vulcan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,742
- 2,459
Je, nikipata mwana Bongo huko tanzania, anaweza kunikodisha shamba nipande korosho?
Na ikifika wakati wa kuuza, jeshi la Magufuli litanunua zao langu ama watasema mimi ni nyang'au?
Huu ukilima wa korosho ndio utatengeneza millionaire wengi huko Bongo, mimi siachwi nyuma kama Nyang'au.
Na ikifika wakati wa kuuza, jeshi la Magufuli litanunua zao langu ama watasema mimi ni nyang'au?
Huu ukilima wa korosho ndio utatengeneza millionaire wengi huko Bongo, mimi siachwi nyuma kama Nyang'au.