Ukubwa wa Manara dhidi ya Ahmed Ally waonekana bayana

Ni kweli kabisa ndio maana manara alivyokuja yanga wakaenda makundi CAF na sasa wapo hatua ya mtoano hakuna pengo la mtu lisilozibika.
 
Manara anajua nini, wakati ule anapiga kelele zake Simba ilikuwa moto mdomo wake haukusaidia chochote, huyu Ahmed ameikuta Simba ya mpito soon itakaa sawa.
Hata husemi kweli, Simba inachapwa 5-0 ugenini lakini Manara alikuwa akijaza watu uwanjani kwenye mechi za marudiano. Ile mechi ya Simba vs Asec kwa Haji watu wangekosa pa kukaa uwanjani
 
Labda kamzidi rangi hekima na bwatu bwatu vinafanana je.
 
Hongera msukule na chawa wa GSM ndg Manara kwa mtazamo wako. Umesikika.
 
Hongera msukule na chawa wa GSM ndg Manara kwa mtazamo wako. Umesikika.
Jamaa asione aibu kutumia slogan za Haji kama vile DO or DIE kama anaona zinaweza kutumika kuvuta watu kwenda viwanjani.
 
Maneno kuntu Sana Sasa shida ya wao kushinda kujaza UWANJA wanlilia kuwa yanga tume enda kuwa pokea Berkane, No sisi tume enda kupokea watoto wetu tulio wauza na wakaweza kuvumilia magumu morrocco sio kama Chama alishindwa kitoto kiazi
 
Hii mambo ya kulia kulia wameenda kupokea timu airport hayo ni ya utoto, maana yanafanyika hata nje, nyie chezeni Mpira wenu mutunyamazishe, maana hata tukiamua kuwasifia mukishinda mutakufa kututusi kwa USHINDI huo so afadhali tuwe opponents wazi wazi
 
Aisee majitu yanayoishiaga round ya awali afrika yanajua kutoa ushauri na kukosoa sana
 
Tatizo ni pale Simba Inacheza na timu nyingine lakini tambo na vibweka vya kabla na baada ya mechi vinahamia Yanga. Nani anapenda upuuzi kama huo?

Kazi ya kuleta mashabiki uwanjani Ahamed Ally amejisalimisha kwa mo.
 
Aisee majitu yanayoishiaga round ya awali afrika yanajua kutoa ushauri na kukosoa sana
Mo na Ahmed Ally wanasaidiana kuita watu waende uwanjani, Haji Manara alikuwa akijaza uwanja peke yake bila mo
 
Japo alikua anahamasa kubwa lakini alikua mtu wa hovyo mno kiasi kwamba kuna muda mambo alikua anafanya mpaka nlikua najidharau na kuona aibu kuiongelea klabu yangu

Acha pengo lake lisizibike but we have Ahmed n on Sunday tutaimba nyimbo moja uwanja mzima huku berkane akifa kwa mkapa
 
Mo anafanya kazi ya Ahmed. Ndiyo ilivyo, hata ng'ombe hajui thamani halisi ya mkia wake hadi pale utakapokatika na kulazimika kufukuza wadudu kwa mdomo na pua yake kwa kugeukageuka huku na kule.
 
Kweli akili yako ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…