Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Pamoja sana mkuu🀝🀝
 
Nimeisoma vizuri lakini hapo mwenye kosa ni papa, mwenye kosa ni Roman Catholic, au mwenye kosa ni Mbunifu wa jengo?

hii naifananisha na makampuni yanayo deal na utengenezaji wa ramani za nyumba, unaenda kununua ramani ambayo tayari ilisha chorwa japo wanakuelezea lakini huwa hauwezi kuitafakari kwa kina baadhi ya maeneo hata kama kuna vitu wameviweka kwa siri.

hivyo kwangu Mimi naweza kusema, hiyo picha yenye muonekano wa nyoka wao hawakuiweka wala kuichukulia kama taswira ya nyoka ila kwasasa kila mtu akiiona kwakuwa ishakamilika atakuja na majibu yake kama hivo ulivyo elezea.

Leo jaribu ukaichunguze hata nyumba yako na wewe au nyumba ya nyumbani hasa zile nyumba kubwa achana na nyumba mstatili au mraba kisha piga picha mbele na juu then kaa sehem anza kuichunguza utapata taswila ya vitu vingi ambavyo mmiliki wa nyumba hakuvilenga vyenyewe.
 
Umeongea point nzuri sana mkuu ila ukaharibu kumalizia, umesema kanisa ni moja tu, Takatifu, katoliki la Mitume. Kwa ushahidi upi ndugu yetu toka kwenye vitabu vya mungu au kokote ? Can you tell us please πŸ™πŸΎ
 
Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Sawa sio dhehebu sahihi, lipi ni dhehebu sahihi?
 
Pole sana una safari ndefu ya kujifunza ila hujaamua tu. Achana na mambo ya kufikirika, jifunze biblia mbona iko wazi kabisa
Chief's..! Hata katika dini zote tumeambiwa tutafute hata katika biblia unayosoma wameandika kabisa watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa mfano huwezi kujua dini Fulani ina Mila na desturi potofu mpaka uisome ile dini ndio uweze kujua mahali ambapo hakuko sawa..! Naamini katika mungu na dini yoyote najifunza iwe biblia nasoma Qur'an nasoma tamaduni za mabudha najifunza pia.

ama kwa hakika imeandikwa nenda mashariki na magharibi katafute elimu..!
 
Academically
Architect huwa wana kitu kinaitwa concept, si ajabu huyo mbunifu alimtumia nyoka kama concept tu na s swala lingine. Kama n hivyo basi n lazima jengo liwe la mtindo huo ili liendane sawa na hio concept.

Spiritually
Inawezekana kuna kitu kimefichwa nyuma ya huo muundo wa jengo

You see the world the way you are.
The greatest enemy of education is an illusion of knowledge.
 
🀝🀝🀝
 
Yawezekana pia,
 
Yaani mimi Roman Catholic nipo chalii mdogo niliwakataa maana wamechanganya Christianity and tradition rituals...

kwa sasa muwakilishi wetu duniani ni Yesu naye ndo sadaka yetu ya kuteketezwa ambayo Mungu anaipokea.Yote ya kale(tradition rituals) yalikwisha pale msalabani na sasa tunamuabudu Mungu huru maana hatuko watumwa tena chini ya binadamu yoyote(Papa)
 
Naona ukaiput in bracket
 
Sawa mpinga kristo
 
binafsi baado naamini ni mpango kabambe, Haiwezekani mpaka Idols za ndani ziwe na figure kama hiyo ya Reptilia

Na hizo si kazi ya muundaji wa jengo , zilikuja baada ya jengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…