Ukumbi wa Arnautoglo safari ndefu ya Mwalimu Nyerere ilipoanzia

Ukumbi wa Arnautoglo safari ndefu ya Mwalimu Nyerere ilipoanzia

Kingsmann,
Historia ya TANU ni tamu sana na inasisimua.

Namshukuru siku zote Bwana Ally Sykes kwa kunifungulia nyaraka
zake na kunipa mimi fursa ya kuzisoma na pia kumhoji.

Inasikitisha sana kuwa wenye nyaraka hizi wamezuia zisisomwe na
umma.
Ally ni marehemu, alikuwa jirani pale mbezi beach, nyumbani yake ipo ufukweni kabisa.

Alipenda kuandaa sherehe za mwisho wa mwaka, mtu mmoja mchangamfu na asiyejikweza.

Alikuwa na spirit kama ya Bakhresa, kama usipotambulishwa na anayemfahamu usingeweza kumjua.
 
Ally ni marehemu, alikuwa jirani pale mbezi beach, nyumbani yake ipo ufukweni kabisa.

Alipenda kuandaa sherehe za mwisho wa mwaka, mtu mmoja mchangamfu na asiyejikweza.

Alikuwa na spirit kama ya Bakhresa, kama usipotambulishwa na anayemfahamu usingeweza kumjua.
Hivi mbezi beach inaanzia wapi na kuishia wapi!
 
Hivi mbezi beach inaanzia wapi na kuishia wapi!
Inaanzia pale maringo ukikata kona inayoelekea rainbow, inaishia pale kwenye kipita shoto cha kuelekea afrikana. .

Eneo lote kutoka pale darajani lugalo upande wako wa kulia kuelekea baharini ni mbezi beach, mpaka unapokutana na ile barabaraba inayotoka katika kile kipita shoto nilichokitaja hapo juu.
 
Inaanzia pale maringo ukikata kona inayoelekea rainbow, inaishia pale kwenye kipita shoto cha kuelekea afrikana. .

Eneo lote kutoka pale darajani lugalo upande wako wa kulia kuelekea baharini ni mbezi beach, mpaka unapokutana na ile barabaraba inayotoka katika kile kipita shoto nilichokitaja hapo juu.
Hotel Africana, zamani jioni tukimsikia simba akiunguruma hapo.
 
Kituko kingine hichi yani mshindani hakupiga kampeni makusudi ili mtu mwingine ashinde [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tanu ndio ccm mfumo ni uleule. Nyumba mbovu juu ya msingi mbovu....
Msisahau karatasi za kura zenye picha ya mtu na ukuta!!! (Aidha umchague yeye au ukuta!!!!)
 
Ally ni marehemu, alikuwa jirani pale mbezi beach, nyumbani yake ipo ufukweni kabisa.

Alipenda kuandaa sherehe za mwisho wa mwaka, mtu mmoja mchangamfu na asiyejikweza.

Alikuwa na spirit kama ya Bakhresa, kama usipotambulishwa na anayemfahamu usingeweza kumjua.
Phillipo,
Mzee Ally alikutana na Tito Mbuwane katika mkutano Afrika ya Kusini.

Tito Mbuwane alikuwa waziri katika serikali ya Mandela.

Ally Sykes akamwambia Tito Mbuwane kuwa na yeye ni Mbuwane akamtajia majina yake yote - Ally Kleist Sykes Mbuwane akamweleza historia ya babu yake Sykes Mbuwane.

Tito Mbuwane akawa na mashaka na historia ile akihofu labda ni mbinu za Watanzania kutaka kumptapeli kwa hiyo akafanya check ya haraka na mtu mmoja anaemwamini.

Tito akaelezwa kuwa yote aliyoambiwa ni kweli kisha yule mpashaji habari akamwambia, "Ally Sykes hapo aliposimama anaweza kununua nyumba zote za huu mtaa."
 
Phillipo,
Mzee Ally alikutana na Tito Mbuwane katika mkutano Afrika ya Kusini.

Tito Mbuwane alikuwa waziri katika serikali ya Mandela.

Ally Sykes akamwambia Tito Mbuwane kuwa na yeye ni Mbuwane akamtajia majina yake yote - Ally Kleist Sykes Mbuwane akamweleza historia ya babu yake Sykes Mbuwane.

Tito Mbuwane akawa na mashaka na historia ile akihofu labda ni mbinu za Watanzania kutaka kumptapeli kwa hiyo akafanya check ya haraka na mtu mmoja anaemwamini.

Tito akaelezwa kuwa yote aliyoambiwa ni kweli kisha yule mpashaji habari akamwambia, "Ally Sykes hapo aliposimama anaweza kununua nyumba zote za huu mtaa."
Mjukuu wa Ally ni mdogo wetu pale Mbezi Beach, amekua tunamuona. Mwanae ndio mwenye ile travel agency iliyopo katika huu mtaa unaoanzia round about ya iliyokuwepo bilicanas unakuja kumalizia ile round about ya karibu na ule msikiti ulio karibu na hindu mandal (nadhani unaitwa Idrissa).
 
Sikuwahi kufahamu Kua uwanja wa Nangwanda Sijaona ni jina la mtu
 
Sikuwahi kufahamu Kua uwanja wa Nangwanda Sijaona ni jina la mtu
Sebago,
Lawi Nangwanda Sijaona ni katika wapigania uhuru wa Tanganyika toka
wakati wa TAA hadi TANU.

Unaweza kusoma historia yake katika siasa ndani ya kitabu cha Abdul
Sykes
(1998):

1564236013397.png

Kulia ni Lawi Nangwanda Sijaona, Abdulwahid Sykes, Julius Nyerere na Dossa Aziz
katika hafka ya kumuaga Nyerere safari ya pili UNO 1957 Ukumbi wa Arnautoglo
 
Sebago,
Lawi Nangwanda Sijaona ni katika wapigania uhuru wa Tanganyika toka
wakati wa TAA hadi TANU.
Unaweza kusoma historia yake katika siasa ndani ya kitabu cha Abdul
Sykes
(1998):
View attachment 1164624
Kulia ni Lawi Nangwanda Sijaona, Abdulwahid Sykes, Julius Nyerere na Dossa Aziz
katika hafka ya kumuaga Nyerere safari ya pili UNO 1957 Ukumbi wa Arnautoglo
shukrani Sana Kiongozi, madini haya tunayapata JF pekee, ipo haja ya haya mambo kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wanafunzi wapate kuyajua
 
shukrani Sana Kiongozi, madini haya tunayapata JF pekee, ipo haja ya haya mambo kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wanafunzi wapate kuyajua
Sebago historia hii inatia hofu kwa hiyo inaonekana bora isifahamike kwa hiyo haiwezi kuitwa katika mtaala.
 
Yamefichwa, badala yake tunasoma history ya kijinga jinga tu zinjathropuz na homohabilis
shukrani Sana Kiongozi, madini haya tunayapata JF pekee, ipo haja ya haya mambo kuingizwa kwenye mitaala ya elimu wanafunzi wapate kuyajua
 
Mohamed Said yupo sahihi kuhusu uchaguzi. Nimemsikiliza marehemu Ally Kleist Sykes amefafanua vizuri sana katika kipindi cha Maktaba yetu TBC. Amepita mle mle Ninayo crip yake ntaiupload
 
Back
Top Bottom