Ukubwa wa Manara dhidi ya Ahmed Ally waonekana bayana

Ukubwa wa Manara dhidi ya Ahmed Ally waonekana bayana

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mechi ya Simba dhidi ya Asec Mimosas Simba walipewa nafasi ya watu 35,000 kuingia uwanja wa Mkapa kuangalia mechi lakini waliingia mashabiki 20,0000 TU.

Mechi Yao dhidi ya RS Berkane wamepewa tena idadi ya mashabiki 35000 kwenda uwanjani.

Hii ya Sasa inamtesa Ahmed Ally msemaji wao. Anazuunguka mitaani kuwabembeleza mashabiki waende uwanjani jpili. Anatafuta watu kwa tochi.

Hii ni tofauti sana na Haji Manara enzi zake, pengo la Haji Simba bado halijapata mzibaji.

Simba na Ahmed lazima wamwangukie Haji.
 
Kupiga kelele,kuisimanga Yanga,kuwatishia waandishi wa habari waliokua wakiandika madhaifu ya simba
Aseeee.....
Kama huu ni mchango wake, basi abaki huko huko.
Aliiletea simba tabu na Vyombo vya habari,
Alijikweza sana akafikia hatua ya kuanza kusema haji manara na Simba ( kwamba ni brand mbili zilizo sawa).
 
😂😂😂😂😂Humu JF mlikua mnamtukuza sana
Aseeee.....
Kama huu ni mchango wake, basi abaki huko huko.
Aliiletea simba tabu na Vyombo vya habari,
Alijikweza sana akafikia hatua ya kuanza kusema haji manara na Simba ( kwamba ni brand mbili zilizo sawa).
 
Kupiga kelele,kuisimanga Yanga,kuwatishia waandishi wa habari waliokua wakiandika madhaifu ya simba
Kwani Manara alianza kuwa msemaji Simba miaka hii minne ya mwisho ambayo ndiyeSimba ulipata kilele cha mafanikio??

Umesahau huyu alikuwepo miaka nenda rudi wakati tunastruggle kutengeneza timu na kufanya transformation ya umiliki?? Kelele hazifanyi timu iperform, pesa ndio inafanya yote hayo..
 
Mkuu take a chill pill. Sijaongelea mafanikio ya makombe etc zaidi ya mchango wa kelele zake
Kwani Manara alianza kuwa msemaji Simba miaka hii minne ya mwisho ambayo ndiyeSimba ulipata kilele cha mafanikio??

Umesahau huyu alikuwepo miaka nenda rudi wakati tunastruggle kutengeneza timu na kufanya transformation ya umiliki?? Kelele hazifanyi timu iperform, pesa ndio inafanya yote hayo..
 
Kupiga kelele,kuisimanga Yanga,kuwatishia waandishi wa habari waliokua wakiandika madhaifu ya simba
hapo sasa unashindwa kusimamia ulichosema mwanzoni, tupo kimataifa sio nyumbani yanga anahusikaje hapa.
 
Back
Top Bottom