Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Mbona unateseka na mambo ya wakatoliki?? Wanakujwaza nini wakati hawakulazimishi kuamini hayo wewe mwenye dini ya kweli unayoona ni ya kishetani?? Ushawah ona kanisa katoliki au waumini wake wanadili na hizi pet issues za ku discuss madhehebu mengine??
 
Wakati tunaandika haya Tulitegemea Kitu kama hicho

Ukirejelea kwenye Nyuzi yangu sidhani kama nimeandika sehemu yoyote Ubadili dhehebu au dini yako hamna kifungu hicho

Ila kwenye kasoro hainizuwii mimi kuandika

Mfano makka, Kuliingizwa baadhi ya Mila za western na Walinzi kutoka USA wakawa Wanalinda pale

Zikajengwa obelisk Ambayo moja kwa moja ni Identity ya Shetani na Mungu Hapendi
Hivyo Eti labda kwakuwa mie ni muislam ndiyo nishindwe kureveal Laa hashaa!!

Huyo DaVinci ndiyo mwiba haswa ,wa wakatoliki juu ya mambo aliyokuwa akifuchua hakufukuzwa Italia burebure tu
Watu wangejiuliza hata swali hili; Freemason ilianzia wapi, jibu lake tungekimbiana humu yaani
 
Pole sana una safari ndefu ya kujifunza ila hujaamua tu. Achana na mambo ya kufikirika, jifunze biblia mbona iko wazi kabisa
Ukileta Biblia hakika ndio utaona kabisa Roman Catholic hawaifati kabisa, ndio maana katika madhebu yote ya Kikristo RC pekee yao ndio wanavitabu vyao tofauti na Biblia, Biblia inatumika kama vitabu vingine. Wametunga sana mitindo na aina ya kusali tofauti sana na maelekezo ya Biblia, nitataja baadhi ya mifano.
1. Hivi kusali na kuomba kupitia JINA la "bikira mariamu" huaga wanatoa wapi? Mbona Biblia imetoa maelekezo vizuri? Hawajui au wanafanya makusudi?
2. Hi ibada ya wafu au mafundisho ya TOHORANI, wametoa wapi? Mbona Biblia inaongea tofauti sana na jambo hili? Kwenda kinyume na Biblia ni bahati mbaya au makusudi?
3. Hi ya kuifanya Vatican kua ndio mji mtakatifu imetokea wapi? Unajua Kibiblia, Italy ni sehemu ya mataifa kama ilivyo Tanzania tu?
4. Wameiaminisha dunia kwamba kuna kitu kinaitwa Kwaresma; hivi Kwaresma Kibiblia ndio nini?

Yapo mengi sana, kuanzia kuzuia wachungaji kuoa na kuolewa, kubatiza watoto wadogo nk. Tena hili la kuoa ndio (kwa mujibu wa Biblia ) ndio sifa No 1 ya askofu, imeandikwa namna hi, "imempasa askofu kua mume wa mke mmoja...." halafu RC kigezo No 1 cha askofu lazima uwe mseja. Biblia gani inayofuatwa na RC?
 
Ukileta Biblia hakika ndio utaona kabisa Roman Catholic hawaifati kabisa, ndio maana katika madhebu yote ya Kikristo RC pekee yao ndio wanavitabu vyao tofauti na Biblia, Biblia inatumika kama vitabu vingine. Wametunga sana mitindo na aina ya kusali tofauti sana na maelekezo ya Biblia, nitataja baadhi ya mifano.
1. Hivi kusali na kuomba kupitia JINA la "bikira mariamu" huaga wanatoa wapi? Mbona Biblia imetoa maelekezo vizuri? Hawajui au wanafanya makusudi?
2. Hi ibada ya wafu au mafundisho ya TOHORANI, wametoa wapi? Mbona Biblia inaongea tofauti sana na jambo hili? Kwenda kinyume na Biblia ni bahati mbaya au makusudi?
3. Hi ya kuifanya Vatican kua ndio mji mtakatifu imetokea wapi? Unajua Kibiblia, Italy ni sehemu ya mataifa kama ilivyo Tanzania tu?
4. Wameiaminisha dunia kwamba kuna kitu kinaitwa Kwaresma; hivi Kwaresma Kibiblia ndio nini?

