Sio tunafichwa mkuu, yan in short hatuyajui. Na sidhani kama kuna mtu ali-master dini yoyote kusema ukimuuliza swali la dini atakujibu kwa usahihi.Hizi dini nizaidi ya tuzijuavyo, kunamambo mengi sana tunafichwa inaelekea
Akikujibu naomba unitag na mimi.Sawa sio dhehebu sahihi, lipi ni dhehebu sahihi?
Sio ulivyojua,sema ulivyoambiwa! Hata hao waambiaji huwa wanaangalia mtu wa kumwambia!Umenikumbusha Kuna documentary moja Inaitwa SECRET OF SYMBOL mpak lile duara la nyuma katika picha ya yesu nilivyojua maana yake nilichoka..!
Mkuu mi pia sina dini ila kwenye hizi dini za abrahmic ( hususani ukristo) dhana ya nyoka imetajwa katika pande zote mbili (kimungu/kishetani)Wakati tunaandika haya Tulitegemea Kitu kama hicho
Ukirejelea kwenye Nyuzi yangu sidhani kama nimeandika sehemu yoyote Ubadili dhehebu au dini yako hamna kifungu hicho
Ila kwenye kasoro hainizuwii mimi kuandika
Mfano makka, Kuliingizwa baadhi ya Mila za western na Walinzi kutoka USA wakawa Wanalinda pale
Zikajengwa obelisk Ambayo moja kwa moja ni Identity ya Shetani na Mungu Hapendi
Hivyo Eti labda kwakuwa mie ni muislam ndiyo nishindwe kureveal Laa hashaa!!
Huyo DaVinci ndiyo mwiba haswa ,wa wakatoliki juu ya mambo aliyokuwa akifuchua hakufukuzwa Italia burebure tu
Una miaka mingapi ya kuisha hapa duniani? Binadamu ni vumbi tu hana ajualoIpo siku ukweli utakua wazi...
Nakuongezea na hii inayozungumzia positive side ya nyoka:Mkuu mi pia sina dini ila kwenye hizi dini za abrahmic ( hususani ukristo) dhana ya nyoka imetajwa katika pande zote mbili (kimungu/kishetani)
Ukisoma habari za nyoka katika bible utakuja kuona kwamba nyoka mwenye vinasaba vya ushetani ametajwa mara chache sana kuliko nyoka mwema
Mfano katika historia na habari za kiroho nyoka huwakilisha uzazi au maisha ya kibunifu, nyoka wanapojivua gamba huashiria kuzaliwa upya (immortality) na uponyaji.
Nyoka ameonekana kutumiwa na mungu katika missions za mitume wake
Ukisoma NUMBERS 21:8 mungu alikuwa anampa maelekezo musa kuwa atatengeneza nyoka ambaye yeyote atakaye mtazama atapona ( hapa nyoka kaonekana kama mponyaji)
Ukiendelea kusoma kisa cha mussa utaona kupitia mussa, Mungu amefanya miujiza mingi ya nyoka. Aliweza kufanya fimbo ya musa kuigeuza kuwa nyoka kisha huyo nyoka kuwameza nyoka (wa kishetani) wa farao
Swali langu ni kwanini swala la jengo kuwa na alama ya nyoka litazamwe kwa upande mmoja wa dhana ya ushetani na sio kinyume chake?
Mimi ya kwangu paa ni mfano wa eagleNimeisoma vizuri lakini hapo mwenye kosa ni papa, mwenye kosa ni Roman Catholic, au mwenye kosa ni Mbunifu wa jengo?
hii naifananisha na makampuni yanayo deal na utengenezaji wa ramani za nyumba, unaenda kununua ramani ambayo tayari ilisha chorwa japo wanakuelezea lakini huwa hauwezi kuitafakari kwa kina baadhi ya maeneo hata kama kuna vitu wameviweka kwa siri.
hivyo kwangu Mimi naweza kusema, hiyo picha yenye muonekano wa nyoka wao hawakuiweka wala kuichukulia kama taswira ya nyoka ila kwasasa kila mtu akiiona kwakuwa ishakamilika atakuja na majibu yake kama hivo ulivyo elezea.
