Ukubwa wa Singapore ni kama Wilaya ya Kigamboni tu lakini ina uchumi mkubwa sana

Ukubwa wa Singapore ni kama Wilaya ya Kigamboni tu lakini ina uchumi mkubwa sana

View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Nchi itaendelea wapi mzee babaa, huku ufisadi, huku diaspora wakisumbuliwa na kuonekana hawana uhalali wa nchi, kodi za serikali kila sehemu.
 
Back
Top Bottom