Yapo mengi sana, kuanzia kuzuia wachungaji kuoa na kuolewa, kubatiza watoto wadogo nk. Tena hili la kuoa ndio (kwa mujibu wa Biblia ) ndio sifa No 1 ya askofu, imeandikwa namna hi, "imempasa askofu kua mume wa mke mmoja...." halafu RC kigezo No 1 cha askofu lazima uwe mseja. Biblia gani inayofuatwa na RC?
Nakubaliana na wewe 100% mafundisho mengi ya RC ni ya uongo lakini naoingana na mtoa post huyu kuhusu ukumbi wa papa kwa sababu hana ushahidi wa biblia
 
Nimecheeeka!Mkuu mpaka leo unaongelea madhehebu,umechelewa sana.Mbona Bwana Yesu hajaleta dhehebu mkuu?Madhehebu ni mkakati wa Shetani wa kupotosha Wanadamu na device and rule.Bwana Yesu kaleta wokovu mkuu.Funguka.
 
Kuna kitabu kinaitwa the Great Secret kitafute
Kina majibu ya maswali hayo...
As long as utaanda ubongo wako kujifunza kitu kipya...ni life changing

Note:Ukweli huwa wanaufahamu watu wachache sana kwasababu knowledge ndiyo inayofanya watu watawale...
Mambo mengi tunayoaamini tunayafahamu ni uongo..
Ameandika nani hiki kitabu?
 
Ameandika nani hiki kitabu?
Mkuu ukweli wa The RC unaelweweka wazi,because symbols of Lucifer are everywhere in your church.Fimbo anayobeba Pope has satanic symbols.Kofia yake depicts satanism.Mkuu kujua mwandishi wa hicho kitabu haitakusaidia sana.You either decide to leave or stay,lakini nikuambie jambo moja,self denial haitakusaidia sana.Najua hata kama ukiambiwa huyo muandishi,uta-deny ukweli uliomo ndani ya hicho kitabu.Kubali ukweli kama kweli you need to embrace the true God,and eventually go to heaven. Many of RC teachings are not biblical,this explains it all.Tatizo ni kwamba Waroma hamsomi Biblia,mnategemea Mapadri,sasa mtaufahamuje ukweli.Kama hufahamu maandiko,utalishwa matango mwitu.It is very sad.

Mkuu hivi unajua kwamba your Pope is Jesuit?Doesn't that tell you something?
 
Mkuu ukweli wa The RC unaelweweka wazi,because symbols of Lucifer are everywhere in your church.Fimbo anayobeba Pope has satanic symbols.Kofia yake depicts satanism.Mkuu kujua mwandishi wa hicho kitabu hautakusaidia sana.You either decide to leave or stay,lakini nikuambie jambo moja,self denial hakutakusaidia sana.Najua hata kama ukiambiwa huyo muandishi uta-deny huo ukweli.Kubali ukweli kama kweli you need to embrace the true God,and eventually go to heaven. Many of RC teachings are not biblical,this explains it all.Tatizo ni kwamba Waroma hamsomi Biblia,mnategemea Mapadri,sasa mtaufahamuje ukweli.Kama hufahamu maandiko,utalishwa matango mwitu.It is very sad.

Mkuu hivi unajua kwamba your Pope is Jesuit?Doesn't that tell you something?
Mkuu mbona uko nje ya context kabisa. Umenivamia bila sababu. Kwanza mimi sio mkatoliki na sijawahi kuwa Mkristo. Kwa upana zaidi mimi si muumini wa dini yoyote ile. And i know about Jesuit and who is Papa in it. Bahati mbaya zaidi mimi sio mtu mwenye kufungwa na convictions zozote. Nimeuliza mwandishi wa hicho kitabu ni nani, lengo langu nikitafute nikipitie.
 
Mkuu mbona uko nje ya context kabisa. Umenivamia bila sababu. Kwanza mimi sio mkatoliki na sijawahi kuwa Mkristo. Kwa upana zaidi mimi si muumini wa dini yoyote ile. And i know about Jesuit and who is Papa in it. Bahati mbaya zaidi mimi sio mtu mwenye kufungwa na convictions zozote. Nimeuliza mwandishi wa hicho kitabu ni nani, lengo langu nikitafute nikipitie.
David ickle ndio mwandishi.
 
Wasalaam wakuu

Pope Audiance Hall

Paolo VI pia inajulikana kama Jumba la mkutano la Kipapa ni jengo moja kubwa huko Rome kwa Papa, lenye uwezo wa kuchukua watu 6,300, lilitengenezwa kwa saruji iliyoimarishwa vyema na mbunifu wa Italia Pier Luigi Nervi na kukamilika mnamo 1971

Lakini katika Jumba hilo, sanamu na muundo wa jengo hilo ni za kushangaza na watu wakaanza kutilia shaka

View attachment 1717036

Jumba la Wasikilizaji la Papa lilivyoundwa na kufanana kwake na maumbile ya nyoka. muundo huu wa kipekee unaonekana sehemu ya juu tu ndani na nje.

