Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Rekebisha hapo modes nadhan ni mods=moderators
 
With so much challenges in this life heri tu nijifunze kuwa na upendo maana upendo hushinda yote!
 
Tatizo sio kupingana na maelezo yako bali the way ulivyo express those procedures na jinsi ulivyokuwa na guts ya kueleza mabaya uliyoyafanya kwa mumeo in sequence wise,inafanya watu wadadisi ni kweli? au wewe pia una elements za uganga ? Kama sivyo au unajaribu kum advertise huyo FUNDI kupitia hadithi yako ya kufikirika ?
In short maelezo yako yanafanana kwa karibu na zile SMS zinazotumwa kwenye simu zikiwa km zimekosea njia zikitoa mrejesho wa tiba za FUNDI fulani in form of probability, ambapo katika 100 kuna 2 watakuwa interested na biashara ikafanyika samahani lakini huu ni mtazamo wangu.
 
Nianze kwa kusema wewe una roho mbaya sana kama hii story yako ni kweli na sio mambo ya shigongo.

Baada ya kutoa ya moyoni nenda sehemu zifuatazo utapata watalaamu watakusaidia.
1-Nenda Lupembe Njombe
2-Nenda upangwani vijiji vifuatavyo Lumbila, Lupila na Ludewa
3-Nenda Makete kuna kijiji kinaitwa Unyangala kipo baada ya kijiji kinaitwa Bulongwa.

Na uhakika utasaidiwa...
Ikishindikana huko mtafute Mwingira, kakobe, mzee wa upako na wengine wa dizaini yao.

Mind you hivyo vijiji nilivyo kutajia ni hatari kwa mambo ya shirki.

Angalizo kwa walio baki ushirikina ni tabia mbovu na ovu.
Msitesane kwa mambo ya kipuuzi puuzi..
 
Mwambie mumeo ukweli nini umemfanyia itasaidia atleast na yeye kuwa na amani kwenye maisha yake
 
Mleta posti me naona j ama wewe ndio mganga unaehitaji wateja kama sivyo wewe ni wakala wa mganga ambae amekutuma kututega ili tumwendee kwa mambo ya kishirikina.
Nenda kamwambie jf wameniambia , "za mbayuwayu, tunachanganya na za kwetu" hutupati ng'o!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…