Leo jaribu ukaichunguze hata nyumba yako na wewe au nyumba ya nyumbani hasa zile nyumba kubwa achana na nyumba mstatili au mraba kisha piga picha mbele na juu then kaa sehem anza kuichunguza utapata taswila ya vitu vingi ambavyo mmiliki wa nyumba hakuvilenga vyenyewe.
Nadhani wewe umemaliza kila kituMkuu mi pia sina dini ila kwenye hizi dini za abrahmic ( hususani ukristo) dhana ya nyoka imetajwa katika pande zote mbili (kimungu/kishetani)
Ukisoma habari za nyoka katika bible utakuja kuona kwamba nyoka mwenye vinasaba vya ushetani ametajwa mara chache sana kuliko nyoka mwema
Mfano katika historia na habari za kiroho nyoka huwakilisha uzazi au maisha ya kibunifu, nyoka wanapojivua gamba huashiria kuzaliwa upya (immortality) na uponyaji.
Nyoka ameonekana kutumiwa na mungu katika missions za mitume wake
Ukisoma NUMBERS 21:8 mungu alikuwa anampa maelekezo musa kuwa atatengeneza nyoka ambaye yeyote atakaye mtazama atapona ( hapa nyoka kaonekana kama mponyaji)
Ukiendelea kusoma kisa cha mussa utaona kupitia mussa, Mungu amefanya miujiza mingi ya nyoka. Aliweza kufanya fimbo ya musa kuigeuza kuwa nyoka kisha huyo nyoka kuwameza nyoka (wa kishetani) wa farao
Swali langu ni kwanini swala la jengo kuwa na alama ya nyoka litazamwe kwa upande mmoja wa dhana ya ushetani na sio kinyume chake?
Ni nyoka anayemeza nyoka nyomi wa shetani[emoji23]Mkuu mi pia sina dini ila kwenye hizi dini za abrahmic ( hususani ukristo) dhana ya nyoka imetajwa katika pande zote mbili (kimungu/kishetani)
Ukisoma habari za nyoka katika bible utakuja kuona kwamba nyoka mwenye vinasaba vya ushetani ametajwa mara chache sana kuliko nyoka mwema
Mfano katika historia na habari za kiroho nyoka huwakilisha uzazi au maisha ya kibunifu, nyoka wanapojivua gamba huashiria kuzaliwa upya (immortality) na uponyaji.
Nyoka ameonekana kutumiwa na mungu katika missions za mitume wake
Ukisoma NUMBERS 21:8 mungu alikuwa anampa maelekezo musa kuwa atatengeneza nyoka ambaye yeyote atakaye mtazama atapona ( hapa nyoka kaonekana kama mponyaji)
Ukiendelea kusoma kisa cha mussa utaona kupitia mussa, Mungu amefanya miujiza mingi ya nyoka. Aliweza kufanya fimbo ya musa kuigeuza kuwa nyoka kisha huyo nyoka kuwameza nyoka (wa kishetani) wa farao
Swali langu ni kwanini swala la jengo kuwa na alama ya nyoka litazamwe kwa upande mmoja wa dhana ya ushetani na sio kinyume chake?
Mimi sijapinga kwamba hilo jengo halina muonekano wa nyoka (naomba unielewe vyema point hii)Reptilian Race ni Hypothesis na hicho ulicho propose hapo pia ni Hypothesis.....
Hypothesis nzuri ni ile inayoweza kuelezea various observations....
Hypothesis yako inaweza kuelezea observations nitakazozitoa?
Hata kama kichwa kipo, kwanini kiashirie ushetani na sio vinginevyo?Hapo kuna kichwa cha nyoka kweli? Maana dirisha liko kwa chini kabisa na sehemu ya juu ndiko mbeleView attachment 1720866
weka picha yake kama mwenzako alivyofanya kisha tuijadiliNyerere aliwahi onekana kwa mti wa embe huko tanga. Naomba ufafanuzi juu ya nyerere na maembe
Nipo nasubiri akujibuHata kama kichwa kipo, kwanini kiashirie ushetani na sio vinginevyo?