Jumba hili la Wasikilizaji la Paul VI, Lilianza wakati waa Papa Paul wa Sita, ambaye alikuwa kutoka 1963 hadi 1978. Inavyoonekana alikuwa Papa mwenye heshima, ingawa amehusishwa kuficha au kupuuza unyanyasaji wa kijinsia wa wavulana na washirika wa Katoliki kutoka kwa makasisi.

Aliarifiwa kuhusu kashfa hizi katika barua ya Mchungaji Gerald M.C. Fitzgerald mnamo Agosti 1963, na alishauriwa kuchukua hatua kali dhidi ya washenzi hao
Lakini hakuwahi kufanya chochote.

View attachment 1717025

Katika eneo la juu la jengo hilo linasimama kwa sura yake isiyo ya kawaida, ambayo ikachorwa kwa mfanano wa kichwa cha nyoka.

View attachment 1717032

Angalia kufanana kwa sura, paa la kuezekea na ngozi, na macho.

View attachment 1717042

jengo hili Liliundwa na mbunifu wa Kiitaliano aliyeshinda tuzo
bwana Pier Luigi Nervi, jengo hilo limebuniwa na huchukua watu 6300 kwa mkutano na Papa mwenyewe, ambaye huwa anawasilisha tarifa kutoka jukwaani



SANAMU YA YESU YENYE MFANO WA NYOKA

View attachment 1717034

La Resurrezione, sanamu hiyo iliundwa na Pericle Fazzini. na huku wakiweka wazo la Kristo akiinuka kutoka kwenye mlipuko ,mlipuko wa nyuklia. Ndivyo sanamu hiyo ilivyotengenezwa


Cha kushangaza, kutoka kwa pembeni, kwenye kichwa cha Kristo kinaonekana kama kichwa cha nyoka aliye na meno aliyefunua mdomo wake kwa ajili ya kung'ata

Mambo ya ndani ya Ukumbi huu hufanana sana na nyoka, cha kushangaza na meno mawili yaliyowekwa juu ya jukwaa. Wote kutoka kwa jukwaa, na kwa njia ya kuingia ya watazamaji, chumba bila shaka kinafanana na nyoka,

View attachment 1717035

Wengine wamedai watu huandika hii kama mawazo ya udanganyifu, wakionya watu mbali na kuzingatia kwa kina.

Huku wengine wakipinga zaidi kwakuwa ni swala linalogusa Imani Zao


Huku wengi wakihususha Mfumo huo kama heshima na Utambulisho kwa Nyoka alieasisi dhambi kuingia Duniani pale Eden
hii yote ni kutokana na Lawama wanazotupiwa Mapapa na Vatcan juu ya kuwa Controlled chini ya shetani
Huku wakiwa na Vikundi vya Siri siri vilivyo Chini ya Shetani kama Priory of Sion na vinginevyo.








DA'VINCI XV
watu wakiambiwa warudi kwa mizimu. ya mababu zao wanapuuza, endeleeni kuabudu miungu. ya watu wengine, kabla ya hizi dini Babu na bibi zetu waliishi na ibada zao walikuwa wakiomba na kujibiwa maombi yao hasa ya kijamii kama vile mvua na mambo mengine
 
Mkuu mbona uko nje ya context kabisa. Umenivamia bila sababu. Kwanza mimi sio mkatoliki na sijawahi kuwa Mkristo. Kwa upana zaidi mimi si muumini wa dini yoyote ile. And i know about Jesuit and who is Papa in it. Bahati mbaya zaidi mimi sio mtu mwenye kufungwa na convictions zozote. Nimeuliza mwandishi wa hicho kitabu ni nani, lengo langu nikitafute nikipitie.
Sawa mkuu,nisamehe.Ila si unajua some people in JF ni wabishi sana.Sasa ulipouliza mwandishi ni nani, nilidhani kuna waandishi ambao unajua wana-andika fake news kuhusu the Vatican, na hivyo kujua huyo mwandishi ingekuwezesha kujua whether the information is fake or not.
 
Majamaa haya huwa hayajitambuagi, wanayaelewesha ufahamu hakuna! Roho wa Mungu hamumjui/hamumkubali nani atawasaidia kumjua shetani na ujanja wake? Eti dini 1 ndivyo Mungu alivyosema au unakaririshwa? Huko imani ilikotokea kapepo ka korona kamewaua hata Mwenye nguvu ya kukakemea hakuna, eti dini kubwa unamwabudu nani? Jitambueni mnatia aibu!
 
Sawa mkuu,nisamehe.Ila si unajua some people in JF ni wabishi sana.Sasa ulipouliza mwandishi ni nani, nilidhani kuna waandishi ambao unajua wana-andika fake news kuhusu the Vatican, na hivyo kujua huyo mwandishi ingekuwezesha kujua whether the information is fake or not.
Hakuna tabu mkuu.
 
Back
Top Bottom