Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukiwa na mpenzi mwenye wivu wa kupitiliza, kuchukia watu bila sababu yoyote ile kwa dhana yake potofu kwamba ni wapenzi wako, kukuhisi vibaya kila wakati na kuzua ugomvi mkubwa kati yenu kutokana na wivu wake wakati hakuna baya lolote unalolifanya hata kama mnapendana kiasi gani STUKA SANA. Watu wengine huwa hawajiamini kabisa kwenye penzi unaweza kumuhakikishia kila kitu na muda mwingi mko pamoja lakini bado tu hatajiamini kama anapendwa na wivu wake utaendelea kuwa chanzo cha ugomvi wa kila mara hadi kuharibu penzi.
 
Halafu ni muongo weww umetunga, haiwezekani ukumbuke kila hatua na vitu vilivyotumika kwa mganga[emoji23][emoji23][emoji23] itakua ni mganga unataka wateja.
Utapeli kama utapeli mwingine tu huu
 
Mkuu una experience na hiyo kitu ? Tupo tayari kufanya chochote kama unamjua mtalaamu wa uhakika please ni pm. Nipo tayari kutoa chochote. Ila awe wa uhakika kweli kweli maana akiwa mwepesi mwepesi anaweza kwenda na maji..
 
Story nzuri ya kiutu uzima kama za akina abunuwasi, ila kama ni tangazo utawapata majuha humu, wapo tele, watakuwa hata tayari kukupa hela zao walizozitolea jasho mwezi mzima!
Ila haya mambo ya kimazingira ndiyo anguko letu Watanzania, tumeona Misungwi, Albino kufa, Wanawake kukatwa maziwa na nanihii, watoto wadogo kubakwa, wenye vipara kukosa vichwa na vibibi kizee kupoteza maisha, kisa imani kama hizi, tunazikemea na hazikubaliki kisheria, ipo siku sheria zitakomazwa ili wenye imani kama hizi wafungwe maisha..
 
Dada yangu damu ya Yesu ni jibu la kweli. Yote yanawezekana kwake yeye haaminiye.
 
Kwa mwandiko wako huu wewe ni me,
La pili unatafuta wa kuwapiga ila ww ni bonge la mtunga story
 
Hapa ndo kuna uongo umesema zaidi ya 20 then unakuja kusema kati ya 20 watatu wamefariki kwenye process.Yani meseji tu za usiku mmoja zimeweza kukupa hizi detail zote.nadhani ungefaa sana kwenye intelligence...🙂🙂🙂
 
G
Fatma hivi mumeo huyo huwa hapiti humu JF? Hata kama umetumia fake id kwa jinsi ulivyofunguka lazima atagundua kuwa ni wewe uliyemfanyizia. Hivi itakuwaje? Jamani tuacheni ubaya hauna tija.
 
Mi ndo mana hua nikipiga shoo nasepaga na ganda langu.. Nalifunga vizuri naliweka kwenye gazeti naenda kulitupa nakojua mm
 
G

Fatma hivi mumeo huyo huwa hapiti humu JF? Hata kama umetumia fake id kwa jinsi ulivyofunguka lazima atagundua kuwa ni wewe uliyemfanyizia. Hivi itakuwaje? Jamani tuacheni ubaya hauna tija.
sasa hivi ni kama amechanganyikiwa..he is so suicidal..hawezi kupita huku
 
watu wengi wanasema ni promo kwa sababu ya hizo process ndeefu ulizoelezea kwa mganga,ingependeza zaidi kama ni msaada unataka ungeeleza kwa kifupi kuwa umemfanyia mwenzi wako ulozi na ungeeleza hapo unapotaka msaada lakini tofauti stori kubwa imekuwa zile process za kwa mganga mara ngombe mara kasuku damu jogoo n.k.....INTERMISSION.....
 
hii stori yako mpelekee Erick shigongo halafu kama ni kweli wewe ni jimama jinga sana ina maana huna hobby nyingine zaidi ya kutiwa tu na kama unataka kutangaza biashara yako ya uganga ujue utapeli wako ni wa kijinga pambf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…