Ukubwa wa mtu yaani cheo uendane na uzalendo kwa TAIFA. Msitutishe na sheria mbovu mlizotunga

Ukubwa wa mtu yaani cheo uendane na uzalendo kwa TAIFA. Msitutishe na sheria mbovu mlizotunga

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Sheria nyingi zimetungwa kulinda hadhi za viongozi kama kinga hususan hata wakiwa wapuuzi na majizi yanajitwika heshima na staha wasiyo stahili. Mnataka tuwaite waheshimiwa lakini hakuna hata heshima moja mnayostahili. Mnatumia mamlaka vibaya kukandamiza wananchi wanaohoji na kukosoa.

Kuhusu mkataba wa DP World ni wazi viongozi wamefanya upuuzi usiovumilika. Kugenisha misitu na mbuga zetu ni usaliti wa kipumbavu kabisa dhidi ya taifa letu


Mtasema natukana lakini hakuna jina zuri kwa mtu au watu wanaotuweka watanzania utumwani kwa tamaa za matumbo yao.

Yaani unalipwa mshahara kwa kodi zetu halafu ufanye madudu nikuheshimu?

Nyie polisi na wanadola mnaotumika kufanya ukandamizaji mjitafakari kwa sababu kila linalofanyika kinyume.cha Katiba na sheria dhidi ya taifa mtalipwa sawa sawa na kipimo mnachowajazia wanyonge.

Habari zenu bana
 
jpm.jpg
 
Sheria nyingi zimetungwa kulinda hadhi za viongozi kama kinga hususan hata wakiwa wapuuzi na majizi yanajitwika heshima na staha wasiyo stahili. Mnataka tuwaite waheshimiwa lakini hakuna hata heshima moja mnayostahili. Mnatumia mamlaka vibaya kukandamiza wananchi wanaohoji na kukosoa.

Kuhusu mkataba wa DP World ni wazi viongozi wamefanya upuuzi usiovumilika. Kugenisha misitu na mbuga zetu ni usaliti wa kipumnavu kabisa dhidi ya taifa letu


Mtasema natukana lakini hakuna jina zuri kwa mtu au watu wanaotuweka watanzania utumwani kwa tamaa za matumbo yao.

Yaani unalipwa mshahara kwa kodi zetu halafu ufanye madudu nikuheshimu?

Nyie polisi na wanadola mnaotumika kufanya ukandamizaji mjitafakari kwa sababu kila linalofanyika kinyume.cha Katiba na sheria dhidi ya taifa mtalipwa sawa sawa na kipimo mnachowajazia wanyonge.

Habari zenu bana
Tatizo lipo juu. Kichwa ni kibovu. Hakina uwezo wowote wa kulisaidia hili taifa kwa namna yoyote.

Maslahi binafsi, upigaji, rushwa, kulindana ndio agenda yao.
 
Tatizo lipo juu. Kichwa ni kibovu. Hakina uwezo wowote wa kulisaidia hili taifa kwa namna yoyote.

Maslahi binafsi, upigaji, rushwa, kulindana ndio agenda yao.
Watanzania tumekuwa kama mayatima kwa sababu viongozi wanasema maendeleo yanafanyika kwa ajili yetu lakini hizo huduma bei ni juu na serikali inahakikisha matajiri ndo wanapata stake kuliko kibogoyo
 
Watanzania tumekuwa kama mayatima kwa sababu viongozi wanasema maendeleo yanafanyika kwa ajili yetu lakini hizo huduma bei ni juu na serikali inahakikisha matajiri ndo wanapata stake kuliko kibogoyo
Unajua Tanzania ni familia chache zinamiliki na zina influence kwenye uchumi kushirikiana na viongozi.

Fikiria popote mafuta, usafiri, nishati, afya, elimu, miundombinu.
 
Back
Top Bottom