Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Hivi hilo dhehebu ndilo lile ambalo yule jambazi wa kura huwa analitumia kuenezea propaganda zake za kishenzi & kishirikina l
 
Always mtu anaona anachotaka kuona, kama ubongo wako umejipanga kuafananisha na nyoka lazima itafanana, akija mwingine akifananisha na kitu kingine itafanana pia. Kuna mada humu inasema kwenye mwezi kuna picha ya mwanamke kabeba mtoto; hicho ndicho kitu ubongo wake umeamua kuona na atakiona kweli. Kuna ile picha ya monalisa iliyochorwa na Davinch, wanasema ni picha ambayo ina all expressions of human feelings; yani ukiitazama kuona kama anafuaha utaiona, ukitaka kuona huzuni utaiona n.k, n.k. Mimi nilikua naiona siku zote but sikuwahi kuona ivo vitu but the day nilivyoambiwa hivyo nikaenda google kuicheki nikiwa na hiyo mentality na kweli niliziona expressions zote, coz ndicho ubongo wangu ulitaka kuona na kuprove.

Mtahangaika sana kuhusu Pope but this will never change a thing; yani hizi stori mnazotoa zote ni marudio hakuna mpya na hiaitatokea; coz Kanisa ni Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume. Mungu kaliinua na hakuna wa kulishusha, Period.
"Kanisa ni Moja,takatifu Katoliki......." Mkuu GREENER , hii sehemu imeandikwa katika kitabu gani cha Biblia?

Ahsante
 
Mimi sijapinga kwamba hilo jengo halina muonekano wa nyoka (naomba unielewe vyema point hii)

Ila nahoji kutaka kujua kwanini conclusion yenu kwa muonekano wa jengo hilo liashirie ni ishara ya ushetani na sio kinyume chake?
Unahoji conclusion yetu au ume propose conclusion yako pia?

Naweza kukuuliza swali hilo hilo
"Kwanini hio alama ya nyoka i-base kwenye nyoka wa shaba na sio vinginevyo?"

Pia conclusion yangu haija base kwenye ushetani na hakuna pahala niliposema ivyo.....
 
Unahoji conclusion yetu au ume propose conclusion yako pia?

Naweza kukuuliza swali hilo hilo
"Kwanini hio alama ya nyoka i-base kwenye nyoka wa shaba na sio vinginevyo?"

Pia conclusion yangu haija base kwenye ushetani na hakuna pahala niliposema ivyo.....
Mimi sijaweka conclusion nimeweka suggestion kwa mtindo wa swali ku challenge dhana ambayo wengi wenu humu mnaishikilia

Nyinyi ambao mmeona hilo jumba linamuonekano wa nyoka wengi wenu mmejadili negatively swala hilo as if symbol ya nyoka ina taswira mbaya katika mafundisho ya dini kitu ambacho ni UWONGO
 
sometimes ukiangalia unaweza ukaona hivi

1615294990415.png
 
Always mtu anaona anachotaka kuona, kama ubongo wako umejipanga kuafananisha na nyoka lazima itafanana, akija mwingine akifananisha na kitu kingine itafanana pia. Kuna mada humu inasema kwenye mwezi kuna picha ya mwanamke kabeba mtoto; hicho ndicho kitu ubongo wake umeamua kuona na atakiona kweli. Kuna ile picha ya monalisa iliyochorwa na Davinch, wanasema ni picha ambayo ina all expressions of human feelings; yani ukiitazama kuona kama anafuaha utaiona, ukitaka kuona huzuni utaiona n.k, n.k. Mimi nilikua naiona siku zote but sikuwahi kuona ivo vitu but the day nilivyoambiwa hivyo nikaenda google kuicheki nikiwa na hiyo mentality na kweli niliziona expressions zote, coz ndicho ubongo wangu ulitaka kuona na kuprove.

Mtahangaika sana kuhusu Pope but this will never change a thing; yani hizi stori mnazotoa zote ni marudio hakuna mpya na hiaitatokea; coz Kanisa ni Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume. Mungu kaliinua na hakuna wa kulishusha, Period.
Mda mwingine kupata reactions nyingi kwa kile kilichoandikwa haaimanishi muandiahi kapatia sana kuandika ,lakin ni wazo LA........ Okay tuishiee hapo
 
Nlichokuja gundua watu wanatetea uovu hawapendi ambiwa ukweli....ntakuja na siasa nyingi propaganda kibao lakini those things are useless and demonic
 
Mti mwema hujulikana kwa matunda yake, nitajie movement moja inayoashiria viongozi wa vatcan ni watu waovu na wapinga cristo, achana na hizo picha za ku zoom na kuunga. Je pope yupo kutete man kind au anguko la mankind? Uovu au ubaya ni nini? Kazi ya shetani ni ipi? Utamtambuaje shetani na kazi zake? Kwa kuangalia picha ya kanisa au ukumbi? Think big
 
