaona kikombe unaishia kusema ‘ilifika, ilifika’, hautaji vikombe.
Halafu hukohuko kwenye ligi ya ndani unasema ilikuwa ya keanza kuchukua kikombe, ukitajiwa iliyochukua mara nyingi zaidi unadai halina hadhi ni bahadha zinatembea.
 
Back
Top Bottom