Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Aka Glazerbhai Mwamedi kanjibai janja2.Subiri saa 2:30 mzee wa chupri chupri atakuwa hewani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aka Glazerbhai Mwamedi kanjibai janja2.Subiri saa 2:30 mzee wa chupri chupri atakuwa hewani.
Ujue sio, kwamba washabiki wa Simba hawataki kukubali kua Mo ni tatizo la hasha, Sasa hata wakikubali Nani ambae ataishikia dhamana Simba kwa sasa katika kipindi hiki kigumu.Aka Glazerbhai Mwamedi kanjibai janja2.
Pamoja na hayo yote Simba cs ndio mfalme wenu na baba yenu.
ukubwa na rankings ni vitu viwili tofauti rankings ni form na ipo kwa muda ila ukubwa ni trophies mfano Simba kwa ranking ipo juu ya Enyimba ila kwa ukubwa Simba hamfikii Enyimba sasa wewe una jaa ujinga eti Simba ni ya tano Africa kwa lipi?Hizo hatua zingekuwa rahis yanga angefika muda,na kama hizo hatua hazina maana Simba sc imekuwaje ya tano kwa ukubwa na ubora katika bara la Afrika?acheni ujinga wa kitanzania wa kuchanngia hoja ukila mapera yaliooza
washabiki wa yanga nyie mmekaa kama makabeji ya shambani...kwahiyo unataka kusema kwasababu timu ya Pamba ilianzishwa muda mrefu kiliko AZAM,Belazdad na mamelody ni kubwa kwasababu ilikuwa ya kwanza kuanzishwa?ukubwa na rankings ni vitu viwili tofauti rankings ni form na ipo kwa muda ila ukubwa ni trophies mfano Simba kwa ranking ipo juu ya Enyimba ila kwa ukubwa Simba hamfikii Enyimba sasa wewe una jaa ujinga eti Simba ni ya tano Africa kwa lipi?
Wewe mpumbafu nmetumia lugha ya staha unataka kuleta ukahaba wako hapa mara ngapi Belgium kawa number 1 kwenye FIFA rankings na hana kombe la dunia kwa hio Belgium ni mkubwa au una bwata kama malaya wa bar! Kwa hio ukiulizwa ukubwa wa club utasema raking? wewe akili zimo kweli?washabiki wa yanga nyie mmekaa kama makabeji ya shambani...kwahiyo unataka kusema kwasababu timu ya Pamba ilianzishwa muda mrefu kiliko AZAM,Belazdad na mamelody ni kubwa kwasababu ilikuwa ya kwanza kuanzishwa?