Mti mwema hujulikana kwa matunda yake, nitajie movement moja inayoashiria viongozi wa vatcan ni watu waovu na wapinga cristo, achana na hizo picha za ku zoom na kuunga. Je pope yupo kutete man kind au anguko la mankind? Uovu au ubaya ni nini? Kazi ya shetani ni ipi? Utamtambuaje shetani na kazi zake? Kwa kuangalia picha ya kanisa au ukumbi? Think big
Even Satan sometimes masquerades as an angel of light
 
Ni hivi, if you know what is good then you know God, but if you don't then you don't know God and you are ignorant, but let me assure you one thing, God has always enjoyed our differences such than when we came together bible told us He confused our language
 
kuna PAPA kiongozi wa kanisa Catholic, PAPA ya father(baba), PAPA yule samaki/ mnyama wa majini, Alafu kuna PAPA wa gigy .....alafu kuna maana gani nyingine ya PAPA mkuu???
We PAPA Ndama na PAPA msofe kuongeza A ni matamshi tuuu.Au nasema uongo ndigu zangu!
 
wewe baki kwenye hilo dhehebu lako sahihi uendelee kukanyaga mafuta. Hakuna alieandikiwa barua kuja kusali Katoliki, kama unaimani nalo unasali kama hulielewi unapita vile. Kama hujui Kanisa katoliki sio kanisa la watu wasio na dhambi bali ni kanisa la watu wenye dhambi ambao wanamtafuta Mungu ili waongoke na siku ya mwisho waingie mbinguni; thats why hatuanzi ibada yoyote bila kusali sala ya ' Nakuungamia Mungu mwenyezi" coz hata bible inasema hakuna siye na dhambi sote tumepungukiwa na utukufu wa Mungu. Huwezi mkuta mkatoliki anajikweza kiimani, sasa nyie mnajiona mmeokoka kuliko biblia we wish you all the best, but kumbuka hata hiyo bible unayoitumia imeandikwa na wakatoliki.
"Biblia imeandikwa na wakatoliki" funga mdomo na kaa kimya pumbavu

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mi pia sina dini ila kwenye hizi dini za abrahmic ( hususani ukristo) dhana ya nyoka imetajwa katika pande zote mbili (kimungu/kishetani)

Ukisoma habari za nyoka katika bible utakuja kuona kwamba nyoka mwenye vinasaba vya ushetani ametajwa mara chache sana kuliko nyoka mwema

Mfano katika historia na habari za kiroho nyoka huwakilisha uzazi au maisha ya kibunifu, nyoka wanapojivua gamba huashiria kuzaliwa upya (immortality) na uponyaji.

Nyoka ameonekana kutumiwa na mungu katika missions za mitume wake

Ukisoma NUMBERS 21:8 mungu alikuwa anampa maelekezo musa kuwa atatengeneza nyoka ambaye yeyote atakaye mtazama atapona ( hapa nyoka kaonekana kama mponyaji)

Ukiendelea kusoma kisa cha mussa utaona kupitia mussa, Mungu amefanya miujiza mingi ya nyoka. Aliweza kufanya fimbo ya musa kuigeuza kuwa nyoka kisha huyo nyoka kuwameza nyoka (wa kishetani) wa farao

Swali langu ni kwanini swala la jengo kuwa na alama ya nyoka litazamwe kwa upande mmoja wa dhana ya ushetani na sio kinyume chake?
Mkuu kwanza nikupongeze , kuwaza au kufikiria kitu ambacho wengine wengi wakiwemo wanaopongeza huu mchango hawakukiwaza kabla. KONGOLE kwako

Mimi ni mwandishi, Na skuileta hii Nadharia kwamba Nakubali au Laah, ndio maana nikasisitiza hizi ni Claims.
Niliitaji ili Ije kuwa majadiliano baina Ya watu wanaopembua mambo,Na hivi ndivyo ilivyotakiwa sio hawa ndugu zetu wengine wanaoporomosha matusi ,kutokana na mhemko wa kiimani
Na watu wa namna hiyo huwa Tunawakalia kimya
Maana jibu la kumjibu mpumbavu ni kumkalia kimya

Lakini Je kwanini wawazie NEGATIVELY tu na Sio POSITIVELY
kama Ulivyouliza.

Basi nlitamaani niandike kwa Upana ila PARAGRAGH yangu ya Mwisho ina Majibu ya swali lako ni kwanini imehisiwa hivyo...
Shukraani🙏
 
Back
Top Bottom