Jibu hoja why uchumi wa Singapore ni bora kuliko wa Tanzania?View attachment 2897248
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
3. No CCM there1. No Corruption
2. Good Leadership
Ipo PAP inatawala toka uhuru wao 1959 mpaka leo hapo pekee ndipo wana fanana na CCM3. No CCM there
hiyo PAP ni se na CCMU ? mvua hamna wanakata umeme , mvua zinarud wanakata umeme piaIpo PAP inatawala toka uhuru wao 1959 mpaka leo hapo pekee ndipo wana fanana na CCM
kwaiyo unawashauri viongozi wetu wakuu waende wakajifunze SingaporeView attachment 2897248
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Hapo zenji muungano ukivunjika watatuzidi kiuchumi stay tuned...View attachment 2897248
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Na tulipata uhuru kipindi kimoja.. . Tukaungana na znz kipindi ambacho wao waliungana na MalaysiaView attachment 2897248
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
View attachment 2897248
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Nadharia za Mwl. Nyerere alituambia ili nchi iendelee inahitaji vitu vinne - ardhi, watu, siasa safi, na uongozi bora.View attachment 2897248
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much