Umeshaamini hizi tanlilila?Hizi dini nizaidi ya tuzijuavyo, kunamambo mengi sana tunafichwa inaelekea
Wasalaam wakuu
Pope Audiance Hall
Paolo VI pia inajulikana kama Jumba la mkutano la Kipapa ni jengo moja kubwa huko Rome kwa Papa, lenye uwezo wa kuchukua watu 6,300, lilitengenezwa kwa saruji iliyoimarishwa vyema na mbunifu wa Italia Pier Luigi Nervi na kukamilika mnamo 1971
Lakini katika Jumba hilo, sanamu na muundo wa jengo hilo ni za kushangaza na watu wakaanza kutilia shaka
View attachment 1717036
Jumba la Wasikilizaji la Papa lilivyoundwa na kufanana kwake na maumbile ya nyoka. muundo huu wa kipekee unaonekana sehemu ya juu tu ndani na nje.
Jumba hili la Wasikilizaji la Paul VI, Lilianza wakati waa Papa Paul wa Sita, ambaye alikuwa kutoka 1963 hadi 1978. Inavyoonekana alikuwa Papa mwenye heshima, ingawa amehusishwa kuficha au kupuuza unyanyasaji wa kijinsia wa wavulana na washirika wa Katoliki kutoka kwa makasisi.
Aliarifiwa kuhusu kashfa hizi katika barua ya Mchungaji Gerald M.C. Fitzgerald mnamo Agosti 1963, na alishauriwa kuchukua hatua kali dhidi ya washenzi hao
Lakini hakuwahi kufanya chochote.
View attachment 1717025
Katika eneo la juu la jengo hilo linasimama kwa sura yake isiyo ya kawaida, ambayo ikachorwa kwa mfanano wa kichwa cha nyoka.
View attachment 1717032
Angalia kufanana kwa sura, paa la kuezekea na ngozi, na macho.
View attachment 1717042
jengo hili Liliundwa na mbunifu wa Kiitaliano aliyeshinda tuzo
bwana Pier Luigi Nervi, jengo hilo limebuniwa na huchukua watu 6300 kwa mkutano na Papa mwenyewe, ambaye huwa anawasilisha tarifa kutoka jukwaani
SANAMU YA YESU YENYE MFANO WA NYOKA
View attachment 1717034
La Resurrezione, sanamu hiyo iliundwa na Pericle Fazzini. na huku wakiweka wazo la Kristo akiinuka kutoka kwenye mlipuko ,mlipuko wa nyuklia. Ndivyo sanamu hiyo ilivyotengenezwa
Cha kushangaza, kutoka kwa pembeni, kwenye kichwa cha Kristo kinaonekana kama kichwa cha nyoka aliye na meno aliyefunua mdomo wake kwa ajili ya kung'ata
Mambo ya ndani ya Ukumbi huu hufanana sana na nyoka, cha kushangaza na meno mawili yaliyowekwa juu ya jukwaa. Wote kutoka kwa jukwaa, na kwa njia ya kuingia ya watazamaji, chumba bila shaka kinafanana na nyoka,
View attachment 1717035
Wengine wamedai watu huandika hii kama mawazo ya udanganyifu, wakionya watu mbali na kuzingatia kwa kina.
Huku wengine wakipinga zaidi kwakuwa ni swala linalogusa Imani Zao
Huku wengi wakihususha Mfumo huo kama heshima na Utambulisho kwa Nyoka alieasisi dhambi kuingia Duniani pale Eden
hii yote ni kutokana na Lawama wanazotupiwa Mapapa na Vatcan juu ya kuwa Controlled chini ya shetani
Huku wakiwa na Vikundi vya Siri siri vilivyo Chini ya Shetani kama Priory of Sion na vinginevyo.
DA'VINCI XV
Mimi nimeona lafanana na ngiriUmeshaamini hizi tanlilila?
Hilo jengo naweza kukuaminisha linafanana na kondoo au hata nguruwe ukaamini pia