Wewe kweli kamasi tu zimejaa kichwani, Mimi nikajua utaniambia tuna kikombe Cha CAF kumbe Ni haya haya tu. Kwani Yanga hajawahi chukua FA, au hajawahi chukua Kagame cup? Hebu njoo na kingine hayo yote hskuna jipya hapo.Akili yako mgando. Vipi kuhusu FA, Kagame, mtani jembe nk? Siyo makombe hayo?