Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Ukubwa wa maumbile ya mume wangu umesababisha vifo vya waganga 7

Maisha yanaenda kasi sana!
Siku hizi waganga wanachati[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Roho yako ni mbaya sanaaaa sijawahi ona mambo yooote uliyofanye ili kumkomoa mume wako kumbe bado unataka tena. Duuuuuuh hata dhambi kwa Mungu hukuona ????
 
Kumwambia ukweli hapana.. Mimi nataka nipate msaada arudi katika hali yake ya kawaida. Ila nashukuru sana kwa ushauri wako
Pole sana Binti ila ulichomfanyia mmeo ni sawa na uuaji! Majuto ni mjukuu ...

Huna budi kumwomba msamaha huishi kwa amani. Atachukia lakini mwisho wake ni uhusiano wa dhati. Mmeo sasa si mme tena ni msalaba wako, naye aikubali hali hiyo.

Hili hilo liweze kukamilika, kwa usalama, itapendeza nyote mkaenda kwa daktari bingwa wa magonjwa ya akili, maana na wewe unahitaji ushauri wake. Ni vizuri ukamsimulia kisa chote huyo bingwa kabla hujabeba msalaba wako kwake.

KILA LA KHERI.
 
Mkuu una experience na hiyo kitu ? Tupo tayari kufanya chochote kama unamjua mtalaamu wa uhakika please ni pm. Nipo tayari kutoa chochote. Ila awe wa uhakika kweli kweli maana akiwa mwepesi mwepesi anaweza kwenda na maji..
Nimeshakwambia huyo mumeo dawa yake ipo kwa mama yake mzazi.
 
Hakuna kitu hapo mleta mada story hii. Haina uhalisia,lakini kwa jinsi ulivo elezea hizo hatua zote za kiganga na wasi wasi utakuwa mmoja wao.
 
Wakuu alieandika hii story ni jamaa mmoja namfahamu ni mganga tapeli sana wa bagamoyo anaitwa Mungwa kabili pia ana msaidizi wake anaitwa kalunde. jamaa ni tapeli mkubwa sana. Msidanganyike. Pia anae rafiki yake ni mganga tapeli wa Tanga anaitwa Mtu Mzito na yeye ni tapeli mkubwa sana. Kila kitu hapa ni utapeli mtupu. You have been warned!
 
Njoo PM nikupe dawa wewe na mumeo. Tena nitatumia dakika 20 tu na mtafanya mapenzi ofisini kwangu. Mkitoka hapo mnaenda kumzika huyo mganga wako.
Ana nguvu gani ya kumshinda huyu niliye naye. Yaani, yule Simba wa kabila la Yuda?? Yesu Kristo ndiye mwisho wa yote. Hajawahi kushindwa na hata shindwa kwani aliingia kuzimu na kumnyang'anya Shetwani funguo za kuzimu na mauti. Muogope huyo baaaasi.
Watishie hao hao wa kwenu sio watu wote.
 
SIKILIZA USHAURI HUU , mimi naona haujaamua bado wakumwamini na kumtegemea.Mungu naye anakusubiria kuona je yeye utampa nafasi?ikiwa unataka kumpa nafasi Mungu wa kweli tubu na kuomba msamaha kwa Mungu,kisha piga hatua kwenda kwa Yesu kupitia watumishi wake ukiwa na dhamira yakutubu na kukaa ktk imani ya Yesu nakuokoka.bila kufanya hivyo hakuna kitu kwasababu wewe pia umefungwa bila kujijua .Kama unaweza mwambie Yesu akusamehe alafu ukimaliza mshike hiyo sehemu kemea kila ushirikina uliofanyika hapo kwa jina la Yesu utakuja kuniambia.ila shart utubu kwa Yesu nauamue kukaa ktk imani ya wokovu kwanza
 
Ni PM nitakusaidia mahali ila iwe siri yako hatufanyi promo
 
Mkuu una experience na hiyo kitu ? Tupo tayari kufanya chochote kama unamjua mtalaamu wa uhakika please ni pm. Nipo tayari kutoa chochote. Ila awe wa uhakika kweli kweli maana akiwa mwepesi mwepesi anaweza kwenda na maji..
Kwa hiyo uko tayari huyo mme wako aende kumlala Mama yake Mzazi?!!! Na wewe ni Mwanamke?!! Umebarikiwa kuzaa watoto wewe?!!
Je,unamfahamu Mganga anayeitwa Yesu Kristo?!! Huyu anatibu bure kabisa. Anachohitaji toka kwako ni toba ya kweli na kumkiri kuwa Bwana na Mwokozi wako. Is that too much ?compared to what you have gone through?!!!!
 
Hawa watu ndio wanaotusumbua kutwa kwenye simu zetu kututumia sms za shukrani kwa wataalamu halafu eti wanajifanya zimekosea njia!!!
 
Back
Top Bottom