Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Hata mwanaume anifanyie ubaya wa namna gani siwezi mwendea kwa mganga hili iweje?

Hili ni tangazo na watu wanavyopenda uchawi watakujia pm.

Tofauti na hapo kama ni kweli, peleka hilo swala kabisani, usiombewe na mtuu, nenda na mmeo piga magoti pale altare msimulie mungu kama ulivyo tueleza, lia yooote, Nina imani sala moja inaweza kubadirisha kila kitu trust.
 
Umefanya mambo magumu sana wee kiumbe, cha ajabu una kuja kulia lia humu subiri labda uta pata wa kukufariji..,
 
Duh! Condom used natupaga chooni sipendagi ujinga wa kuziacha Kuna time natembea na mfuko wa Rambo nikimalza nabeba naenda kutupa chooni au kuchoma Moto
Same here. No body knows where I throw my man ii
 
Biashara kama biashara nyingine...mtoa post nia yako kumtangaza uyo mganga unaejifanya kamtia mumeo uhanithi (ambaye ni wewe.)
Kwanza toka lini vitu vikachemshwa hadi kuwa majivu hivi unatuona malofa???!
 
Unastahili kufa si kuishi tena
 
Baadae Yule bibi akamkabidhi mganga ule mti halafu akachukuliwa nyoka ambae ameuwawa akachanganywa kwenye ile damu ilyo kuwa kwenye chungu pamoja na dawa kisha vikachemshwa mpaka vikawa jivu.


(Siku hizi vitu vikichemshwa sana vinakuwa jivu ee)
Mi naona ni biashara anatangaza... nimegoma kuamin hiyo story yake
 
Siwezi kukushaur mjinga kama wewe,chamsingi we pambana na Hali yako nauandae jib lakmpa muumba wako, over
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…